BLACK SUPERMAN
Senior Member
- Nov 28, 2013
- 158
- 196
Sijalipia mudamrefu, vipi wewe umesajili, maana Mimi Kuna kipindi nilipumzika kupost baada ya Kodi kuona kubwa kulinganisha na nipatacho nikakaa kando, then 2021 nikarudi kuanza kuandika Kama kawa..vipi wewwe umeshasajili blog yako
Propeller wazuri na wanalipa poa sana sema tu vimatangazo vyao vidogo sanangoja nisikilizie adsense nikikosa narudi propellerads
Alafu sometime wanaonesha matangazo ya porn bila ridhaaPropeller wazuri na wanalipa poa sana sema tu vimatangazo vyao vidogo sana
Sent from my TECNO B1f using JamiiForums mobile app
Sijawahi hata kusajili vp unaweza kuapply onlineSijalipia mudamrefu, vipi wewe umesajili, maana Mimi Kuna kipindi nilipumzika kupost baada ya Kodi kuona kubwa kulinganisha na nipatacho nikakaa kando, then 2021 nikarudi kuanza kuandika Kama kawa..
Sent from my TECNO B1f using JamiiForums mobile app
Inazingua kinyama nahisi hawajafungua New registration, tusubiri nape azungumzieSijawahi hata kusajili vp unaweza kuapply online
p1 sanaInazingua kinyama nahisi hawajafungua New registration, tusubiri nape azungumzie
Sent from my TECNO B1f using JamiiForums mobile app
Hapo ndo pabayaAlafu sometime wanaonesha matangazo ya porn bila ridhaa
See bait si wabongo wale akina Norbert kibendera ndio wanamilikiHivi bongo tumeshindwa kuwa na agent wa digital ads?
Brand kubwa si kitotoYote kwa Yote Adsense ndo babalao
WapoHivi bongo tumeshindwa kuwa na agent wa digital ads?
Nimecheki hao See bait naona ni websites/blog. Niko na app. Ilifika kama $40 admob. Wameifungia kisa contents za kiswahili☹️☹️Wapo
Nimecheki hao See bait naona ni websites/blog. Niko na app. Ilifika kama $40 admob. Wameifungia kisa contents za kiswahili☹️☹️
Kwenye app wanazingua sana see bait wapo kwa ajili ya website and blogsNimecheki hao See bait naona ni websites/blog. Niko na app. Ilifika kama $40 admob. Wameifungia kisa contents za kiswahili[emoji3525][emoji3525]
Hv unaweza ku include more than one niche kwny blog/site moja? Mfano kwny hii site yako nmekuta kuna article inayohusiana na chaja, tablet. Afu kwa chn kuna article inayohusu mambo ya popunderyou can review my blog Safariafricablog
NdioHv unaweza ku include more than one niche kwny blog/site moja? Mfano kwny hii site yako nmekuta kuna article inayohusiana na chaja, tablet. Afu kwa chn kuna article inayohusu mambo ya popunder