Medecin
JF-Expert Member
- Nov 29, 2011
- 8,221
- 22,496
Afadhali makato ya benki, mkeka wa mpesa na tigopesa unatishia amanisasa utaenda wapi ndugu kilichotokea huko ndio sawasawa na mabenki nayo hivyo View attachment 1854315
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Afadhali makato ya benki, mkeka wa mpesa na tigopesa unatishia amanisasa utaenda wapi ndugu kilichotokea huko ndio sawasawa na mabenki nayo hivyo View attachment 1854315
Ule mkeka sio kipole pole, ni hatariAfadhali makato ya benki, mkeka wa mpesa na tigopesa unatishia amani
Huoni kama kuna nafuu hapo..sasa utaenda wapi ndugu kilichotokea huko ndio sawasawa na mabenki nayo hivyo View attachment 1854315
Ulitakaje?Wakuu salama?
Nimemtumia ndugu yangu elfu 30 ya kununua dawa huko kijijini. Cha kushangaza nimekatwa karibia elfu 3 nzima.
Haya makato ni ya kawaida kweli au kuna technical errors kwenye system za tigo pesa?
View attachment 1854421
Nikama 10% hiyo ni hela ndefu kweli kweli itatubidi tutumie njia mbadalaWakuu salama?
Nimemtumia ndugu yangu elfu 30 ya kununua dawa huko kijijini. Cha kushangaza nimekatwa karibia elfu 3 nzima.
Haya makato ni ya kawaida kweli au kuna technical errors kwenye system za tigo pesa?
View attachment 1854428
Aiseeeehapo tayari umesha changia mwanao au mtoto wa ndugu yako akapate elimu bora, pia umesaidia ndugu yako popote alipo apate huduma bora hospitalini.
usijutie makato hayo, utafurahia huduma za afya, elimu na barabara.
mjenga nchi ni mwananchi, tujenge nchi yetu.