cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
Usijar MrPoa poa now tupo Mitaa ya Depaul..nikiwa Songea na wewe ukiwa huko tujuzane
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usijar MrPoa poa now tupo Mitaa ya Depaul..nikiwa Songea na wewe ukiwa huko tujuzane
Mwalimu yupi huyo? Kwa Mama babu ni duka kubwa la jumla na reja reja, msamala nzima anajulikan, ila sio mwalimu yeye na mumewe ni wafanya biashara tyuuh.Kwa Mama Babu, yule mwalimu ambaye nyumbani kwake Kuna Grocery.
Hakunaga chips kavu njiani uchague chips na nini maini, au ng'ombe au kuku, ukibeba mbuzi beba na kisingizioKesho nasafiri,nanunua mbuzi nusu kg aliyechomwa.Mbele kwa mbele ntanunua chips kavu,nyama ndo hupandisha bei
Msamala bado kipengele kwangu, nilikuwa napata tabu Sana kufika mitaa ya Shule ya Miembeni kwenda Kwa jamaa yangu.Mwalimu yupi huyo? Kwa Mama babu ni duka kubwa la jumla na reja reja, msamala nzima anajulikan, ila sio mwalimu yeye na mumewe ni wafanya biashara tyuuh.
Sasa si angekua anakusubiri pale kituo cha bajaji na bodaboda, au wee msahaulifu kuwa alisha kupeleka had kwake, ila huku mark road.Msamala bado kipengele kwangu, nilikuwa napata tabu Sana kufika mitaa ya Shule ya Miembeni kwenda Kwa jamaa yangu.
Hii ni biashara huria, labda serikali ianzishe migahawa yake itakayoshindana na hao wafanyabiasharaYani unaanza safari na mahotpot ya kutosha kwani unahama? Ujikute una watoto watano, Swala hapo serikali ingilie kati
nunua na ile foodwarmer container ya kutumia USBKesho nasafiri,nanunua mbuzi nusu kg aliyechomwa.Mbele kwa mbele ntanunua chips kavu,nyama ndo hupandisha bei
Nmeipenda hyo aisee,inauzwa sh ngap mzee hyo food warmernunua na ile foodwarmer container ya kutumia USB
unachomeka pale pa chaji chakula kinapashika unakula unashiba
[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] Serikali yako iache kununua ndege iwekeze humuHii ni biashara huria, labda serikali ianzishe migahawa yake itakayoshindana na hao wafanyabiashara
Hakunaga chips kavu njiani uchague chips na nini maini, au ng'ombe au kuku, ukibeba mbuzi beba na kisingizio
Hakunaga chips kavu njiani uchague chips na nini maini, au ng'ombe au kuku, ukibeba mbuzi beba na kisingizio
Hiyo mi naona ni reasonable kutokana na nature ya biashara yao, unakuta sehemu ipo isolated na wateja ni abiria tuu na kwa majira maalum.Chakula cha kawaida sana unakuta elfu 7 elfu 8 na kuendelea wakati hicho chakula hakina hadhi ya kuuzwa bei hiyo halafu kidogo sana. Hivi wanadhani kila mtu anapesa ya kumudu hiyo pesa?
Naona 30,000-35,000Nmeipenda hyo aisee,inauzwa sh ngap mzee hyo food warmer
Sio kila sehemu wanazosimama chakula Chao ni standard, sehemu zingine vyakula ni vya ovyo kabisa lkn Abiria huna nguvu ya kumkatalia dereva asipaki gari hapo mfano wasafiri wa njia ya kwenda nyanda za juu kusini kuna sehemu inaitwa Al Jazeera chakula Chao ni kibaya mnoo lkn bei zake sasaDah.. Sijui nikwambie nini Mkuu, wazo lako zuri ila halitekelezeki, wenye hela nao wakisema "bus zinasimama kula sehemu local sana tunataka sehemu zenye chakula kisafi kisichodhuru tumbo" ITAKUAJE?
Then next time weka paragraph.
Mkuu unatakiwa kujua kitu kimoja, staff wa bus wanaposimama sehemu kula ni kwamba hua wanakula bure na wanapewa posho kwakua wamepeleka wateja, so ukiona sehemu wanapenda sana kuwapeleka Abiria ujue wanamaslahi napo.Sio kila sehemu wanazosimama chakula Chao ni standard, sehemu zingine vyakula ni vya ovyo kabisa lkn Abiria huna nguvu ya kumkatalia dereva asipaki gari hapo mfano wasafiri wa njia ya kwenda nyanda za juu kusini kuna sehemu inaitwa Al Jazeera chakula Chao ni kibaya mnoo lkn bei zake sasa
Hata hicho chakula huwa cha kawaida sanaMbona bei ya kawaida sana, kuliko kwenda kula vyakula sehem za ajabu alafu uje uendeshe mfululizo na kuumwa na tumbo kwa kuogopa kutoa 7000. Na kama unaona ghali safiri na chakula chako kutoka nyumbani utaepuka gharama.