aaaa naona natwangwa maji kwenye kinu hapa, eti fikiri! We ndo ufikiri, naona hujui moja kuhusu theories za human revolution.je miaka 5000 baadae yale masokwe mtu yatakua binadamu ? Mkuu funguka zaidi ..fikiri
Yani mkishashiba lazma mnye popote si ndio?
kama sio adamu tutajie unaemjua wewe sasa
nadhani hujaelewa point yangu
mimi sikubaliani na kauli inayosemwa na vyanzo kuwa binaadamu wa kwanza alikuwa adam ila katika hii dunia kipindi hicho mungu aliumba watu wengi sana na tena wote walitokana na udongo ila si kweli kuwa dunia ilikuwa na watu wa wili tu yaani adamu na hawa....
Nadhani
umenielewe ndugu nilichokimaanisha
Baada ya gharika kipindi cha Nuhu, wana watatu wa mzee Nuhu walizaa makabila tofauti wenye rangi tofauti wenye rangi ya brown, black, white na yellow. Kwa hiyo rangi si hoja wote wakimwamini Yesu wataokoka, Amen...!!!???
Baada ya gharika kipindi cha Nuhu, wana watatu wa mzee Nuhu walizaa makabila tofauti wenye rangi tofauti wenye rangi ya brown, black, white na yellow. Kwa hiyo rangi si hoja wote wakimwamini Yesu wataokoka, Amen...!!!???
Hii thread naomba mods waifute mpaka mwanzisha thread aje na vielelezo vya kutosha, vifungu vya bible etc. Sio kuja na story za vijiweni humu.
Ifungwe kama ilivyofungwa ya Jason Bourne aka Yericko Nyerere kuhusu Zitto.
Huyo yesu ametokea wapi hapa wakati kipindi hicho hakuwepo ?acha ushabiki haukufikishi popote
Kwann mungu aseme na tuumbe mtu kwa mfano wetu, na sikusema tuumbe kitu kwa mfano wetu, je kulikuwa na watu wasio mfano wa mungu, kama adam ni first creation why aliitwa mtu pasipo kuwepo.
Kwa hiyo we unahisi wa kwanza alikua nani?siamini kama alikuwa wakwanza dunian
Hii thread naomba mods waifute mpaka mwanzisha thread aje na vielelezo vya kutosha, vifungu vya bible etc. Sio kuja na story za vijiweni humu.
Ifungwe kama ilivyofungwa ya Jason Bourne aka Yericko Nyerere kuhusu Zitto.
Tafadhali Soma kitabu cha Mwanzo 1:1-31, within lines, huku ukitafakari usisome kama hadithi - hakuna uumbaji wa binadamu uliofanyika kabla ya Adamu na Hawa
aaaa naona natwangwa maji kwenye kinu hapa, eti fikiri! We ndo ufikiri, naona hujui moja kuhusu theories za human revolution.
kaka ukienda huko utajichanganya tu
MUNGU ALIUMBA KILA KITU KATIKA ULIMWENGU HUU SIO MASOKWE PEKEE THEN NDIO YA KABADILIKA ....LABDA ULIKUA UNATAKA KUNIAMBIA NINI KUHUSIANA NA MASOKWE RELATING TO HUMAN REVOLUTION?
QURAN inasema zimepita zama nyingi sana ulimwenguni hakukuwa na kiumbe binaadamu ,hii dunia ilikuwa na viumbe wengine wasiokuwa binaadamu inasema hii dunia ilikuwa inatawaliwa na majini baada ya kuona majini wanapigana na kuuwana ndipo Allah akaamua kumuumba kiumbe aitwae binadamu,
QURAN inaeleza namna binadamu wa mwanzo namna alivyoumbwa ni hivi ifuatavyo:
Mungu (Allah) alimtuma malaika izrail aje duniani kuchukua udongo ili aumbwe binadamu ndipo Mungu akamtengeneza binaadamu wa kwanza baada ya kumpulizia roho Mungu akawaagiza malaika kumpa heshima adam kwa kumsujudia
Baada ya kuumbwa adam ndipo Mungu(Allah)akaweza kumuumba Hawa kutoka katika ubavu wa adam as ili iwe ni kitulizo cha nafsi na kuzaa watoto ,
Ndipo Mungu akatengeneza system yake kwa wakati huo ili watu wazaliane ,hawa alikuwa anazaa kila siku asubuhi na jioni mungu amewawezesha kuzaa hivyo ,wakaruhusiwa kuoana wao kwa wao ili wawe waijaze dunia hii ndio wakaweza kuzaliwa watoto wengi sana ,ndipo baada ya watu kuwa wengi na nabii adam na hawa kuondoka duniani ndipo Allah(Mungu)akamleta nabii NUHU kuja kuwaelimisha watu kumuamini na kumuabudu Allah(MUNGU) na sio kuabudu asiyekuwa yeye ,nuhu aliwalingania watu hao kwa kipindi cha miaka 900 takribani alipta wafuasi wachache sana idadi imenipita kidogo ,ndipo dunia ikaghariki na waliopona ni waliopanda jahazi la nuhu,
Huo ndio mchakato ulivyokuwa nimetohoa ktk Qur an
mkuu nimesoma vizuri labda ni kuulize wewe adam ni baba wa ulimwengu je ndio wakwanza kuwa udongo ama?
Huwezi kumwaga maandishi tu kama kichaa anayevua nguo hadharani; hata huyo kichaa watu watataka kujua ni kwanini anavua nguo hadharani na sisi tunataka kuona hizo hoja zako zinazoonyesha ukweli huo sio kutoa matamko tu bila basis. Hata mimi leo hii nikijitokeza humu na kusema sio kweli Sir Isaac Newton ndiye mtu wa kwanza kugundua nguvu ya uvutano watu watataka kujua background ya hoja yangu ili wajifunze kitu kipya.
Kwann mungu aseme na tuumbe mtu kwa mfano wetu, na sikusema tuumbe kitu kwa mfano wetu, je kulikuwa na watu wasio mfano wa mungu, kama adam ni first creation why aliitwa mtu pasipo kuwepo.