Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi uzalendo huwa unalazimishwa mkuu?Hiyo ni kodi ya kizalendo. Au nasema uongo ndugu zangu? 😊😊
Aliyemteua Mwigulu kwenye ile nafasi, huenda na yeye pia akawa na file kama alivyosema Antony Diallo.Solidarity Fund.[emoji847]
Ikibidi unalazimishwa kama hivi....Hivi uzalendo huwa unalazimishwa mkuu?
Toka hapa asee. This is more than a painhapo tayari umesha changia mwanao au mtoto wa ndugu yako akapate elimu bora, pia umesaidia ndugu yako popote alipo apate huduma bora hospitalini.
usijutie makato hayo, utafurahia huduma za afya, elimu na barabara.
mjenga nchi ni mwananchi, tujenge nchi yetu.
Wewe ni zungu au mwigulu? Hii comment ni uzi wa pili nakutana nayo. Sijui unalenga nini wakati unajua kabisa makato sio stahiki hayohapo tayari umesha changia mwanao au mtoto wa ndugu yako akapate elimu bora, pia umesaidia ndugu yako popote alipo apate huduma bora hospitalini.
usijutie makato hayo, utafurahia huduma za afya, elimu na barabara.
mjenga nchi ni mwananchi, tujenge nchi yetu.
Nadhani huo mfumo kama utakuwa hauna faida kwa baadhi ya watu waachane nao na watafute njia mbadala.Ikibidi unalazimishwa kama hivi....
Sasa hapo umeikomoa serikali au mtu aliyekuomba hela?Mtu wa mkoani sasa hivi asiniombe hela nitamwambia elfu 10 unayotaka ninayo, tatizo ya kutolea ndio sina, kama vipi toka Moro njoo Dar uchukue elfu 10 yako.
Makampuni ya simu na serikali wajiandae kuumia kwa hili, hawajanikomoa hata kidogo.
Sasa hii unachangia kwa lazima.Kuchangia ni hiari ya mtu na sio lazima
Anaupiga mwingi eeh [emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]Mi nitaweka za vocha tu