Adha kubwa tuipatayo abiria tunaosafiri na mabasi ya mikoani

Adha kubwa tuipatayo abiria tunaosafiri na mabasi ya mikoani

Kabisa mkuu. Hoja yako ina mashiko sana. Hawa wamiliki wa hizi sehemu za chakula wanaibia pakubwa sana abiria. Vichips vya 5,000 huwezi hata kushiba. Mshikaki wa 5,000 hata haufanani na hiyo bei. Bei zao zimekaa kuwaumiza abiria. Wanafanya hivyo wakijua lazima ule tu kwa sababu huna sehemu nyingine ya kwenda kula. Serikali tafadhali wasaidieni hawa wanyonge.
Dawa yao ni kujiandalia menu ya 7,000 from home! Kuku nusu 3,500 ukitia na viazi vya 2,000 unakula mpaka unavimbilwa.

Achana na ule ushenzi wao wa kipaja na vichips mbili. Mkifanya mgomo wa aina hii kama abiria wale mbwa mahoteli watayafunga.

Binafsi ili kupunguza machungu na ili nishibe huwa natambaa na bufee kwa buku 7 hio hio na ninashiba.
 
Mbona kawaida msibani wanakunywa na kula pia mpaka kut00mbna njiani msiba unaoenda usiku jamani. Watu wanapiga konyagi k vant za kutosha njiani mpaka ashki zinawapanda wanamalizana haja zao
Mkuu huko mimi sijafika na kwetu maadali hayo hapana.
 
Amekopi kutoka facebook bila kuhariri.
Na kama ndo yeye mwenye aliyepost fb je[emoji23][emoji23] ila ni jambo haliwezekaniki. Safari hupangwa. Sisi wengine atusamehe tu. Maana kamili yetu ya safari ndo hapo kwenye menu[emoji23][emoji23]
 
Chamsingi andaa chakula chako home......Mihogo yako,viazi au ndizi etc

Kwanza nikiwa nasafiri huwa sipendi kula kula......yaani humo kwenye mabasi unakuta mtu anakula kila kinachomjia mbele utadhani mashindano.....mahindi ya kuchoma twende,ya kuchemsha twende,mayai mara kuku etc
 
Siku rungwe express akatuweka mahali pale mbele tu ya msamvu kabla hujafika aljazeera. Tulikuta nyama choma hatari.
Nilisomba za buku 20 hivi,tumetafuna mpk tunaingia Mby. Tatizo toothpick nilinunua aljazeera nje na matunda basi na kisichana mfukoni ilikua safari murua kabisa hotelini pale niliongeza ndizi tu na soda ya dogo.
 
Serikali yetu hebu tusaidie wanyonge na hii tabia inazidi shamiri sna kwa wale ndg zetu wanao safiri mikoa ya mbali #Dar_to_mwnza, #Dar_to_mbya, #Dar_to_kgma, #Dar_to_Arusha kuna tabia na utaratibu wa mabasi walio jiwekea bila kuhofia abiria wao na sio rafiki kabisa wanapaki mabasi yao sehemu ya chakula bei zao ziko juu bila kujali abiria wao mifukoni mwao kuko vipi.

Chakula cha kawaida sana unakuta elfu 7 elfu 8 na kuendelea wakati hicho chakula hakina hadhi ya kuuzwa bei hiyo halafu kidogo sana. Hivi wanadhani kila mtu anapesa ya kumudu hiyo pesa?

Jana nilikuwa natoka Arusha kuja Dar tulipo fika sehemu ya chakula nilitamani kulia niliongozana na mom mmoja mwenye watoto wa 3 alivyoambiwa chakula cha bei ya mwisho ni elfu 7 alikuwa mnyonge sana na alikuwa na elfu 5 tu ikambidi anunue soda na biscuit roho iliniuma sana. Sasa ombi langu, serikali itoe sheria kwa mabasi yote yawe yanasimama kwenye mji ulio na huduma kwa wote sio kutupeleka maeneo ambayo wana masilahi nayo. Inaumiza sana.

Tusambaze hii kwa ma group mengi tusikike tusiwe wajinga kwa tetesi nilizo sikia dereva akipeleka basi sehemu ya hotel hupata huduma ya chakula bure yeye na watumishi wote wa gari na posho wanapewa kwa week au mwezi sasa iweje maslahi yao yatutese abiria?

Tupaze sauti kwa viongozi #Wabunge na viongozi wote wa juu kuwa hii ni 2021 inakera sana [emoji34][emoji34]
Ahaa mimi sikulangi chakula kwa safari.

Ila huko njia ya Arusha bei imezidi


Huh [emoji21][emoji21][emoji21][emoji3064]
 
Dar - Arusha hakuna tabu;

Ila Dar - Mbeya,

Dar- songea.

Dar- mwanza.

Aisee hayo maeneo ya kula zile sio nyama ni biskuti.
 
Wale wa dodoma arusha tujuane kuku 5000, chai buku chai yenyewe sasa. Wale wa private wanafurahi.
 
Mkuu njia hiyo chakula chao kikubwa wanaosafiri ni Samaki ndo maana nasema angalau maana watu hawana shobo na ubwabwa.
Mkuu starcom bei zimepoa?.Mara mia huko aljazeer na hotel za Dom unatumia 5k ndizi nyama unaridhika. Sio pale starcom Nangurukuru, chakula cha ovyo bei ghali.
 
Madeleva wa mabasi wana ubia na wa migahawa kwaiyo wanvyo wapelekea wateja nao wanapata chochote wengine Wana kula bila kulipia
 
Nafikiri komenti yako inatosha kufunga huu uzi nakuunga mkono na miguu asilimia [emoji817] wamama wa zamani walikuwa wamama bora sanaa mimama ya siku hizi kutwa kushinda instagram kutafuta umbea na udaku na kuangalia vipodozi vya kujikoboa usoni. Nakumbuka nikiwa mdogo wakati wa kusafiri bi mkubwa alikuwa akipika vyakula kwa iyo tulikuwa hatupati shida kwenye suala la misosi, kwa Iyo mleta mada najua una nia njema na watanzania ila mimi nashaur kama mtu unataka kusafiri ni vyema ukaanda chakula chako mwenyewe home kuliko kuwaambia madereva wasiende kwenye maoteli yenye hadhi ni ngumu sana. neno langu la mwisho kama yote yatakushinda kununua misosi kwenye miotel ya garama au kujipikia mwenyewe basi ufunge tu kwa mda hata kesho yake utakula kwan kula lazima[emoji39][emoji39]
Vp Mama chibu aka dangote maana na yeye n Mama wa zaman ujue?
 
Je, ni kwa kiasi gani hili ni tatizo kubwa?

"Serikali yetu hebu tusaidie wanyonge na hii tabia inazidi shamiri sana kwa wale ndg zetu wanao safiri mikoa ya mbali.
1. Dar to Mwanza, Dar to Mbeya,Dar to Kigoma, Dar to Arusha.

Kuna tabia na utaratibu wa mabasi walio jiwekea bila kuhofia abiria wao na sio rafiki kabisa wanapaki mabasi yao sehemu ya chakula bei zao ziko juu bila kujali abiria wao mifukoni mwao kuko vp chakula cha kawaida sana unakuta elfu 7 hadi elfu 8 na kuendelea wakati hicho chakula hakina hadhi ya kuuzwa bei hiyo halafu nu kidogo sana hivi wanadhani kila mtu anapesa ya kumudu hiyo pesa?

Jana nilikuwa natoka Arusha kuja Dar tulipo fika sehemu ya chakula nilitamani kulia niliongozana na Mama mmoja mwenye watoto watatu alivyoambiwa chakula cha bei ya mwisho ni elfu 7 alikuwa mnyonge sana na alikuwa na elfu 5 tu ikambidi anunue soda na biskuti roho iliniuma sana.

Sasa ombi langu kwa serikali itoe sheria na mwongozo kwa mabasi yote yawe yana simama kwenye mji ulio na huduma kwa wote sio kutupeleka maeneo ambayo wana maslahi nayo inaumiza sana.

NB. Kwa tetesi nilizo sikia dereva akipeleka basi sehemu ya hotel hupata huduma ya chakula bure yeye na watumishi wote wa gari na posho wanapewa kwa week au mwezi, sasa iweje maslahi yao yatutese abiria?

*Tupaze sauti kwa viongozi Wabunge na viongozi wote wa juu kuwa hii ni 2021
C and P from Whatsapp Groups
 
Hata Mwengine jana kaja analalamika yeye anadai kam gar lisip paki maeneo hayo Basi dereva kibalua chake mwisho kwa hil naoa lazim jambo lifanyike siku yeyeto mkiwa safarin wakishusha abiria maeneo hayo watu wagome kushuka na wadai kupelekwa sehem nyingine
 
Ni kweli kabisa unachosema, hata mimi nimeliona,serikali isiifumbie macho jambo hili tunaiomba itusaidie
 
Back
Top Bottom