Edward Sambai
JF-Expert Member
- Nov 16, 2013
- 2,823
- 3,831
Lengo la zitto Sio kushindwa Bali kupata attention tu.ACT kiukweli bado Sana kusimamia wanachokiamini kwa vitendo, heri hata CUF wakati mwingineelewa anachoongea, hivi kama utashiriki uchaguzi ambao unahakika hata ukishinda unapigwa chini nini faida yake? sasa unataka watu wapoteze muda bure sio? bora ishiriki CCM peke yake
Zitto kwake tume huru ni rais.haahaaHuu ni ujinga wa mwanasiasa, kinachopiganiwa ni maslai ya vyama na sio nchi/taifa.
Sasa kama miaka yote tunapiga kelele kudai tume huru pamoja na katiba mpya alafu wewe unaona kuwa hii tume ni sawa kwa kushiriki chaguzi, kweli tutafika
Sasa mbona Tundu Lissu 2020 aliranda nchi nzima kupiga kampeni awe rais wa JMT bila tume huru ya uchaguzi hamkuwaachia ccm ishiriki peke yake? kuna wakati mnakuwa na kisebusebu kuna wakati mnajitia kununa., hamjielewielewa anachoongea, hivi kama utashiriki uchaguzi ambao unahakika hata ukishinda unapigwa chini nini faida yake? sasa unataka watu wapoteze muda bure sio? bora ishiriki CCM peke yake
Sasa mbona Tundu Lissu 2020 aliranda nchi nzima kupiga kampeni awe rais wa JMT bila tume huru ya uchaguzi hamkuwaachia ccm ishiriki peke yake? kuna wakati mnakuwa na kisebusebu kuna wakati mnajitia kununa., hamjielewi
pale tulitaka kuonyesha dunia kwa vitendo kuwa kuna wizi wa kura na iliona hvyoSasa mbona Tundu Lissu 2020 aliranda nchi nzima kupiga kampeni awe rais wa JMT bila tume huru ya uchaguzi hamkuwaachia ccm ishiriki peke yake? kuna wakati mnakuwa na kisebusebu kuna wakati mnajitia kununa., hamjielewi
Chadema hamjtambui mpompo tu ili mradi. Jussa kasema vizuri sana. Chapa kazi huku unadai unachodai.Siku ukikipata unasonga mbele zaidi.Chadema Saccos ya familia hadi baba akubaliCHADEMA ni chama cha upinzani ACT na wajinga wenzao ni matawi ya CCM.
Hivyo ukome kuilinganisha CDM na hao waganga njaa wenzenu
Tangazeni basi 2025 hamtashiriki bila tume huru kama walivyotangaza CUF lipumba., kwann mna kigugumizipale tulitaka kuonyesha dunia kwa vitendo kuwa kuna wizi wa kura na iliona hvyo
Tunapima upepo kwanza kupitia ACTTangazeni basi 2025 hamtashiriki bila tume huru kama walivyotangaza CUF lipumba., kwann mna kigugumizi
Wachana na cdm weee endelea na shetani wenu ccm na ndugu zenu waganga njaa kina ACTChadema hamjtambui mpompo tu ili mradi. Jussa kasema vizuri sana. Chapa kazi huku unadai unachodai.Siku ukikipata unasonga mbele zaidi.Chadema Saccos ya familia hadi baba akubali
Coward chadema.,Tunapima upepo kwanza kupitia ACT
Kigugumizi cha kutoka wapi? Hiyo haraka unanitoa wapi kurukia mambo ya 4 yrs to come?Tangazeni basi 2025 hamtashiriki bila tume huru kama walivyotangaza CUF lipumba., kwann mna kigugumizi
Coward ni walio kuleta hapa duniani ikiwa ni matokeo ya kulala kwenye mkesha wa mbio za mwengeCoward chadema.,
Hasara ni kwao wenyewe maana haitobadili chochote. Chaguzi zote zilijaa dhuluma labda kwavile huu umegusa hadi wenye chama.CHADEMA wao wamegoma!
Kazi ipo!!!!
Mwizi ni mwizi tuZamu ya Samia sasa kuiba KURA[emoji16][emoji16]
Nyie ACT kushiriki ni halali maana mna maridhiano tayari but kwa CHADEMA ingekua aibu maana wamepinga chaguzi, wamekataa viti maalum afu waje kutafuta jimbo moja??Mbona kina Halima Mdee hawakutimkia chama chengine cha Siasa waliunga mkono juhudi na kuungana na Chama cha Mapinduzi kule bungeni na mpaka leo umemskia au ku-tweet kitu chochote? inafaa kufahamu Chadema pia sio salama ni wale wale CCM lakini kama haitoshi Msigwa na Mnyika unajuwa waliongea nini baada jiwe kufariki?
Kwa ufupi elewa siasa za upinzani Tanzania zitakuwa zimetetereka pa kubwa baada ya maalim seif kufariki, peke yake alionyesha upinzani na wala hakuwa na bei. Sasaiv kwa Tanzania upinzani inabidi kuanza upya. Ndani ya Chadema mpaka dakika hii naandika wapo top leaders ni CCM.
Hujui maana ya Tume huru.Itakuwa ni ujinga chama cha upinzani kuwa hakiwezi onyesha upinzani mpaka kuwepo na tume huru, nyi wabongo mmelegea sana hamukuonyesha kujikaza wakati wote tokea mumeanzisha chama chenu
Mbona kina Halima Mdee hawakutimkia chama chengine cha Siasa waliunga mkono juhudi na kuungana na Chama cha Mapinduzi kule bungeni na mpaka leo umemskia au ku-tweet kitu chochote? inafaa kufahamu Chadema pia sio salama ni wale wale CCM lakini kama haitoshi Msigwa na Mnyika unajuwa waliongea nini baada jiwe kufariki?
Kwa ufupi elewa siasa za upinzani Tanzania zitakuwa zimetetereka pa kubwa baada ya maalim seif kufariki, peke yake alionyesha upinzani na wala hakuwa na bei. Sasaiv kwa Tanzania upinzani inabidi kuanza upya. Ndani ya Chadema mpaka dakika hii naandika wapo top leaders ni CCM.