qn of sheba
JF-Expert Member
- Sep 13, 2011
- 3,230
- 1,380
Mliokuwa mnajifanya mnajua sana kusikiliza na kuwaponda wenzenu na kudai kuwa ni maigizo nadhani mmesikiliza amplifaya ya clouds saa moja.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mliokuwa mnajifanya mnajua sana kusikiliza na kuwaponda wenzenu na kudai kuwa ni maigizo nadhani mmesikiliza amplifaya ya clouds saa moja.
Wewe ndio husikilizi baada ya kukatazwa na Mbowe. Usitusemee bana.
ziweke kwenye kipindi tutazisikiliza huko, hapa si mahala pake sawa?
kama huzitaki wewe kuna wezako wanazihitaji...kihelehele cha nini kukataza wenzako wasipate???
Kwenye kiaudio tu hiki una unaubinafsi je tukakupa uwe moderator hapa jf utasumbua????
kwa taarifa yako nishawatumia 6 wanajf na bado wengine wananiomba niwatumie na ntawatumia
kozi sipati hasara yoyote!!
wameanza kutaniana kuhusu cd za fiesta, basi ukaingia ugomvi wakaanza kutukanana huku wapo on air.
source: Mimi mwenyewe
Mwenye kujua zaidi atuhabarishe
===============================
LILE TUKIO SIO LA KWELI.
INGAWA LILITOKEA KWELI KWA MAANA YA "LIVE"
NI ILIKUA SEHEM YA KUTENGENEZA KICK ILI WAUZE ALBAM YAO YA PAMOJA.
LKN PIA, WANAJIANDAA KWENDA LIKIZO SO KILICHOTOKEA PALE ZILE DK 5 LILIKUA NI TUKIO LA KUTENGENEZWA ILI KUTENGENEZA PESA..
MATUKIO YA NAMNA ILE YAMESHAWAI KUTOKEA KTK VITUO KADHAA VYA HABARI NA BURUDANAI KM HOT 97 FM, KISS FM, 365 the power. Nk.
So ieleweke halikua Tukio la kweli.
Jamaaa anashangaza sana,,eti tukio halikuwa la kweli,,anamaanisha nn? anyway Clouds moja ya radio za kihuni sana nchiniUmekazana kutetea ndg vp?msg moja umetuma mara 20,we ni mmoja wao au umetumwa kusafisha?
We ni fan wao? Mi sina time nao so hawanuhusuí-½í±Ž
kama hawakuhusu ulipoona title ya thread usingefungua, otherwise we ni mmbea.