Edward Sambai
JF-Expert Member
- Nov 16, 2013
- 2,823
- 3,831
Huu ni ujinga wa mwanasiasa, kinachopiganiwa ni maslai ya vyama na sio nchi/taifa.
Sasa kama miaka yote tunapiga kelele kudai tume huru pamoja na katiba mpya alafu wewe unaona kuwa hii tume ni sawa kwa kushiriki chaguzi, kweli tutafika
Sasa kama miaka yote tunapiga kelele kudai tume huru pamoja na katiba mpya alafu wewe unaona kuwa hii tume ni sawa kwa kushiriki chaguzi, kweli tutafika