Uchaguzi 2020 Adam Mchomvu ampiga mtama Emmanuel Mbasha stejini kwenye tamasha la CCM uwanja wa Uhuru

Umesoma vizuri nilichoandika boss?
 
Tamasha lolote lililogubikwa na laana ya Mungu ni lazima vurugu au mauaji yatokee , jionee mwenyewe
 

Attachments

  • Kesi ya Adam Mchomvu na E Mbasha _sob__sob__sob_ Back stage palinuka kinomaaa _sob__sob__sob_ ...mp4
    5.4 MB
Ngumi ndio heshima Kwa mwanaume yeyote yule, unachokishangaa wewe ni nini na wewe ni mwanamke?

Eti limegubikwa na laana ya Mungu, ina maana Yale mawe ya wahuni wa Kia kwenye msafara wa Lisu, ni Lisu analaana ya Mungu? We vipi?
 
Ngumi ndio heshima Kwa mwanaume yeyote yule, unachokishangaa wewe ni nini na wewe ni mwanamke?

Eti limegubikwa na laana ya Mungu, ina maana Yale mawe ya wahuni wa Kia kwenye msafara wa Lisu, ni Lisu analaana ya Mungu? We vipi?
kwa taarifa yako tamasha lile 80% ni mamluki
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…