zitto junior
JF-Expert Member
- Oct 7, 2013
- 20,537
- 31,729
@Zitto alituambia tarehe 30 November kuwa hamtashiriki chaguzi yoyote ya NEC kutokana na wizi. Okay apart from maridhiano nini kimebadilika mpaka leo mdhani mkishinda mtatangazwa huku bara?Itakuwa ni ujinga chama cha upinzani kuwa hakiwezi onyesha upinzani mpaka kuwepo na tume huru, nyi wabongo mmelegea sana hamukuonyesha kujikaza wakati wote tokea mumeanzisha chama chenu