nguruka wa kig0ma
JF-Expert Member
- Jan 16, 2020
- 2,946
- 2,932
Hata alipoingia magufuli watu walikuwa na matumaini baadae akageuka kuwa zimwi likujualo.Aaaaah Wakuu, Nyie si ndio mlisema sjui Nchi Imepona mbna mmegeuka Tena na mkafikia mbali mkasema kwamba Mama Yenu Anaupiga Mwingi Wakuu [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Gharama za transaction ni almost 10% ya kiasi unachotuma acha turudi bank tu kwakweli.Hata alipoingia magufuli watu walikuwa na matumaini baadae akageuka kuwa zimwi likujualo.
Tutarudi nadhani amechukua mlungula kwenye ma bank Ali turudi hukoGharama za transaction ni almost 10% ya kiasi unachotuma acha turudi bank tu kwakweli.
Anaweza kuwa ni mmoja wapo wa hao kwa life jinsi ilivyo huwezi kushangilia hayo madudu ya kina Zungu,Mwigulu na Spika waoWewe ni zungu au mwigulu? Hii comment ni uzi wa pili nakutana nayo. Sijui unalenga nini wakati unajua kabisa makato sio stahiki hayo
Eeeh! Mtazoea tuWakuu salama?
Nimemtumia ndugu yangu elfu 30 ya kununua dawa huko kijijini. Cha kushangaza nimekatwa karibia elfu 3 nzima.
Haya makato ni ya kawaida kweli au kuna technical errors kwenye system za tigo pesa?
View attachment 1854428
Atakua Zungu madellu uyo ndio wapigaji wanaona wa Tanzania wote tupo nao sawa kipatoWewe ni zungu au mwigulu? Hii comment ni uzi wa pili nakutana nayo. Sijui unalenga nini wakati unajua kabisa makato sio stahiki hayo
Mtani kwani na yeye atakuwa anatumia hizi njia kweli?Hii ndio Tanzania bado yeye akakatwe
KweliiiiHiyo ni kodi ya kizalendo. Au nasema uongo ndugu zangu? [emoji4][emoji4]
Atakuwa ZunguWewe ni zungu au mwigulu? Hii comment ni uzi wa pili nakutana nayo. Sijui unalenga nini wakati unajua kabisa makato sio stahiki hayo