feyzal
JF-Expert Member
- Apr 20, 2016
- 7,683
- 15,128
Miembeni,msamala stand au wapi?
Msamala, ndo home.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Msamala, ndo home.
Miembeni.Miembeni,msamala stand au wapi?
Miembeni.
Kupita shule ya msingi miembeni kwa chini kidogo. Km unaenda kwa mama babu.Ulekeo upi depaul,Shuleni kule au wapi?
Yani unaanza safari na mahotpot ya kutosha kwani unahama? Ujikute una watoto watano, Swala hapo serikali ingilie katiTengeneza chakula chako nyumbani, kifunge vizuri, utakula popote, muda wowote.
Mimi huwa nafunga ugalo wa LOYE
Kupita shule ya msingi miembeni kwa chini kidogo. Km unaenda kwa mama babu.
Kupita shule ya msingi miembeni kwa chini kidogo. Km unaenda kwa mama babu.
Mleta mada ana hoja yenye mashiko, kwani wasafiri ni watu wazima tu kuwa wanaweza vumilia njaa, matazamio makubwa ni kwa watoto si jitu kama wewe na mindevu kama kambaleHivi mleta mada lengo lako huwa ni kusafiri au kula njiani hotelini? Naona kula umekuvalia njuga kama ndio lengo lako kuu la kusafiri. Kwenu huwa huli au?
Wew safarini unataka ushibe ili uanze kutusumbua sisi madereva tusimamishe gari ili uende haja kubwa ?Kabisa mkuu. Hoja yako ina mashiko sana. Hawa wamiliki wa hizi sehemu za chakula wanaibia pakubwa sana abiria. Vichips vya 5,000 huwezi hata kushiba. Mshikaki wa 5,000 hata haufanani na hiyo bei. Bei zao zimekaa kuwaumiza abiria. Wanafanya hivyo wakijua lazima ule tu kwa sababu huna sehemu nyingine ya kwenda kula. Serikali tafadhali wasaidieni hawa wanyonge.
Pale Kilimanjaro sio [emoji23][emoji23]Nikisafiri Dar to Moshi au Moshi to Dar huwa natamani muda wa kuingia hoteli ufike[emoji16][emoji16]
Nipo Dar now, home ntaenda likizo ya mwez MarchKwa sasa upo Dar au Songea?
Karibu na mzee banda? Eti eeeh bas sawaahNadhani tumewahi kaa mtaa mmoja niliishi kwa Mzee mmoja anaitwa Mzee Mahenge.
Karibu na mzee banda? Eti eeeh bas sawaah
Hii imetulia mekuUtaratibu wa Mabasi kuingia Hotelini umekuja miaka ya karibuni wakati Waziri Mwawasiliaoni na Uchukuzi akiwa Mwakyembe
alizuia kuchimba dawa popote tu basi linasimama
pia kulizuka wizi hasa mabasi yakisimamam stend kuu,wezi walikuwa wakiingia ndani km abiria na kushuka na mabegi abiria wanapokuwa wakila Hotelini huko mitaani
Ndipo wakaiga baadhi ya hotel zinazolisha abiria zikiwa nje ya mji
Faida waliyoiona ni huduma ya choo huwa ni bure kwa hiyo utalipia kwenye chakula,
na wale wote wanaofanya biashara hapo wanamlipa mwenye Hotel
Juzi Rais JPM amepiga marufuku uuzaji wa bei juu chakula hicho, karuhusu abiria wanunue popote wasilazimishwe Hotel hizo, sasa hapo dereva anahusika bado kuzichagua Hotel hizo
Kwa Mama Babu, yule mwalimu ambaye nyumbani kwake Kuna Grocery.Kupita shule ya msingi miembeni kwa chini kidogo. Km unaenda kwa mama babu.