Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe ulitaka wagome na chama wakifute kabisa auHawa wapinzani nimeamini hawama principles, ni watu wa kupelekwapelekwa na njaa.
Wakiminywa kidogo njaa ikawauma, wanajipeleka wenyewe kama wasenge
Sawa Mkuu...Maandiko yako hayana maana, hayajengi yanabomoa. Mshindi wa kweli ni yule anayerudisha mshikamano baada ya ushindi, si yule anayejitapa kwa ushindi huku akimnanga mpinzani.
CCM NA UPINZANI NI MUDA WA KUUNGANA NA KUIPIGANIA NCHI ILI HALI YA UCHUMI IRUDI NA PESA ZITAWALE MTAANI. CORONA IMETUUMIZA SANA.
Hawajuagi hata serikali ya kuinuniajamaa anajipaga kazi msemji wa chadema sasa mebaki solemba
Acha siasa za BONGO Njaa tupu.kuna miili ipo chini ya ardhi na tani 9 za udongo huku wengine wakila kuku kwa mrija , daaah
Lisu ni mkimbizi!
Upo pamoja nao kwenye nn?Lissu, Mbowe, Maria Sarungi msife moyo tupo pamoja nanyi, viongozi wa act ni wanafiki, hawana utofauti na Mbatia.
Ndugu zangu wazanzibar chagueni chama mbadala cha kuwapigania kwani act na ccm ni dugu moja Sasa.
Na kusaidia serikali kupata hela za mabeberu kupitia mgongo wa demokrasiaMkuu
Bahati mbaya umechelewa kufikia hitimisho. Hivi "vyama vya upinzani" lengo lao ni kuisaidia CCM ibaki madarakani. Basi!
Wewe jamaa itakuwa Lisu amewahi kukutafuna then akakumwagaMasikini Tundu, kakataliwa tena, mikosi imemuandama balaa duh, ...
nadhan wamepata fundisho sasa! izi kelele ziishe sasaHawajuagi hata serikali ya kuinunia
Wanadhan huu ni wakati wa JK
MkuuSawa Mkuu...
Kwa hiyo MSHINDI hastahili kuufurahia ushindi wake wenye TIJA kabla ya "kulijenga taifa"?!!
Ndio kwanza jana Baraza la mawaziri limejulikana..