Adha kubwa tuipatayo abiria tunaosafiri na mabasi ya mikoani

Adha kubwa tuipatayo abiria tunaosafiri na mabasi ya mikoani

Dah.. Sijui nikwambie nini Mkuu, wazo lako zuri ila halitekelezeki, wenye hela nao wakisema "bus zinasimama kula sehemu local sana tunataka sehemu zenye chakula kisafi kisichodhuru tumbo" ITAKUAJE?

Then next time weka paragraph.
anasema sehem ambayo watu wote wata pata chakula kwa bei za viwango na siyo local sana
na asilimia kubwa ya watu wanao tumia mabasi huwa ni watu wa hali ya kawaida(kati) kimaisha wachache sana ndy wenye pesa na atakama unapesa kama unataka chakula cha bei si ungepanda ndege unakuja kujiminya kwenye mabasi uku
 
Back
Top Bottom