Uchaguzi 2020 ACT-Wazalendo wamuunga mkono Mgombea Urais wa CHADEMA, Tundu Lissu

Uchaguzi 2020 ACT-Wazalendo wamuunga mkono Mgombea Urais wa CHADEMA, Tundu Lissu

BREAKING NEWS: Mwenyekiti wa Chama cha ACT Wazalendo taifa, Seif Sharif Hamad amemuidhinisha mgombea wa Chadema Tundu A Lissu kuwa mgombea wao wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Taarifa zaidi kufuata baadaye
Source: EATV
 

Attachments

  • EidQAFJWoAAhF0F.jpeg
    EidQAFJWoAAhF0F.jpeg
    20 KB · Views: 1
Uzuri wa nguruwe hujirosti mwenyewe
Unapofanyia wanadamu uharifu utegemee mawili - Wakuvumilie au wapambane nawe kwa kuvunja haki zao, ukiona watu wamepambana nawe usianze tafuta au kumpa lawama aliyewashitua na kuwapa mbinu ya kukuchabanga, unatakiwa kutofanya uharifu utochabangwa, usitegemee kuvumiliwa tu
 
So what? Kuna jipya lolote? Hivi kweli chadema inaamini kuwa inaweza itoa CCM kwa kuungana na act?
 
Watanzania bado sana, [emoji23][emoji23]leo hii dr
. slaa ni balozi, membe siyo CCM, lowasa, sumaye CDM, Mara ghafla CCM, mbowe yupo kimyaaaa japo anahujumiwa, TLP mgombea wao magufuli, NCCR kiongozi wao anateuliwa ubunge na raisi, Rungwe & wenzake hawajawahi kuguswa..mara magufuli anataka kumpa kazi lisu, na lisu anasema magufuli hana cheti cha kuzaliwa na na anamlalamikia kuhusu risasi 16, [emoji23][emoji23], vijana wa CDM wanateuliwa ubunge, uwaziri, mara list inatoka ya vipenyo...nilishaacha saisa pambaneni nayo nyie
 
BREAKING NEWS: Mwenyekiti wa Chama cha ACT Wazalendo taifa, Seif Sharif Hamad amemuidhinisha mgombea wa Chadema Tundu A Lissu kuwa mgombea wao wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Taarifa zaidi kufuata baadaye
Source: EATV


Wamechelewa kufikia uamuzi huu lakini ni bora. For lack of strategy bakora bado ziko pale pale.
 
BREAKING NEWS: Mwenyekiti wa Chama cha ACT Wazalendo taifa, Seif Sharif Hamad amemuidhinisha mgombea wa Chadema Tundu A Lissu kuwa mgombea wao wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Taarifa zaidi kufuata baadaye
Source: EATV

Nacheka kwa cheko kuu, wanazidi kumurahisishia njia Dr. John Pombe Joseph Magufuli.
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Membe nadhani sasa amewajua watz walivyo!

Alifikiri kushabikiwa mitandaoni na huku fiekd itakuwa hivyo?

Kaona kina kirefu!
Bado Lisu yeye atawajua watz kwenye box la kura
 
Upinzani ulishakufa tangu 2015 kililichobaki ni futuhi.
Unapofanyia wanadamu uharifu utegemee mawili - Wakuvumilie au wapambane nawe kwa kuvunja haki zao, ukiona watu wamepambana nawe usianze tafuta au kumpa lawama aliyewashitua na kuwapa mbinu ya kukuchabanga, unatakiwa kutofanya uharifu utochabangwa, usitegemee kuvumiliwa tu
 
Back
Top Bottom