Uchaguzi 2020 ACT-Wazalendo wasema watashiriki uchaguzi mdogo jimbo la Muhambwe

Uchaguzi 2020 ACT-Wazalendo wasema watashiriki uchaguzi mdogo jimbo la Muhambwe

Analogia Malenga

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2012
Posts
5,108
Reaction score
10,191
Chama cha ACT-Wazalendo kimesema kitashiriki Uchaguzi Mdogo wa Jimbo la Muhambwe, ambalo liko wazi baada ya kifo cha Astashasta Nditiye ambaye alikuwa mbunge mteule wa jimbo hilo

Wamesema hauwezi kusimamisha shughuli zote kwa sababu ya kusubiri jambo moja. Hivyo watashiriki Uchaguzi huku wakiendelea kudai Tume Huru ya Uchaguzi

Katika Ujumbe wake kiongozi Mkuu wa ACT-Wazalendo amesema Uchaguzi huo utakuwa kipimo dhahiri kwa Rais Samia Suluhu kama ana nia ya dhati kwa demokrasia ya nchi

1617337567185.png
1617337638119.png
 
Hapa ndipo utaona tofauti kati ya chama kikongwe cha upinzani na vyama vichanga vya upinzani, wakati mkongwe anapigania pawepo misingi bora ya kusimamia uchaguzi Tanzania itakayowezesha washindi halali kutangazwa, wengine wanaona bora wakajaribu bahati yao angalau waongeze idadi ya wabunge wa chama chao bungeni.

Still a long way to go.
 
CHADEMA ni chama cha upinzani ACT na wajinga wenzao ni matawi ya CCM.

Hivyo ukome kuilinganisha CDM na hao waganga njaa wenzenu
Mbona kina Halima Mdee hawakutimkia chama chengine cha Siasa waliunga mkono juhudi na kuungana na Chama cha Mapinduzi kule bungeni na mpaka leo umemskia au ku-tweet kitu chochote? inafaa kufahamu Chadema pia sio salama ni wale wale CCM lakini kama haitoshi Msigwa na Mnyika unajuwa waliongea nini baada jiwe kufariki?

Kwa ufupi elewa siasa za upinzani Tanzania zitakuwa zimetetereka pa kubwa baada ya maalim seif kufariki, peke yake alionyesha upinzani na wala hakuwa na bei. Sasaiv kwa Tanzania upinzani inabidi kuanza upya. Ndani ya Chadema mpaka dakika hii naandika wapo top leaders ni CCM.
 
Mbona kina Halima Mdee hawakutimkia chama chengine cha Siasa waliunga mkono juhudi na kuungana na Chama cha Mapinduzi kule bungeni na mpaka leo umemskia au ku-tweet kitu chochote? inafaa kufahamu Chadema pia sio salama ni wale wale CCM lakini kama haitoshi Msigwa na Mnyika unajuwa waliongea nini baada jiwe kufariki?

Kwa ufupi elewa siasa za upinzani Tanzania zitakuwa zimetetereka pa kubwa baada ya maalim seif kufariki, peke yake alionyesha upinzani na wala hakuwa na bei. Sasaiv kwa Tanzania upinzani inabidi kuanza upya. Ndani ya Chadema mpaka dakika hii naandika wapo top leaders ni CCM.
Ufikiri wako na uelewa wako kwenye hili ni mdogo sana, ni bora ukae kimya tu
 
CHADEMA ni chama cha upinzani ACT na wajinga wenzao ni matawi ya CCM.

Hivyo ukome kuilinganisha CDM na hao waganga njaa wenzenu

Mkuu sema tu hamna jipya kwa sasa.

ACT nao wanaenda kupima Rais hizi ndiyo akili za wapinzani wa Tanzania. Badala ujiandae kwa uchaguzi ukiwa na nia ya kushinda wewe unaenda kumpima Rais au lugha nyingine unaenda kupambana na Rais!

Akishindwa kwenye kura atakuja kusema ohoo nimeibiwa kura, hakuna Demokrasia. Ila akishinda haki imetendeka.

Kama unaona huna uwezo wa kushinda si bora ugome tu au utumie visingizio vya Chadema ambao hawana uwezo wa kushinda sasa wanajificha kupitia mgongo wa tume uhuru
 
Mkuu sema tu hamna jipya kwa sasa.

ACT nao wanaenda kupima Rais hizi ndiyo akili za wapinzani wa Tanzania. Badala ujiandae kwa uchaguzi ukiwa na nia ya kushinda wewe unaenda kumpima Rais au lugha nyingine unaenda kupambana na Rais!

Akishindwa kwenye kura atakuja kusema ohoo nimeibiwa kura, hakuna Demokrasia. Ila akishinda haki imetendeka.

Kama unaona huna uwezo wa kushinda si bora ugome tu au utumie visingizio vya Chadema ambao hawana uwezo wa kushinda sasa wanajificha kupitia mgongo wa tume uhuru
Yaani ni watu wa hovyo sn
 
Ufikiri wako na uelewa wako kwenye hili ni mdogo sana, ni bora ukae kimya tu
Ungeonyesha mfano wake mimi sikuleta fikra mimi nimeonyesha waziwazi chama chenu cha Chadema kilivyo
 
Mbona kina Halima Mdee hawakutimkia chama chengine cha Siasa waliunga mkono juhudi na kuungana na Chama cha Mapinduzi kule bungeni na mpaka leo umemskia au ku-tweet kitu chochote? inafaa kufahamu Chadema pia sio salama ni wale wale CCM lakini kama haitoshi Msigwa na Mnyika unajuwa waliongea nini baada jiwe kufariki?

Kwa ufupi elewa siasa za upinzani Tanzania zitakuwa zimetetereka pa kubwa baada ya maalim seif kufariki, peke yake alionyesha upinzani na wala hakuwa na bei. Sasaiv kwa Tanzania upinzani inabidi kuanza upya. Ndani ya Chadema mpaka dakika hii naandika wapo top leaders ni CCM.
Siyo kweli, weka tume huru ya uchaguzi uone kama CHADEMA hawatashinda
 
Siyo kweli, weka tume huru ya uchaguzi uone kama CHADEMA hawatashinda
Itakuwa ni ujinga chama cha upinzani kuwa hakiwezi onyesha upinzani mpaka kuwepo na tume huru, nyi wabongo mmelegea sana hamukuonyesha kujikaza wakati wote tokea mumeanzisha chama chenu
 
Itakuwa ni ujinga chama cha upinzani kuwa hakiwezi onyesha upinzani mpaka kuwepo na tume huru, nyi wabongo mmelegea sana hamukuonyesha kujikaza wakati wote tokea mumeanzisha chama chenu
elewa anachoongea, hivi kama utashiriki uchaguzi ambao unahakika hata ukishinda unapigwa chini nini faida yake? sasa unataka watu wapoteze muda bure sio? bora washiriki CCM wenyewe
 
Back
Top Bottom