Lord denning
JF-Expert Member
- Jun 3, 2015
- 15,819
- 33,255
Huyo ni Raisi mstaafu kuanzia November 2020Rais ni MAGUFULI, wengine vibaraka tupa kule
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo ni Raisi mstaafu kuanzia November 2020Rais ni MAGUFULI, wengine vibaraka tupa kule
Labda nakutumia BAO LA MKONO.Rais ni MAGUFULI, wengine vibaraka tupa kule
Bado nipo ofisini hapa ufipa natayarisha mahojiano na waandishi wa habari kesho. Subiri nakuja baada ya kikao kudadadeeki.Kudadadeeeki, ukifika mapokezi hapa Moi ni pm ili upate msaada wa haraka
Kwema huko uliko?Hujafa hujaumbika hata wewe mda huu huu unaweza kuwa kilema kwa ajali hata ya nyumba yako kuangukiwa na Ndege usibeze ukilema wa mtu wakati ajali zipo na mda wowote zinaweza kukupitia hata wewe
Ndiokwa hiyo unalazimisha kuwa mtaiba kura?
Tunaomba hayo mahojiano yafanyike kwa kiingereza tafadhaliBado nipo ofisini hapa ufipa natayarisha mahojiano na waandishi wa habari kesho. Subiri nakuja baada ya kikao kudadadeeki.
Kama jambo halijui , uwe unaulizaHahaha acha kutufunga kamba wewe, mtu amekuwa mbunge takriban miaka 20, halafu utuambie alikuwa anatoboa kwa shida? Vichekesho hivi kweli kweli
Kwani wewe dogo unaeleweka?Siku hizi umekuwaje kijana wangu, mbona aueleweki..?
Wewe acha tuu Mkuu,hawa ndio walikuwa wafia Chama Og si wale wa batch ya Magufuli na Pole Pole. Hali si shwari kabisa.Kama na Jay One na ww leo imekiri kuwa kazi si nyepesi basi sasa nimeanza kuamini ngoma kumbe ni nzito siyo ya kitoto.
N'taongea na Mnyika, tunaye hapa kudadadeeeki.Tunaomba hayo mahojiano yafanyike kwa kiingereza tafadhali
Aziza binti yangu, nisikilizeNa ubaya zaidi walichofeli vyama vya upinzani, ni ku copy, edit &paste Ilani ya CCM, kwa maana nimebahatika kusoma ilani zote hizo na nimegundua hilo, upinzani bado hawana uwezo wa kuiongoza nchi hii ya Tanzania.
Mualike na sizonjeN'taongea na Mnyika, tunaye hapa kudadadeeeki.
Pumbavu zako, kwendraa.Acha matusi jinga wewe
Simjui.Mualike na sizonje
Fent FodSimjui.
Labda unamjua.Fent Fod
Mambo hadharani. Kura za ACT Wazalendo zote sasa kwa Tundu Lissu baada ya mwenyekiti wa ACT Wazalendo Maalim Seif kutamka rasmi kumuunga mkono.
Hii ngoma bado mbichi sana.
On top of this latest support from the Maalim himself, tumekuwa tukishuhudia maelfu ya wapiga kura wa hata vijijini swekeni huko jinsi wanavyomlaki Tundu Lissu kwenye campaign rallies zake.
Kwa kweli CCM tutahitajika kufanya rigging ya kutoka sayari ya Mars ili mgombea wetu ashinde!
This time "The Hague" wanafatilia matukio yooote kwa karibu sana!JP Magufuli hatoachia urais kupitia sanduku la kura. Hivyo hivyo Zanzibar. Maalim Seif hatopewa urais.
Humu jamvini tunajifariji tu. Mwaka 1995 na 2015 bila shaka Wapinzani walishinda (Mrema & Lowassa) lakini hawakupewa Nchi. Maalim anashinda kila uchaguzi. Kwa wenye kumbukumbu kiduchu tu wanakumbuka walichofanya jeshi/TISS mwaka 2015 pale Zenji.... mchana kweupe!
Hii comment ntairudia early November 2020 baada ya NEC & ZEC kufanya yao