Uchaguzi 2020 ACT-Wazalendo wasema watashiriki uchaguzi mdogo jimbo la Muhambwe

Uchaguzi 2020 ACT-Wazalendo wasema watashiriki uchaguzi mdogo jimbo la Muhambwe

Kwa sasa Tanzania hatuchagui mtu kwa umaarufu wake, bali tunachagua mtu kwa kazi yake au utendaji wake na ndio maana uliona kina Mbowe na genge lake wameangukia pua ktk uchaguzi mkuu uliyopita. Sababu wananchi waliwapima kwa kaz zao na sio umaarufu wao. Haiwezekani kiongozi kama Mbowe yupo ktk jimbo kwa zaid ya miaka 10 lkn hakuna la maana hasa alilolifanya zaidi ya kuendelea kuwadumaza vijana kama ww kwa kuwahamasisha wafanye maandamano, migomo nk. Huku wananchi ktk jimbo lake wakiwa hawana maji, barabara, hospital nk. Najua anawatumia watu kama ww humu jukwaani kumtetea madudu yake lkn 98% ya watanzania tunajua kinachoendelea
We huna unalojua mkuu hata kina polepole wakisoma hizi comment zenu wana wadharau. Hayo majimbo ya CCM kama kondoa yamewahi kuwa na maendeleo kuliko Hai? Mnajua mnaongea pumba tu. Kule Buhigwe kwa Mpango wanakunywa maji ya tope tokea uhuru na ipo chini ya CCM miaka yote?

We jiulize tu inakuaje Moshi mjini wapige kura watu elfu 70 tu alafu Hai wapige kura zaidi ya laki na nusu!! Ina maana Jimbo la hai lina population kuliko Moshi Urban? Tuweni serious kidogo.

CCM iliangushwa majimbo zaidi ya 100 but ndio hivo ilipora tu.... Mfano kule mtwara na lindi iliangushwa wazi kabisa ila eti majinbo yote CCM!!

Nyie mliamua kuiba endeleeni tu, na huyo mungu wenu sahivi analiwa na funza tu kuiba kulimsaidia nini sasa? Si angeiba Defibrillator mpya ili aongeze urefu wa maisha.

Embic.ile
 
Lete matoke ya kura zenu hapa uchaguzi uliopita ili tuamini sasa muna taasisi kubwa., nadhan kama sikosei mliambulia mbunge 1 tu wa kuchaguliwa

ACT wamekupiteni sana ni zaidi ya wabunge 4, hii hoja ya wingi wa watu au uchache wa watu haina mashiko sana mbunge akishachaguliwa kuingia pale bungeni hata kama alichaguliwa kwa watu elfu 5 au laki 5 haina msingi wowote kwa vile wote wanakuwa ni wabunge wa JMT, na wanafanaya kazi sawa wanalipwa sawa. kwa hiyo hii haina mantiki.

Angalia, nyinyi muna capital watu milioni 2 lakini muna ushiriki mdogo sana au hamna kabisa kwenye serikali., Kwa vyama vya upinzani bado ACT wamekupigeni bao sana.

Huwezi kuongoza wananchi kwa twitter kuna wakati wananchi wako lazima wakuone tena kwa mapambano.
Hahahha kwamba wabunge 20 waliotimuliwa hujawaona? Eti wabunge 5!!

Kama tu chama kinanyimwa majimbo yote na bado kimewazidi wabunge mnadhani ni level yenu??

Get real ACT ni pemba tu hku bara hamna tofauti na CHAUMMA au NLD!! Tena shujaa Maalim ameondoka ndio msahau kabisa hata kupata serikali milele.
 
CHADEMA huwa nawaelewa Sana Wana Nia njema ya kuiondoa ccm kistaarabu. Hawana uchu wa mafaraka
 
CHADEMA huwa nawaelewa Sana Wana Nia njema ya kuiondoa ccm kistaarabu. Hawana uchu wa mafaraka
Kweli kbs ndio maana kila unapofika uchaguzi mkuu kinaokoteza wagombea wa kukimaliza taratibu bila nyumbu kujua
 
CHADEMA ni chama cha upinzani ACT na wajinga wenzao ni matawi ya CCM.

Hivyo ukome kuilinganisha CDM na hao waganga njaa wenzenu
Saccos wasio ongoza kwa matendo ya kuenzi domokrasia ndani ya chama chao
 
Sasa mbona Tundu Lissu 2020 aliranda nchi nzima kupiga kampeni awe rais wa JMT bila tume huru ya uchaguzi hamkuwaachia ccm ishiriki peke yake? kuna wakati mnakuwa na kisebusebu kuna wakati mnajitia kununa., hamjielewi
Mitano tena. Au nasema uongo ndugu zangu?
 
Huyo makamu mwenyekiti mliyetaka kumuua kisa kabishana na bosi?
Nyie mbona hamna huruma kabisa?
Chacha wangwe ndo anamjua vizur muuaji wa viongozi wenu. Ukiutaka uenyekiti taifa, basi ujiandalie pia na sanda au sanduku la kukuzikia. So kilichomponza makamu ni ile kujifanya anataka kuwa juu zaidi ya mwenyekiti
 
CHADEMA ni chama cha upinzani ACT na wajinga wenzao ni matawi ya CCM.

Hivyo ukome kuilinganisha CDM na hao waganga njaa wenzenu
Kweli?
FB_IMG_16255668169175650.jpg
 
Chadema wasimamisha mgombea jimbo la konde
 
Back
Top Bottom