Uchaguzi 2020 Adam Mchomvu ampiga mtama Emmanuel Mbasha stejini kwenye tamasha la CCM uwanja wa Uhuru

Uchaguzi 2020 Adam Mchomvu ampiga mtama Emmanuel Mbasha stejini kwenye tamasha la CCM uwanja wa Uhuru

Wakuu naangalia Channel Ten uzinduzi wa nyimbo za kampeni kwa CCM nimeona Adam ndo host lakini kafanya kituko cha hovyo kwa kumpiga bunda Emmanuel Mbasha jukwaani hadi kuanguaka baada ya kuona Emmanuel Mbasha kazidisha masihara japo E Mbasha amezuga na Adam nae kazuga ila wameharibu.

Ni aibu lakini nimeona ameitwa pembeni nadhani wameenda kuyamaliza.




Nimemuonea huruma huku nacheka!😂😂😂😂😂
 
Duh! Naona imekuwa fashion maana huko Somalia Rais na Makamu wamepigana hadharani kabisa
 
Wakuu naangalia Channel Ten uzinduzi wa nyimbo za kampeni kwa CCM nimeona Adam ndo host lakini kafanya kituko cha hovyo kwa kumpiga bunda Emmanuel Mbasha jukwaani hadi kuanguaka baada ya kuona Emmanuel Mbasha kazidisha masihara japo E Mbasha amezuga na Adam nae kazuga ila wameharibu.

Ni aibu lakini nimeona ameitwa pembeni nadhani wameenda kuyamaliza.



Hapana ntakuwa tofauti kwa wote acheni kutetea vitu vya kihuni na kibangi bangi kama alivyofanya Adam Mchomvu kaanza kum outsmart Mbasha mwenyewe then Mbasha katika kuongea ilikuwa Lugha ambayo mosty people wanaitumia katika maongezi ya kawaida,
Ushahidi wa kwanza Mbasha alikuwa anacheka akawa kama kaenda kumkumbatia jamaa ndo akawa kakasirika na kumpiga mtama,

Aliyejiout smart wa kwanza ni Adam imeonyesha dhahiri anavuta kweli hayo mabangi pili kakosea kwa kumpiga jamaa Mbasha Mtama hadharani tena msanii mkubwa ambaye yuko kwenye game over 15 Years ni utoto wa hali ya juu

Acheni kushabikia ujinga Adam ndio kazingua mnooo
 
Niaangalia kwa makini, hakika Adam Mchomvu kwa ulichofanya kama host duniabnzima inakushangaa host wa Kipindi kikubwa na radio bora kufanya mambo ya kitoto umedhihirisha ulimwengu kweli unatumia hicho kileo

Omba msamaha fasta mambo yaishe kwa mbasha ule ni utani tu kakukumbatia ukamla shoka dah
 
Dah
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Vichaa wawili jukwaani
 
Back
Top Bottom