Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asante sana kutujuza, je taarifa ya mitandao mingine tunaomba mwenye nayo
HahahahaMsiwe na wasiwasi bia zimepunguziwa Kodi ile mlewe msahau shida zenu.
Mi nazani yeye na jini lake, tuwakatae!! waondoke watuachie nchi yetu!! Tuanzishe harakati ya kataa Samia kataa madelu.Kuanzia leo urafiki na Mimi ukome, huyo wanaomuita madelu,katutenganisha jamaa Ana roho mbaya Sana ,,nakumbuka yeye ndiye aliyemshauri anko asitaje wagonjwa wa korona,,nakumbuka enzi zake watu waliokotwa kwenye viroba,,Sasa sijui huyu mama yetu kipenzi hili jini ametoka nalo wapi,
Marekebisho kidogo hapo juu.Mi nazani yeye na jini lake, tuwakatae!! waondoke watuachie nchi yetu!! Tuanzishe harakati ya kataa Samia kataa madelu.
sasa utaenda wapi ndugu kilichotokea huko ndio sawasawa na mabenki nayo hivyoKuanzia leo urafiki na Mimi ukome, huyo wanaomuita madelu,katutenganisha jamaa Ana roho mbaya Sana ,,nakumbuka yeye ndiye aliyemshauri anko asitaje wagonjwa wa korona,,nakumbuka enzi zake watu waliokotwa kwenye viroba,,Sasa sijui huyu mama yetu kipenzi hili jini ametoka nalo wapi,