Uchaguzi 2020 ACT-Wazalendo wamuunga mkono Mgombea Urais wa CHADEMA, Tundu Lissu

Uchaguzi 2020 ACT-Wazalendo wamuunga mkono Mgombea Urais wa CHADEMA, Tundu Lissu

Umenielewa?? Inamaana NEC hawataweza kutoa jina la membe kwenye chama cha ACT kwakuwa siku 90 zmepita. Sasa hapo ndipo kura zitakapochakachuliwa.
kama waliokuwa wampigie Membe wanampigia Lissu kuchakachua kutatoka wapi?
 
Hujafa hujaumbika hata wewe mda huu huu unaweza kuwa kilema kwa ajali hata ya nyumba yako kuangukiwa na Ndege usibeze ukilema wa mtu wakati ajali zipo na mda wowote zinaweza kukupitia hata wewe
Kwema huko uliko?
 
Na ubaya zaidi walichofeli vyama vya upinzani, ni ku copy, edit &paste Ilani ya CCM, kwa maana nimebahatika kusoma ilani zote hizo na nimegundua hilo, upinzani bado hawana uwezo wa kuiongoza nchi hii ya Tanzania.
Aziza binti yangu, nisikilize

Nakushauri jikite kwa mpalange
 
Lissu anapenda kumnukuu Baba wa Taifa kwenye suala la watu na maendeleo. Baba wa Taifa huyo huyo alisema pia kwamba "Nchi haiongozwi kwa majaribio. Tukiwapa CHADEMA kuongoza nchi dunia itatushangaa. Dunia itaona Watanzania wamelewa amani".
 
Mambo hadharani. Kura za ACT Wazalendo zote sasa kwa Tundu Lissu baada ya mwenyekiti wa ACT Wazalendo Maalim Seif kutamka rasmi kumuunga mkono.

Hii ngoma bado mbichi sana.

On top of this latest support from the Maalim himself, tumekuwa tukishuhudia maelfu ya wapiga kura wa hata vijijini swekeni huko jinsi wanavyomlaki Tundu Lissu kwenye campaign rallies zake.

Kwa kweli CCM tutahitajika kufanya rigging ya kutoka sayari ya Mars ili mgombea wetu ashinde!



Adjustments.jpg

Rolimodo ka kaza
 
JP Magufuli hatoachia urais kupitia sanduku la kura. Hivyo hivyo Zanzibar. Maalim Seif hatopewa urais.

Humu jamvini tunajifariji tu. Mwaka 1995 na 2015 bila shaka Wapinzani walishinda (Mrema & Lowassa) lakini hawakupewa Nchi. Maalim anashinda kila uchaguzi. Kwa wenye kumbukumbu kiduchu tu wanakumbuka walichofanya jeshi/TISS mwaka 2015 pale Zenji.... mchana kweupe!

Hii comment ntairudia early November 2020 baada ya NEC & ZEC kufanya yao
This time "The Hague" wanafatilia matukio yooote kwa karibu sana!
 
Back
Top Bottom