Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mambo hadharani. Kura za ACT Wazalendo zote sasa kwa Tundu Lissu baada ya mwenyekiti wa ACT Wazalendo Maalim Seif kutamka rasmi kumuunga mkono.
Hii ngoma bado mbichi sana.
On top of this latest support from the Maalim himself, tumekuwa tukishuhudia maelfu ya wapiga kura wa hata vijijini swekeni huko jinsi wanavyomlaki Tundu Lissu kwenye campaign rallies zake.
Kwa kweli CCM tutahitajika kufanya rigging ya kutoka sayari ya Mars ili mgombea wetu ashinde!
Ebu rudia huo usemi wa ".... za kisayansi ...." then jitazame kwenye kioo. Usishangae unajicheka wenyewe. Imagine hiyo misululu ya boda boda barabarani na bendera za CDM kuwa na hadhi ya kisayansi. Kama siyo akili ya popo sijui tukuite vipi.Hizi ndio kampeni za kisayansi sasa sio zile za kupakia watu kwenye malori na kuwakemea wapiga kura
Nchi inaenda kuongezwa na mlemavu....Hadi sasa nilichogundua ni kuwa ACT na Chadema wana strategist ambao ni over extra smart. Ni dhahili sasa CHADEMA NA ACT wamewaoutsmart Ccm.
Mwaka huu Hiatoria Kuu inaenda kuandikwa Tanzania.
Tundu Antiphas Lissu Raisi Jamhuri ya Muungano Tanzania 2020 - 2025
Maalim Seif Raisi wa Zanzibar 2020- 2025.
Leo kwenye msafara wa Lissu kuelekea Karagwe umecheleweshwa baada ya wanavijiji kulala barabarani ili kumsalimia Lissu; Wali wa kushiba huoHali ya CCM ni mbaya sana. Watu hawamtaki magufuli mchana kweupe. Historia kuu inaenda kuandikwa Tanzania mwaka huu
Mwisho wa siku Magufuli atakua ndiye rais wako!Nimeshiriki figisu figusu za uchaguzi mkuu kuanzia mwaka 2000 hadi 2010, sikuwahi kupiga kura.
Lakini mwaka huu, nikijaaliwa afya njema nitampigia Lissu, siwezi kuishi na mateso haya ya Magufuli kwa miaka 5 mingine. Eeh mwenyezi Mungu nisaidie.
Zako ngapi?Kura zangu ni kwa lissu tu...
Hivi mna habari kwamba jina lake bado litakuwepo kwenye orodha ya wagombea?
Hata kama amejiondoa kimya kimya, bado kuna watu watampigia kura, labda aje sasa hadharani atamke kuwa amejitoa, vinginevyo kuna kura ataharibu
Kwa hili sasa nimeamini kuwa Membe hayupo upinzani kimkakati zidi ya upinzani bali ana nia ya kweli ya mabadiriko kitaifa.
Very outsmarting strategy
Mambo hadharani. Kura za ACT Wazalendo zote sasa kwa Tundu Lissu baada ya mwenyekiti wa ACT Wazalendo Maalim Seif kutamka rasmi kumuunga mkono.
Hii ngoma bado mbichi sana.
On top of this latest support from the Maalim himself, tumekuwa tukishuhudia maelfu ya wapiga kura wa hata vijijini swekeni huko jinsi wanavyomlaki Tundu Lissu kwenye campaign rallies zake.
Kwa kweli CCM tutahitajika kufanya rigging ya kutoka sayari ya Mars ili mgombea wetu ashinde!
Mjinga mkubwa huna akili mpaka uzao wako mshezi mkubwa wee shika adabu yako kama ulivyokoma ziwa la mama akoAtajinyea yeye kwanza na kale kamguu kake.
✌✌✌✌✌✌✌🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿Atajinyea yeye kwanza na kale kamguu kake.