nguruka wa kig0ma
JF-Expert Member
- Jan 16, 2020
- 2,946
- 2,932
Hata alipoingia magufuli watu walikuwa na matumaini baadae akageuka kuwa zimwi likujualo.Aaaaah Wakuu, Nyie si ndio mlisema sjui Nchi Imepona mbna mmegeuka Tena na mkafikia mbali mkasema kwamba Mama Yenu Anaupiga Mwingi Wakuu [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]