Uchaguzi 2020 ACT-Wazalendo wamuunga mkono Mgombea Urais wa CHADEMA, Tundu Lissu

Uchaguzi 2020 ACT-Wazalendo wamuunga mkono Mgombea Urais wa CHADEMA, Tundu Lissu

Maalim Seif Sharif Hamad ametangaza leo kuwa chama hicho kinamuunga mkono Tundu Lissu katika nafasi ya Urais wa Jamhuri ya Muungano huku akimuacha Bernard Membe kwenye mataa.
 
JP Magufuli hatoachia urais kupitia sanduku la kura. Hivyo hivyo Zanzibar. Maalim Seif hatopewa urais.

Humu jamvini tunajifariji tu. Mwaka 1995 na 2015 bila shaka Wapinzani walishinda (Mrema & Lowassa) lakini hawakupewa Nchi. Maalim anashinda kila uchaguzi. Kwa wenye kumbukumbu kiduchu tu wanakumbuka walichofanya jeshi/TISS mwaka 2015 pale Zenji.... mchana kweupe!

Hii comment ntairudia early November 2020 baada ya NEC & ZEC kufanya yao
Safari hii tutawadhibiti pakubwa!!
 
Ccm washapanick, mpaka wakatoa takwimu zao za utafiti lkn ukijumlisha jumla yake inazidi 100%.

Na husiombe gegerea akushike korodani ukiwa ndani ya maji ukiogerea, mtu mzima lzm ulie kama mtoto.
Hali ya CCM ni mbaya sana. Watu hawamtaki magufuli mchana kweupe. Historia kuu inaenda kuandikwa Tanzania mwaka huu
 
Ndoto za mchana,,,ukimchunguza vzuri MS anakadi ya CCM,,,
So wake up broo,,!!
 
Hivi kweli.mwenye akili.timamu utapoteza muda wako kumpigia kampeni Membe? Mtu ambaye aliahashindwa kabla hajaanza ambaye mwisho wa siku atarudi zizini bila mkia na kuanza kashfa.
 
Back
Top Bottom