Aden Rage kumshauri Try Again na Mangungu kudai Tsh. Milioni 100 za bango la Yanga kuifunga Simba 5

Aden Rage kumshauri Try Again na Mangungu kudai Tsh. Milioni 100 za bango la Yanga kuifunga Simba 5

Kwa hiyo tangazo ni sehemu ya 'popote pale' ? Kwamba CRDB wanaweza kudownload picha ya John Bocco kupitia Azam Tv na kujitangaza kwa kupitia hiyo picha?
Ni hivi ....CRDB hana haki yoyote na Azam TV wala Boko....

Ila Azam TV anamkataba na bodi ya ligi ...kisha na pia timu zote zinazocheza ligi kuu ..
Mfano Azam TV analipa bonasi kuanzia mshindi wa kwanza mpaka wa mwisho ...
Bonasi hizo zimetokana na kuwa na haki ya kutangaza na kupiga picha timu zikiwa michezoni ...

Sasa Yanga amepost picha ya mchezo Fulani wa ligi kuu .. Ruhusa ya kuimiliki hiyo picha anayo kutoka Azam TV ...
Na ruhusa hiyo anayo kwa kuweka picha hiyo kama habari ...kwenye social media au popote pale ...

Ingekuwa Yanga ametengeneza picha labda Geita 1 YAnga 7 ..na picha hiyo haipo Azam TV na Geita hana hayo matokeo...hapo kungekuwa na angalau mashiko
 
Ni hivi ....CRDB hana haki yoyote na Azam TV wala Boko....

Ila Azam TV anamkataba na bodi ya ligi ...kisha na pia timu zote zinazocheza ligi kuu ..
Mfano Azam TV analipa bonasi kuanzia mshindi wa kwanza mpaka wa mwisho ...
Bonasi hizo zimetokana na kuwa na haki ya kutangaza na kupiga picha timu zikiwa michezoni ...

Sasa Yanga amepost picha ya mchezo Fulani wa ligi kuu .. Ruhusa ya kuimiliki hiyo picha anayo kutoka Azam TV ...
Na ruhusa hiyo anayo kwa kuweka picha hiyo kama habari ...kwenye social media au popote pale ...

Ingekuwa Yanga ametengeneza picha labda Geita 1 YAnga 7 ..na picha hiyo haipo Azam TV na Geita hana hayo matokeo...hapo kungekuwa na angalau mashiko
Picha ya matokeo kutoka Azam Tv ina saifi store? Kama sio, Saifi store kapataje haki ya kukaa kwenye picha ambayo hausiki nayo?
 
Hiyo kesi Simba hawezi kushinda ..

Kudai fidia kuhusu nembo itakuwa ngumu ..kwakuwa pale kuna NBC premier league ..ambaye ameingia mkataba na Azam TV na bodi ya ligi..

Hiyo picha IPO kwenye page ya Azam TV ...ambao wana haki ya kupiga picha na kuzisambaza popote pale Duniani ...

Na ndio maana hata official page za Yanga kwenye Instagram, Facebook, sijui Twitter/X hizo image (nembo) zipo ila kwa hisani ya Azam Tv..

Azam TV ameruhusiwa kupiga picha na video kisha kurusha kwa MTU yoyote ..ili aweze kuzitumia kama habari au kumbukumbu ..

Azam TV amelipia hizo images ..na haki ya matangazo ..ambapo images hizo zinatumika ..popote pale ..
Kaka sheria sio rahisi kiac hicho ndio maana hata mambele unakuta kampuni kubwa inapigwa faini za copyright ..

Ww umeangalia kwa angle hio vipi
Simba wakiishita kampuni iliyoweka pale bango? Umejiuliza

Pili pale ingeandikwa simba tuu bila nembo sawa..... shida kuna nembo pale usione wajinga wanaotengeneza viatu badala ya kuandika ADIDAS anaandika ADIDOS sio wajinga, au mtu anaandika story ya kweli kwenye mtandao,halafu anakosea jina la character makusudi....jiulize kwanini wengi wakati wa mwendazake hawakuwa wanatumia jina lake kamili ila wanamuita JIWE,au MECCO?

Shida ipo sio bango..je? Bango lina mlengwa upi kibiashara au publicity tu..na pale simba imewekwa logo yake na chini kuna wadhamini ambao wengi simba hana mkataba nao


Hio kesi haishitakiwi yanga kama wanavyodhani bali kampuni ilitundika pale maana hawa mkataba na simba kutumia nembo yake? Kwa mm pesa naiona simba wakiwa serious wanapata..alichokosea mtundika bango angeacha jina liwe sahihi SIMBA ....halafu achezee logo kidogo angesalimika
 
Kaka sheria sio rahisi kiac hicho ndio maana hata mambele unakuta kampuni kubwa inapigwa faini za copyright ..

Ww umeangalia kwa angle hio vipi
Simba wakiishita kampuni iliyoweka pale bango? Umejiuliza

Pili pale ingeandikwa simba tuu bila nembo sawa..... shida kuna nembo pale usione wajinga wanaotengeneza viatu badala ya kuandika ADIDAS anaandika ADIDOS sio wajinga, au mtu anaandika story ya kweli kwenye mtandao,halafu anakosea jina la character makusudi....jiulize kwanini wengi wakati wa mwendazake hawakuwa wanatumia jina lake kamili ila wanamuita JIWE,au MECCO?

Shida ipo sio bango..je? Bango lina mlengwa upi kibiashara au publicity tu..na pale simba imewekwa logo yake na chini kuna wadhamini ambao wengi simba hana mkataba nao


Hio kesi haishitakiwi yanga kama wanavyodhani bali kampuni ilitundika pale maana hawa mkataba na simba kutumia nembo yake? Kwa mm pesa naiona simba wakiwa serious wanapata..alichokosea mtundika bango angeacha jina liwe sahihi SIMBA ....halafu achezee logo kidogo angesalimika
Inawezekana mkuu ...
Sibishi ..sheria ina mambo mengi ..
 
Kaka sheria sio rahisi kiac hicho ndio maana hata mambele unakuta kampuni kubwa inapigwa faini za copyright ..

Ww umeangalia kwa angle hio vipi
Simba wakiishita kampuni iliyoweka pale bango? Umejiuliza

Pili pale ingeandikwa simba tuu bila nembo sawa..... shida kuna nembo pale usione wajinga wanaotengeneza viatu badala ya kuandika ADIDAS anaandika ADIDOS sio wajinga, au mtu anaandika story ya kweli kwenye mtandao,halafu anakosea jina la character makusudi....jiulize kwanini wengi wakati wa mwendazake hawakuwa wanatumia jina lake kamili ila wanamuita JIWE,au MECCO?

Shida ipo sio bango..je? Bango lina mlengwa upi kibiashara au publicity tu..na pale simba imewekwa logo yake na chini kuna wadhamini ambao wengi simba hana mkataba nao


Hio kesi haishitakiwi yanga kama wanavyodhani bali kampuni ilitundika pale maana hawa mkataba na simba kutumia nembo yake? Kwa mm pesa naiona simba wakiwa serious wanapata..alichokosea mtundika bango angeacha jina liwe sahihi SIMBA ....halafu achezee logo kidogo angesalimika
Umeiona nembo iliyo tumika kwenye bango? angalia then angalia nembo ya Simba uone tofauti
 
Kuna biashara imefanyika hapo mkuu jifunze kitu inaitwa Multiplier Effect.

Serikali imepata Hela ya Kodi

Mwenye Bango kafanya Biashara

Mwisho kabisa Simba nao wanaenda kupata Hela kwa kuishtaki Yanga na walioweka Bango nao watapata Hela.
Aahaaaaaa

Asante kwa huu ufafanuzi
 
Mimi nadhani tuwe wapole tu kwani yatapita.

Kuanza kuishtaki YANGA kisa lile bango ni kujidharirisha.
 
Mwenyekiti wa zamani wa Simba na FAT Adan Rage, amesema wataidai na kuipeleka mahakamani kampuni ya outdoor, Saifi store waliohusika na Kutundika bango lilitumia nembo ya Simba, kwani muendo huo ni wa kibiashara na wamejitangaza kupitia logo ya Simba bila ridhaa ya Simba wenyewe.

Mbobevu huyo wa Sheria amedai ataongea na Try again na Magungu na Viongozi wengine wa Simba kupeleka Madai yao ya kiasi kisichopungua mil 100 Kwa Saifi store ikiwa ni sehemu ya pesa ya kutumika Kwa nembo yao.

Ikumbukwe kuwa club ya yanga iliipa kazi kampuni ya Saifi store kutengeneza na kupandisha bango kubwa linaloonesha ushindi wa bao 5-1 Kwa Yanga dhidi ya Simba.

Kauli hiyo pia imeenda sambamba na pongezi za ushabiki Bora, na pongezi mahsusi kutoka Kwa rais wa fifa kuwa Simba inapiga mpira kuliko Wyada na Mamelod.


Upumbavu wa hali ya juu, na ujinga ulizidi, that logo is too public, ma mtu ya hovyo haya
 
Back
Top Bottom