Uchaguzi 2020 Adam Mchomvu ampiga mtama Emmanuel Mbasha stejini kwenye tamasha la CCM uwanja wa Uhuru

Uchaguzi 2020 Adam Mchomvu ampiga mtama Emmanuel Mbasha stejini kwenye tamasha la CCM uwanja wa Uhuru

Nilicho observe ni kuwa vijana wengi wa Arusha waliopo humu jamvini wameshapoteza ile anonymity na Kwa ujinga wao wame blow identity zao kiasi kwamba hawawezi tena kwenda aganist state kwa kukosoa wamebaki kuimba na kusifu tu, Kuna kitu walianzisha umoja wa wana Arusha waliopo jamvini wana saidiana saidiana na hicho ndio kimewaondolea ile kauli mbiu ya kuwa here we dare to talk openly kwa kuji expose na kublow cover zao,

Tunajua ni Fisi waliova ngozi za kondoo ila tu ijulikane kuwa JPM is here to stay na Mitano tena uhakika mimi binafsi tu mpaka sasa nina kundi kubwa tayari ambalo lita vote kwa Magufuli
 
Wakuu naangalia Channel Ten uzinduzi wa nyimbo za kampeni kwa CCM nimeona Adam ndo host lakini kafanya kituko cha hovyo kwa kumpiga bunda Emmanuel Mbasha jukwaani hadi kuanguaka baada ya kuona Emmanuel Mbasha kazidisha masihara japo E Mbasha amezuga na Adam nae kazuga ila wameharibu.

Ni aibu lakini nimeona ameitwa pembeni nadhani wameenda kuyamaliza.

Hili ndio jambo lililokusanya watu uhuru.aisee wasanii ni hewa hawa
 
Haya maccm tuyapige ngwala na tuyachonganishe yapigane ngwala.Ila nasikitika kutoona video ya ngwala aliyopigwa mbasha mwenye nayo angeitupia humu,ingependeza zaidi iwe ya slow motion tuone step by step za athari za mtama mpaka mlengwa anavyotua chini
 

Attachments

  • TAZAMA_ADAM_MCHOMVU_NA_MBASHA_STEJINI_KILICHOMCHUKIZA_ADAM__MTAMA__LIVE_KWENYE__UWANJA_WA_UHUR...mp4
    7 MB
Imenikumbusha ... ZINEDINE ZIDANE vs MATERAZ...

yapo maneno ya kufanyia utani na mengine sioo...pia utani unafinyikia wapiii .... wee jamaa wee Jani la Arusha ni nongwaa
 
Huyu jamaa kaacha maswali mengi ukichukulia ni mtu wa Arusha kule inakotoka CHADEMA.

Alikuwa na nia ya kuchafua tamasha la CCM ? Maana sasa tamasha halijadiliwi, linajadiliwa tukio hilo tu?

Kwa nini baada ya tukio alisifiwa sana na makada wa CHADEMA?
Mbona hawakuvaa wengi, B12 hakuvaa, Jonijo hakuvaa, Dokii hakuvaa, Shilole hakuvaa, dogo janja hakuvaa, Wasanii wengi watangazi na ma DJ hawakuvaa. Au wee ni mbasha?
 
Wakuu,

Jana tumeona Mtangazaji Adam Mchomvu akimpiga buti Bwana Emmanuel Mbasha Jukwaani, kama vile haitoshi, Adam akamfuata Backstage na kutaka kuendelea kumpa kichapo.

Hii ni Baada ya Mbasha kumusema "Adam unajua wewe Banghe" sana Jukwaani.
Kitendo kile cha aibu na kihuni kimetokea kwenye tukio lilirotabiwana Chama cha Mapinduzi CCM

Sio Ustaarabu na wala sio Maadili ya ki Tanzania Mtu kumuita mwenzake Banghe Kwenye kadamnasi, yaani unamuita Mwenzako anatumia mihadarati, tunajua Banghe ni haramu kwa Sheria zetu,na iko kwenye category ya Madawa ya Kulevya.

Pia Kitendo cha Adam kumchapa Mbasha pia ni cha kihuni na ni jinai,japokuwa ni dhahiri alikuwa provoked na Mbasha.

Kama Wananchi wenyeMapenzi Mema na Taifa letu, Tunamtaka Msajili wa vyama vya Siasa kukiandikia Chama cha Mpinduzi Barua kuonesha na kukuchukulia hatua kali za Kinidhamu kwa tukio la Jana.

Tunajua ingekuwa ni CHADEMA tayari Msajili angeshatia neno
Chade' sidhani kama hata wangeruhusiwa kufanya ilo Tamasha, wangeambiwa lina maudhui ya kufanya kampeni 🤣 🤣 😡 nchi haiishagi double standard yaani full vituko..
 
Wasanii wangapi wamechafuka kwa kuambiwa wanavuta bangi??? Bangi ni sehemu ya vifaa vya kazi vya wasanii wengi! Na wasanii na entertainers wengi wanavuta bangi na wanajulikana na hawajawahi kushuka umaarufu kisa wamefichuliwa wanavuta bangi. Hata hivyo kimjini mjini The term "bangi sana" ninavyoelewa haimaanishi mtu anavuta bangi, humaanisha MKALI sana au ANA VITUKO SANA . Huyo Mchomvu atakuwa mshamba na akili zake zina mapungufu. Mtu mzima kumpiga teke au ngumi mtu mzima mwenzako ni wazi ni mshamba na mjinga
uyo aliempga mwenzake kwa kuitwa bangi sana sio sawa, binafsi sivuti na sijawahi lakini nimeshaita watu sana "we bangi unajua" na hakukua na reaction ile

huu ni msemo kwa vijana wenye tafsiri tofauti, labda km walikua na visa nyuma ya - so wakawa wanatafta sababu, ila video nyuma ya jukwaa Mbasha anaonekana kutaka suluhu mwenzake kagoma - si sawa
 
20200811_141542.jpg
 
Sio kwamba umemuelewa Mchomvu tofauti na nilivyomwelewa mkuu?

Kwanini ufikiri sasa mimi ndiyo nilikimbia umande na sio wewe.
Kwa sababu mchomvu alitoa kauli husika kama sehemu ya kutimiza majukumu yake ya kikazi
 
Chade' sidhani kama hata wangeruhusiwa kufanya ilo Tamasha, wangeambiwa lina maudhui ya kufanya kampeni [emoji1787] [emoji1787] 😡 nchi haiishagi double standard yaani full vituko..
Hapana yangeitwa maandamano
 
Back
Top Bottom