Fundi Mchundo
Platinum Member
- Nov 9, 2007
- 10,448
- 8,705
Ameongea vizuri. Lakini swali la msingi ni kuwa yale yote waliyosema kuhusu uchunguzi wa mambo yaliyotokea, fidia kwa walio athirika, wahusika kuadhibiwa na marekebisho katika vyombo vya dola na usimamizi wa uchaguzi yatafanyika kabla ya wao kuingia rasmi katika GNU au wanategemea kuyafanya wakiwa ndani ya serikali kwa kutegemea nguvu za wawakilishi wao wanne na wabunge wanne?
Amandla...
Amandla...