naamini hajapata size yake bado maana anachagua wa kuwazingua.mbona jamaa hanaga mdomo mbaya mkuu??? adam mabhangiii anazingua snaaa
Ninakushukuru sana kwa Kulijua hili.Wengi mnasahau,
Adam Mchomvu wa clouds
Ni sawa na GENTAMYCINE wa Jf
Ukichanganya Ni dkk sifuri za chembe zishakuhusu[emoji38]
Nimecheka Sana asee!!Hata hvyo wavuta mibangi ni kama masai wanabadilika muda wowote
Mfano mmasai mnaweza mkacheza draft ukimfunga sana unashangaa anatoa panga
Wapi kagombana kuhusu kodi unajua anaishi wapi? Hebu tuanzie hapo kwanza
Anaishi sinza
yani alimpiga jamaa kama anataka kumuaa sijui shida ni nini... hata kama hasiraa sio kufanya hivyo sehemu ya kazi.naamini hajapata size yake bado maana anachagua wa kuwazingua.
Ipo siku atapigwa ngumi za kutosha halafu wamalize na kumpiga pipe kabisa aishie kujamba vizuri.
Adam sio bangi zinazomtoa akli ni ushoga uliomjaa ndio unamchanganya.
Hiyo niliamua niachane nayo vipi unataka kujua?Hii ligi iliishia vipi? π π
Hahaha nitengenezee ID halali unipe mkuu.unafikiri watu wanapigwa kizembe tu. Jaribu uone kama sijakutoa kimba.
Unajificha nyuma ya keyboard na ID batili kutetea ubwege wako.
mchomvu endelea kuyakanda mijianaume mikoloBora adam anaetembeza vichapo kuliko mijanaume inayopumuliwa,mchov endelea hivo hivo ndo uanaume huo[emoji1787]
Qchief anataftaga sana public sympath,huyu na chid kuna mda wanaeza kumprovoke mtu had sio poa
Siku ukienda kumpa pole itakua vizuri ukimpachika na hilo swali ili kusudi upate majibu makhsus.Chila aliyajuaje ayo?
Q Chief ni mjuaji sana nmeangalia ile press conference yupo na Mwanasheria wake mpka unajiuliza hapa Mwanasheria ni yupi na mteja ni yupimbona jamaa hanaga mdomo mbaya mkuu??? adam mabhangiii anazingua snaaa
Hamna lawyer paleQ Chief ni mjuaji sana nmeangalia ile press conference yupo na Mwanasheria wake mpka unajiuliza hapa Mwanasheria ni yupi na mteja ni yupi
Adamu 'Mibangi' mtangazaji wa Clouds wa kipindi cha XXL amempiga makonde mazito msanii wa siku nyingi Q Chief/Q Chilla/Savimbi mnamo tarehe 1 March 2023,alivyokwenda kutambulisha Ep yake kwenye kipindi hicho, msanii huyo aliweza kujizuia kutokuonyesha hali ya jazba na kuendelea na kilichompeleka.
Msanii Q chief amechukua hatua za kisheria dhidi ya mtangazaji huyo.
Habari zaidi msikilize mwanasheria wa msanii huyo,
View attachment 2551144View attachment 2551145
Hii si mara ya kwanza Adam kufanya shambulio la kudhulu mwili, alifanya hivyo kwa Emanuel Mbasha, Alifanya hivyo Kwa Mtangazaji mwenzie enzi yupo Clouds Dina Marios, Geah Habib,nk hapo hapo clouds na kusababisha kusimamishwa kwa muda asiende kazini.
Hii tabia inaharibu brand ya Clouds iliyowekwa kwa muda mrefu.
Joseph Kusaga huyu bwana mdogo anakuharibia sana hapo clouds fukuza kazi ulinde brand ya kampuni,kampuni kwanza mtu baadae!
Mzaha mzaha hutumbua usaha wahenga walinena,usipoziba ufa utajenga ukuta.Wacha kukumbatia wahuni fukuzia mbali.
TAtizo wanaume wa Dar mmelegea sana, utapigwaje na mibangi kama huyo?
Huyu kijana huu ubabe wa Arusha anauleta Dar, kuna siku atakuja kupigwa mpaka ajinyee.
Ngumi huwa hazina mwenyewe, atajichanganya tu kuna siku kwa wakina Zola D πHuyu jamaa mboga saba ugali kitenesi anawapigaje watu huyu π€ ila kamkuta chilah kaisha na sembe ndo maana anachukua maujiko,, ila one day atayapima kwa mtoto wa uswahilini afu atayakuta ya shingo,,,
Vichapo tukuka πNajua Adam Mchomvu ni Mshari / Mgomvi kutokana na Uarusha wake, Usela Nnya wake na Bange zake, ila sitaki Kuamini kuwa hutoa Vichapo tukuka kwa Waliotajwa hapa bila ya Yeye Kuchokozwa au Kukerwa na Matendo ya Wote aliowapiga.
Ulishuhudia?yani alimpiga jamaa kama anataka kumuaa sijui shida ni nini... hata kama hasiraa sio kufanya hivyo sehemu ya kazi.
Adam ni masai halafu anavuta bangi,nadhani vyanzo vya matatizo vipo viwiliHata hvyo wavuta mibangi ni kama masai wanabadilika muda wowote
Mfano mmasai mnaweza mkacheza draft ukimfunga sana unashangaa anatoa panga
Kwa kifupi Q Chief angeweza ku_kashoggiwa humo humo mjengoni i.e kupotezwaKwenye mjengo wa Clouds Mgeni anapigwa Makonde mazito na hawajachukua hatua yoyote sasa hapo Mtu si anaweza akanyongwa kabisa humo studio? π₯²
Ina maana kwa Wageni kwenda Mjengo wa Clouds sio salama kwao hakuna ulinzi dhidi yao,
Q chillah atafute Mwanasheria mzuri ili iwe fundisho kwa hiyo Media na huyo mtu mzima hovyo anayejifyetua akili.
Mbona niliwah kuona historia ya Adam kuwa ni mmasai na pia anasema kadomea Uganda hadi chuo?Hahahah sijui kuhusu bondia mpare ila nachofahamu hata mimi ukizingua nakukanda freshi tu π