Hapana ntakuwa tofauti kwa wote acheni kutetea vitu vya kihuni na kibangi bangi kama alivyofanya Adam Mchomvu kaanza kum outsmart Mbasha mwenyewe then Mbasha katika kuongea ilikuwa Lugha ambayo mosty people wanaitumia katika maongezi ya kawaida,
Ushahidi wa kwanza Mbasha alikuwa anacheka akawa kama kaenda kumkumbatia jamaa ndo akawa kakasirika na kumpiga mtama,
Aliyejiout smart wa kwanza ni Adam imeonyesha dhahiri anavuta kweli hayo mabangi pili kakosea kwa kumpiga jamaa Mbasha Mtama hadharani tena msanii mkubwa ambaye yuko kwenye game over 15 Years ni utoto wa hali ya juu
Acheni kushabikia ujinga Adam ndio kazingua mnooo
Sisi hatuhusiki mkuu , jionee mwenyewe 😆😆😆😆Hilo jambo BAVICHA mtalishikia bango hadi kunakucha
NimeonaSisi hatuhusiki mkuu , jionee mwenyewe [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
sasa kama ni hivyo Bavicha inahusikaje ?Nimeona
Haya mambo kwenye jamii yapo, hata mimi ukiniita majina ya kifala lazima nikuzingue big time
Kama kawaida yao, tukio zima hilo wayalofanya Ajenda kwao[emoji1787]Hilo jambo BAVICHA mtalishikia bango hadi kunakucha
Mimi ni Chadema pure, usijipendekeze kabisa kwangu.Kama kawaida yao , tkio zima ilo wayalofanya Ajenda kwao[emoji1787]
Lugha za kibangi chukulia tu poaKumpiga bunda ndo sijaelewa
Duh uwanja wa masumbwiTamasha lolote lililogubikwa na laana ya Mungu ni lazima vurugu au mauaji yatokee , jionee mwenyewe
Ni yeye 2020Wakuu naangalia Channel Ten uzinduzi wa nyimbo za kampeni kwa CCM nimeona Adam ndo host lakini kafanya kituko cha hovyo kwa kumpiga bunda Emmanuel Mbasha jukwaani hadi kuanguaka baada ya kuona Emmanuel Mbasha kazidisha masihara japo E Mbasha amezuga na Adam nae kazuga ila wameharibu.
Ni aibu lakini nimeona ameitwa pembeni nadhani wameenda kuyamaliza.
View attachment 1538627
View attachment 1538629
kwa taarifa yako tamasha lile 80% ni mamlukiNgumi ndio heshima Kwa mwanaume yeyote yule, unachokishangaa wewe ni nini na wewe ni mwanamke?
Eti limegubikwa na laana ya Mungu, ina maana Yale mawe ya wahuni wa Kia kwenye msafara wa Lisu, ni Lisu analaana ya Mungu? We vipi?
Vinahusiana sababu Jahazi kilifungiwa sababu watangazaji wametoka nje ya maadaili,same as Adamu Mchomvu tena ya hadhara nacho yupo kinyume na maadili.Mitama ya kwenye shuhuli za CCM inahusiana vipi na TCRA ?