Magonjwa Mtambuka
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 32,246
- 31,176
Uliniona ninaupiga risasi huo mguu? Weka ushahidi wako hapa wewe kamanda uchwara, la sivyo kaa kimya.Mguu mloupiga Risasi zakutosha...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uliniona ninaupiga risasi huo mguu? Weka ushahidi wako hapa wewe kamanda uchwara, la sivyo kaa kimya.Mguu mloupiga Risasi zakutosha...
Ogopa kinachokufaa kikafufuka, muziki wake huwa wakuotea mbali! Si unajua habari za Yesu Kristo?? Upinzani umefufuka na Lisu amefufuka. Yaani (Fufuka)²Upinzani ulishakufa tangu 2015 kililichobaki ni futuhi.
Kweli una magonjww mengi.na yote ni sugu.polee mkuuAtajinyea yeye kwanza na kale kamguu kake.
Kivipi?Kweli una magonjww mengi.na yote ni sugu.polee mkuu
Marhaba kwa niaba yake!!Shikamoo Maalim Seif.
Uliniona ninaupiga risasi huo mguu? Weka ushahidi wako hapa wewe kamanda uchwara, la sivyo kaa kimya.
Mko wangapi mkuu unasema kura zako?Kura zangu ni kwa lissu tu...
Gonjwa mojawapo ni hilo,unasahau hata jina lako kwamba ww ni magonjwa mtambuka.Magonjwa mtambuka hayajawahi kumwacha mtu salama.Kivipi?
Kale ulikokapiga risasi siyo.....ila Mungu wake amemponya....Atajinyea yeye kwanza na kale kamguu kake.
Safari hii tutawadhibiti pakubwa!!JP Magufuli hatoachia urais kupitia sanduku la kura. Hivyo hivyo Zanzibar. Maalim Seif hatopewa urais.
Humu jamvini tunajifariji tu. Mwaka 1995 na 2015 bila shaka Wapinzani walishinda (Mrema & Lowassa) lakini hawakupewa Nchi. Maalim anashinda kila uchaguzi. Kwa wenye kumbukumbu kiduchu tu wanakumbuka walichofanya jeshi/TISS mwaka 2015 pale Zenji.... mchana kweupe!
Hii comment ntairudia early November 2020 baada ya NEC & ZEC kufanya yao
Hali ya CCM ni mbaya sana. Watu hawamtaki magufuli mchana kweupe. Historia kuu inaenda kuandikwa Tanzania mwaka huu
Ahaaa pole saana naona umeumia saana ...nilitegemea ungeenzan na hii heading inayosema MREMA AWASALITI TLP NA KUMUUNGA MKONO JIWEMaalim Seif Sharif Hamad ametangaza leo kuwa chama hicho kinamuunga mkono Tundu Lissu katika nafasi ya Urais wa Jamhuri ya Muungano huku akimuacha Bernard Membe kwenye mataa.
Sasa wewe unachukua jina langu na kuanza kulichezea sio, wewe vipi?Gonjwa mojawapo ni hilo,unasahau hata jina lako kwamba ww ni magonjwa mtambuka.Magonjwa mtambuka hayajawahi kumwacha mtu salama.
Hata sijui unazungumza nini wewe lofa wa ufipa.Kale ulikokapiga risasi siyo.....ila Mungu wake amemponya....