Sijui kama utapata jibu humu maana hakuna mwana JF anaesikiliza Clouds FM, anyway kama unafikiri natania subiri uone kama mada yako itapata wachangiaji zaidi ya watu kuulizana habari zao kama eg hivi Marekani na Ubelgiji walifungana ngapi ngapi
Ninazo zote hapa.....msaada namn ya kuziweka hapa.
Ase! Uzi huu umenipa majibu mengi kuhsu akili zawatz kwamba wengi wao hawfikr kwa kina wengi wao ni mamburura bila kujali elimu zao.Inahitaji elim gani kugundua kuwa yale ni maigizo!? Hawa ndo ambao ukawa wanadai wameandika katiba mpya eti tuicopy na kupast kama ilivyo...mamaaa!
Malezi nayo yanachangia,wavumiliane tuDalili za kugombana zipo muda mrefu, na kama uongozi walikuwa hawaoni hilo basi ni uzembe wao na sasa wamevuna walichopanda....labda kama uongozi huwa hawafuatilii vipindi vyao (hakuna msimamizi wa vipindi)
Fetty ana tabia za KUreact violently kwa wenzake na hata wageni/wasanii, Adam naye ana tabia sugu ya uchokozi kwa watangazaji wenzake na hata wageni/wasanii wanaofika studio...kama kumbukumbu zangu ziko sawa kwa kuwataja wachache...Fid q, Dully...nimewahi KUnotice wakikwazwa na Adam...na kama ni kushikana mashati nilishaliona hili...haswa kati ya Adam na msanii....
Yaan watangazaji ndo MAMENEJA?solo thang na verse zake kwenye"mtazamo"