Adaiwa kuchoma nyumba ya hawara baada ya kutomkuta usiku, mtoto afia ndani

Zamani kabla ya kuvuta bangi tulikuwa tukijifunza kwanza kwa kuvuta majani ya mpapai,manyanunda,amasya alafu ndo tunajipima sasa kwamba bangi ni size yetu ama lah!
 
Duuuh kijana mdogo anaenda kuishia Jela, kisa uteleziii, si angerudi tyuuh kwake akapiga zake nyetoo kimoko akawa mwepesi akalala, khaaaah

RIP mtoto [emoji24][emoji24][emoji24]
 
Haya mambo ya mapenzi mnayoendekeza na kuuwana kwanini nchi isiuzwe kwa DP World, nchi ngumu sana
 
Jaman malaika wa Mungu,kina mama Ashura mna Nini lakini?mtoto Miaka minne,ila kitumbua unakitembeza,Afya ya mtoto hata huijali?Madem mmezidi.
 
Single mother muwe makini na watu mnao toka nao,mtatuulia watoto wetu.
 
Yupo kwenye ule uzi wetu pendwa au huyu ulimla serious?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…