Ramon Abbas
JF-Expert Member
- May 4, 2021
- 1,964
- 3,913
π»ππππππππ πππ πππππππππ ππππ ππππ π ππππKelele zote hizi kisa imeongezeka 200 tu, shame![emoji1614][emoji36]
Tulia wewe tukanyagie wheelspanner vizuri ndio kwanza tupo nati ya kwanza zimebakia 4!πππHivi uzalendo huwa unalazimishwa mkuu?
HahahahahahahAliyemteua Mwigulu kwenye ile nafasi, huenda na yeye pia akawa na file kama alivyosema Antony Diallo.
Zake hazikatwi hata mia anaagiza tu na kusaini checkMtani kwani na yeye atakuwa anatumia hizi njia kweli?
Hayo makato bado yanavumilika. Kwenye bajeti ijayo makato yaongezwe mara dufuWakuu salama?
Nimemtumia ndugu yangu elfu 30 ya kununua dawa huko kijijini. Cha kushangaza nimekatwa karibia elfu 3 nzima.
Haya makato ni ya kawaida kweli au kuna technical errors kwenye system za tigo pesa?
View attachment 1854428
Nipe ufafanuzi mkuu kuhusu safaricom iko vipiWale tunaohamia Safaricom tutambuane!
Ndio kwanza mama ana miezi minne.
[emoji120][emoji120][emoji120]ungekaa kimya tu maana hujui ulisemaloKelele zote hizi kisa imeongezeka 200 tu, shame![emoji1614][emoji36]
Umelala yoooo! Baba umelala yooo!Wakuu salama?
Nimemtumia ndugu yangu elfu 30 ya kununua dawa huko kijijini. Cha kushangaza nimekatwa karibia elfu 3 nzima.
Haya makato ni ya kawaida kweli au kuna technical errors kwenye system za tigo pesa?
View attachment 1854428
Tu eeeeeeeKelele zote hizi kisa imeongezeka 200 tu, shame![emoji1614][emoji36]
Kuwa mpole Mkuu,Nchi imeuzwa.Wakuu salama?
Nimemtumia ndugu yangu elfu 30 ya kununua dawa huko kijijini. Cha kushangaza nimekatwa karibia elfu 3 nzima.
Haya makato ni ya kawaida kweli au kuna technical errors kwenye system za tigo pesa?
View attachment 1854428
Kuna Technical Solidarity Package πWakuu salama?
Nimemtumia ndugu yangu elfu 30 ya kununua dawa huko kijijini. Cha kushangaza nimekatwa karibia elfu 3 nzima.
Haya makato ni ya kawaida kweli au kuna technical errors kwenye system za tigo pesa?
View attachment 1854428
Heheheh wao wansomeshwa bure shule mpaka za kata zina full ac! Ukihangaika kwa siku hukosi hela ya kujikimu tena ndefu tu ambayo unakula na chenji inabakia! Kazi zipo nyingi tu kule sio kama huku muhindi anataka ufanye kazi ya 50K kwa siku akulipe 5KWANANCHI WA MAREKANI NA NCHI ZA ULAYA ZINAWASIKIA WATANZANIA kuwa hawataki kulipa KODI ETI WANATAKA WASAIDIWE!!!!
AISEE!
NGOJA WANACHI WENZETU WATUSIKIE! SIJUI WATATUONAJE, KWELI TUMEKOMAA AU TULIDEKEZWA MPAKA UKUBWANI?!