Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtu ukweli una uzungumza ukiwa na hasira na ukiwa umechapa vifaa🍻🍻🍻Alimaanisha huyo🤣🤣🤭
🤣🤣Umeona eeMtu ukweli una uzungumza ukiwa na hasira na ukiwa umechapa vifaa🍻🍻🍻
Zamani kabla ya kuvuta bangi tulikuwa tukijifunza kwanza kwa kuvuta majani ya mpapai,manyanunda,amasya alafu ndo tunajipima sasa kwamba bangi ni size yetu ama lah!Mtoto, Ashura Makelebe (4) amekufa kwa kuteketea kwa moto ndani ya nyumba baada ya mtu anayedhaniwa kuwa na uhusiano wa kimapenzi na mama yake mzazi kudaiwa kuchoma moto nyumba aliyokuwa amelala.
Mtuhumiwa huyo ambaye anashikiliwa na Jeshi la Polisi kwa madai hayo, anadaiwa kufikia uamuzi wa kuteketeza nyumba hiyo baada ya kumkosa, Acyprian Charles (24) ambaye ni mama mzazi wa Ashura alipoenda kumtembelea usiku wa kuamkia leo Juni 23, 2023.
Kaimu Kamanda wa Polisi mkoa wa Mwanza, Gideon Msuya amethibitisha kutokea kwa tukio hilo huku akisema jeshi hilo linamshikilia, Magesa Mkama (29) kwa tuhuma za kuchoma nyumba hiyo kwa lengo la kumkomoa hawara yake na kupelekea kifo cha mtoto huyo.
View attachment 2667028
Jita man huyo.Magesa Mkama sidhani kama ni Msukuma huyu. Likely Mjita!
Try again 😬😬😬
Wasukuma mna shida gani?
Mbousousou on one and two 😄Mbususu again...
Karembo ka baadae kamkufa bila ya hatia 🥲Inasikitisha sana, apumzike kwa amani Mtoto Ashura.
Angechoma mtaa mzima kwann hawakumpa taarifaHuyu Jamaa kiboko
yaani anamuonea wivu Hawara yake hadi anachoma moto Nyumba… jee ingekuwa Mkewe kachepuka si ingekuwa hatare zaid
Angechoma mtaa mzima kwann hawakumpa taarifa
Yaani walikuwa wanaona mke wake watu wanateleza halafu hawamuambii 😄 choma nyumba zote 🔥[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] apewe taarifa!!!!
Tangu lini msukuma akaitwa magufuliTangu lini Kuna msukima anaitwa magesa!!????
Yupo kwenye ule uzi wetu pendwa au huyu ulimla serious?yani kuna mwanamke nilimlaa siku tukazinguana anaanza kuniambia mimi ni mkalii sijui hata wanaume wananiogopaaaa...na nawachukia wanaume balaa aisee SIKUJIBU MSG WALA KUPOKEA SIMU ZAKE TENA. aliombaa msamahaa eti ni maneno tu hasiraaa ila sikugeukaa nyumaaa.