Adamu Mchomvu usiposhika adabu, yatakukuta kama yaliyomkuta Chidi Benzi "mikono mfululu"

Kwani kapiga mwingine
 
Q chillah na Tid ni wasanii ambao hawajitambui Adamu Hana tatizo
 
Duhhh!!
 
Kuna Dudubaya pia leo yuko wapi
 
Bwana mchawi alishawahi kumchapa Chid Benga hii sijawahi sikia arooh.
 
Amechokwa na kila Mtu,
Ngoja tuone kwenye hili
 
adam mshamba sana yule chalii,kavamia jiji kwa fujo.

siku zake zinahesabika.
 
badala apigane na uchumi demu wake asijiuze viwanja ana piga wanyoge.Bangi zitakuponza chalii wa chuga.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…