Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu kuna mhusika mmoja kwenye sinema fulani ya Ki-niger akiitwa Usopia, unamfahamu?Tengeneza chakula chako nyumbani, kifunge vizuri, utakula popote, muda wowote.
Mimi huwa nafunga ugalo wa LOYE
Shida ni eneo la kutosha kupaki mabasi, huduma ya vyoo, maintenance na maeneo mazuri kwa chakula. Kikubwa kuwe na ushindani kwenye hayo maeneo ya kula, yaani mwenye motel kazi yake iwe ni kuwaacha vendors wauze kwa bei zao za ushindani kisha wanamlipa kwa kutumia eneo Lake. Hapo adabu, class, quality, customer care nk zitakuwepo maana mteja atakuwa huru kuchagua na wauza vyakula watakuwa na disciplineJe, ni kwa kiasi gani hili ni tatizo kubwa?
"Serikali yetu hebu tusaidie wanyonge na hii tabia inazidi shamiri sana kwa wale ndg zetu wanao safiri mikoa ya mbali.
1. Dar to Mwanza, Dar to Mbeya,Dar to Kigoma, Dar to Arusha.
Kuna tabia na utaratibu wa mabasi walio jiwekea bila kuhofia abiria wao na sio rafiki kabisa wanapaki mabasi yao sehemu ya chakula bei zao ziko juu bila kujali abiria wao mifukoni mwao kuko vp chakula cha kawaida sana unakuta elfu 7 hadi elfu 8 na kuendelea wakati hicho chakula hakina hadhi ya kuuzwa bei hiyo halafu nu kidogo sana hivi wanadhani kila mtu anapesa ya kumudu hiyo pesa?
Jana nilikuwa natoka Arusha kuja Dar tulipo fika sehemu ya chakula nilitamani kulia niliongozana na Mama mmoja mwenye watoto watatu alivyoambiwa chakula cha bei ya mwisho ni elfu 7 alikuwa mnyonge sana na alikuwa na elfu 5 tu ikambidi anunue soda na biskuti roho iliniuma sana.
Sasa ombi langu kwa serikali itoe sheria na mwongozo kwa mabasi yote yawe yana simama kwenye mji ulio na huduma kwa wote sio kutupeleka maeneo ambayo wana maslahi nayo inaumiza sana.
NB. Kwa tetesi nilizo sikia dereva akipeleka basi sehemu ya hotel hupata huduma ya chakula bure yeye na watumishi wote wa gari na posho wanapewa kwa week au mwezi, sasa iweje maslahi yao yatutese abiria?
*Tupaze sauti kwa viongozi Wabunge na viongozi wote wa juu kuwa hii ni 2021
C and P from Whatsapp Groups
Ha ha ha ha ha hakumbe ndiyomaana Wasukuma huwa wanapanda basi wakiwa wamebeba Ugali kabichi na maharage ili kujiepusha na gharama.
Sehemu gani?Tabia ya kulisha watu njiani sio nzuri utakuja kuingia sehemu ujute
Rock hill ni sehemu poa sana pa kula nashangaa mtu analalamika 7000 kwa chakula nzuri na sehem nzuri Kama ile..mm sipandagi gari ambayo najua haitasimama rock hill[emoji23][emoji23][emoji23] yaani kila nikiwaza rock hill moyo wangu unajawa na furaha balaa[emoji23] nyama jamani nyamaaaa. Nyamaaa. Halaf ukiwahi napema zinakuaga tamu balaa. Watu wakishajaa waii.
Nilipandaga wakaenda kutulishia Highway. Jaman nilimind[emoji23] nilikasirika manusura kupasuka. Ila nafanyaje sasa na distance ndo hiyo. Nilichukiaaaa. Yaan rock hill kila variety unapata. Mpk bustani ya bure na hakuna wa kukuhoji kwanini umekuja na chakula chako. Unatandika zako mkeka ama unakaa kwenye majanj na wanao mnakula mpk basi. Mimi safari ambayo hakuna kula siutaki. Na kama hotel.chafu sigusi kitu acha niwe teja wa biskutiRock hill ni sehemu poa sana pa kula nashangaa mtu analalamika 7000 kwa chakula nzuri na sehem nzuri Kama ile..mm sipandagi gari ambayo najua haitasimama rock hill
Mm sehem kwenye safari ya arusha-dar ni rock hill na kilimanjaro tu ndio nakula Ila sana sana napendelea rock hill nile ile nyama choma nikiweka na bia zangu 4 inakua burdani nafurahia safari yangu,na uzuri wa pale naona hata usiku hawafungi coz Kuna siku nikisafiri na private usiku nakulaga pale...mtu akilalamika bei afungashe vyakula vyake home asafiri nayo.Nilipandaga wakaenda kutulishia Highway. Jaman nilimind[emoji23] nilikasirika manusura kupasuka. Ila nafanyaje sasa na distance ndo hiyo. Nilichukiaaaa. Yaan rock hill kila variety unapata. Mpk bustani ya bure na hakuna wa kukuhoji kwanini umekuja na chakula chako. Unatandika zako mkeka ama unakaa kwenye majanj na wanao mnakula mpk basi. Mimi safari ambayo hakuna kula siutaki. Na kama hotel.chafu sigusi kitu acha niwe teja wa biskuti
Dea wee acha hiv Dar - Songea unaweza kushindia biskut na soda? Safari masaa zaidi ya 17 kweli? Japo huwa wanatoa soda na maji.Ni sawa, hebu check pale Liverpool palivyo na mazingira yale then unataka uuziwe chips kuku buku 4 sio? Bora mpambane waanze at least kuwa wanauza chips kivyake kwa mtu anaetaka, waaache ile kulazimisha mtu anunue mpaka na kuku.
Kwanza sio lazima mkule njiani eboo. Panda full luxury unapata zako soda,maji na biscuit vitakusaidia kupunguza ukame wa njaa. Kale huko unapoelekea.
Kuna hii biscuit ya eet som more ukipiga ile na soda unashiba ndiii, kwanza hata kuimaliza ni ngumu unless uwe food monga. Ukishindwa beba maandazi kwako
Hawawezi kufunga kwakua misiba ni mingi sana sana. Pia kuna madereva wa malori. Huwa wanatoaga oda. Yaan nakumbuka last time msiba wa babu mpk nikasema jamani si ijirudie tena[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji24][emoji24][emoji24]yaan watu wanakula na kunywaa[emoji119][emoji119] utasema sendoff. Mkifika mnasema sisi ni wateja fulan ama wa usafiri fulani. Tulikua na coaster 10. Me sikuona kama ni msiba kwakweli. Jamaa abarikiwe sana aisee. Na lile shamba lake la migomba big up sana. Kama Dar ex press wqsingezinguana maybe tusingepata kitu kizuri hivi.Mm sehem kwenye safari ya arusha-dar ni rock hill na kilimanjaro tu ndio nakula Ila sana sana napendelea rock hill nile ile nyama choma nikiweka na bia zangu 4 inakua burdani nafurahia safari yangu,na uzuri wa pale naona hata usiku hawafungi coz Kuna siku nikisafiri na private usiku nakulaga pale...mtu akilalamika bei afungashe vyakula vyake home asafiri nayo.