Adaiwa kuchoma nyumba ya hawara baada ya kutomkuta usiku, mtoto afia ndani

Kanda ya ziwa again
 
Kuna mtu hana wivu mkuu??
Bora huyo mwenye wivu na anaounesha ukaujua. Vipi wale wakugumia ndani kwa ndani ndo hao unakuta kakuchomea ndani bila sababu za msingi.
 
Wivu ndo mapenzi yenyewe
 
Kosa la mauaji
Kosa la kuchoma nyumba/ jengo ( arson)
Hivi huyu jamaa anatoka kweli?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…