Uchaguzi 2020 Adam Mchomvu ampiga mtama Emmanuel Mbasha stejini kwenye tamasha la CCM uwanja wa Uhuru

Nilicho observe ni kuwa vijana wengi wa Arusha waliopo humu jamvini wameshapoteza ile anonymity na Kwa ujinga wao wame blow identity zao kiasi kwamba hawawezi tena kwenda aganist state kwa kukosoa wamebaki kuimba na kusifu tu, Kuna kitu walianzisha umoja wa wana Arusha waliopo jamvini wana saidiana saidiana na hicho ndio kimewaondolea ile kauli mbiu ya kuwa here we dare to talk openly kwa kuji expose na kublow cover zao,

Tunajua ni Fisi waliova ngozi za kondoo ila tu ijulikane kuwa JPM is here to stay na Mitano tena uhakika mimi binafsi tu mpaka sasa nina kundi kubwa tayari ambalo lita vote kwa Magufuli
 
Hili ndio jambo lililokusanya watu uhuru.aisee wasanii ni hewa hawa
 
Sifa mojawapo ya kua mwanaccm sharti usiwe na akili ata kidogo.
 
 

Attachments

  • TAZAMA_ADAM_MCHOMVU_NA_MBASHA_STEJINI_KILICHOMCHUKIZA_ADAM__MTAMA__LIVE_KWENYE__UWANJA_WA_UHUR...mp4
    7 MB
Imenikumbusha ... ZINEDINE ZIDANE vs MATERAZ...

yapo maneno ya kufanyia utani na mengine sioo...pia utani unafinyikia wapiii .... wee jamaa wee Jani la Arusha ni nongwaa
 
Mbona hawakuvaa wengi, B12 hakuvaa, Jonijo hakuvaa, Dokii hakuvaa, Shilole hakuvaa, dogo janja hakuvaa, Wasanii wengi watangazi na ma DJ hawakuvaa. Au wee ni mbasha?
 
Chade' sidhani kama hata wangeruhusiwa kufanya ilo Tamasha, wangeambiwa lina maudhui ya kufanya kampeni 🤣 🤣 😡 nchi haiishagi double standard yaani full vituko..
 
uyo aliempga mwenzake kwa kuitwa bangi sana sio sawa, binafsi sivuti na sijawahi lakini nimeshaita watu sana "we bangi unajua" na hakukua na reaction ile

huu ni msemo kwa vijana wenye tafsiri tofauti, labda km walikua na visa nyuma ya - so wakawa wanatafta sababu, ila video nyuma ya jukwaa Mbasha anaonekana kutaka suluhu mwenzake kagoma - si sawa
 
Sio kwamba umemuelewa Mchomvu tofauti na nilivyomwelewa mkuu?

Kwanini ufikiri sasa mimi ndiyo nilikimbia umande na sio wewe.
Kwa sababu mchomvu alitoa kauli husika kama sehemu ya kutimiza majukumu yake ya kikazi
 
Chade' sidhani kama hata wangeruhusiwa kufanya ilo Tamasha, wangeambiwa lina maudhui ya kufanya kampeni [emoji1787] [emoji1787] 😡 nchi haiishagi double standard yaani full vituko..
Hapana yangeitwa maandamano
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…