Ni ujinga usio na kipimo kusema Lissu is worth a million more na wakati alipotangaza maandamano hawakutoka ata watu 3., ata yeye binafsi hakutoka na badala yake alikimbili ubalozi eti katumiwa sms na mtu atakayemuua., haikuleta tija yoyote yeye kwenda ubalozi wala haikumsaidia chochote kisiasa., Lissu is a coward idiot..,Zitto akiibiwa kura hapo kibondo asije kulialia hapa akubali matokeo na ampe ushirikiano Samia!!
Huyo unayesema alikua kwenye kiyoyozi uliona alivyorudi hadi ACT mkapoteana na mgombea wenu wa kubumba haahaaa.
Yaani pale ndio nliwadharau kabisa.... Mnapokea kapi la CCM na liliwakomesha mkakosa kila kitu huku bara hamna mtaji wa wanachama kabisa.
Lissu is worth a million more ndio maana zitto alikubali kumuunga mkono maana aliona upepo wake haukamatiki.
ACT walijuta sana kumuunga mkono coward Tundu Lissu ambaye sasa anakiongoza chama chenu kupitia twitter na youtube