spidernyoka
JF-Expert Member
- Jan 2, 2020
- 7,557
- 20,477
Huyo mwamba hataki masihara chidi alichezea kichapo Tena kipindi kile chidi mtu kweli body la maana haujaporomoka na madawa .Kumbe mzee mjinga mpumbavu Kimbunga MC alishawahi kumpasua Benzino [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
By the way natafuta nyimbo ya kimbunga MC Ile mzee mjinga mpumbavu na natuma salamu
Huyo nae mwehu alikuaga mbabe kwa Mr nice tu.Umesahau dudu baya nae
Unajua nini, mtu akishakuwa na followers milioni 3 IG, kufeli labda afeHii tabia ya kupiga wasanii in public imeshakua ni tabia yako Sasa, ukidhani kuwa wewe ni nunda na ni mkakamavu sana.
Ulimpiga mtama mbasha kwenye jukwaa bila aibu na ukajizolea umaarufu ukajiona wewe ni ninja sana katika mapigano.
Muulize chidi benzi kilichompata, na yeye alikua na tabia Kama yako Tena alikua anajiita mikono mfululu akimaanisha kuwa yupo fiti katika mapigano.
Chidi alimpiga marehemu mangwea na alikuja akampiga profesa jay
Nafikiri adamu wewe ni msanii hizo stori unazo kuhusu utukutu wa chid benzi, kiufupi alikua anapenda kupiga watu ambao hata ugomvi hawapendi na siyo watu wa ugomvi kabisa.
Hutokuta sehemu marehemu ngwea kagombana na mtu au prof jay kagombana na mtu.
Lakini kilichokuja kumkuta chidi benzi ni aibu kubwa alipokuja kuchezea ngumi za kutosha na mwanahiphop mmoja anayefahamika kwa jina la kimbunga.
Kimbunga alimkanda chidi benzi ngumi za kutosha na huo ndiyo ukawa mwisho wake wakujifanya anapiga watu kumbe si lolote.
Kalapina nae kwenye show yake alimuadabisha chidi benzi mbele za watu baada ya kuleta ubabe mbele ya wanaume.
Nakusihi adamu mchomvu ipo siku utayakanyaga usije kusema hatujakubia na endelea kuwapiga hao hao wanyoge.
hehehehe! akili za kitotoKuna interview DJ fetty alifanya na Salama, Fetty anasema Adam aliwahi kujamba studio makusudi ,sasa unaeza kuelewa jamaa ana akili gani
Wakiwa wapii mkaliii???Qchief: Mimi ni mganga siku hizi.
Mchomvu: Eti manager ,Qcheif ni mganga kweli?
Kabla Manager hajajibu ,Qchief akadakia.
Qchief: Yes ni mganga ,wewe Adam si ulisema Mkeo hataki umuoe? Njoo kwangu nikutibie
Ilikuwa kama matani hivi baada ya jibu hilo ndiyo Mchomvu akakasirika akaanza kumpa nakoz na vifuti na kutaka kumtoboa macho Qchief.
Asipobadilika, au asipofuata ushauri huu, YATAMKUTA MAMBO..!!Hii tabia ya kupiga wasanii in public imeshakua ni tabia yako Sasa, ukidhani kuwa wewe ni nunda na ni mkakamavu sana.
Ulimpiga mtama mbasha kwenye jukwaa bila aibu na ukajizolea umaarufu ukajiona wewe ni ninja sana katika mapigano.
Muulize chidi benzi kilichompata, na yeye alikua na tabia Kama yako Tena alikua anajiita mikono mfululu akimaanisha kuwa yupo fiti katika mapigano.
Chidi alimpiga marehemu mangwea na alikuja akampiga profesa jay
Nafikiri adamu wewe ni msanii hizo stori unazo kuhusu utukutu wa chid benzi, kiufupi alikua anapenda kupiga watu ambao hata ugomvi hawapendi na siyo watu wa ugomvi kabisa.
Hutokuta sehemu marehemu ngwea kagombana na mtu au prof jay kagombana na mtu.
Lakini kilichokuja kumkuta chidi benzi ni aibu kubwa alipokuja kuchezea ngumi za kutosha na mwanahiphop mmoja anayefahamika kwa jina la kimbunga.
Kimbunga alimkanda chidi benzi ngumi za kutosha na huo ndiyo ukawa mwisho wake wakujifanya anapiga watu kumbe si lolote.
Kalapina nae kwenye show yake alimuadabisha chidi benzi mbele za watu baada ya kuleta ubabe mbele ya wanaume.
Nakusihi adamu mchomvu ipo siku utayakanyaga usije kusema hatujakubia na endelea kuwapiga hao hao wanyoge.
Lilikuwa jibu lililobeba yafutayo;"I am strong enough to let it go" hili lillikuwa jibu la Ngwair baada ya kutandikwa na Cheed.
Kenny Rodger's wise words"You don't have to fight to be a Man"
Unknown
Kujamba ni kawaida otherwise awe anajamba kila dakika ambayo kiitaalamu tunaita bwabwa..))Kuna interview DJ fetty alifanya na Salama, Fetty anasema Adam aliwahi kujamba studio makusudi ,sasa unaeza kuelewa jamaa ana akili gani
sometimes you have to fight when you are a man"You don't have to fight to be a Man"
Unknown
Yeah Man,Kenny Rodger's wise words
True, ila sasa hujui unaye fight nae waweza jikuta Jela au Mochwarisometimes you have to fight when you are a man
Anasema kwa heshima ya Marehemu Ruge na Bwana Kusaga hakutaka kuonesha umwamba ndani ya mjengo pia alienda na Mama yake na Binti yake walikua nje wanamsubiriQ chillah nae kama Mwanaume alipopigwa akatulia tuu?
Au alikuwa mgonjwa
[emoji123]Lilikuwa jibu lililobeba yafutayo;
1. Busara ya hali ya juu
2. AKili yenye kutazama mbele
3. Maturity kubwa sana