Adhabu ya kifo kwa kuchinjwa mbele ya kadamnasi (Tahadhari: maelezo, picha na video za ukatili)

Status
Not open for further replies.
Mkuu suala la kubinua kekundu tumekuta Musa na Mungu mwana wanafanya sasa hawa ndio waasisi wa uchoko.
Ninajua sana na Musa ni Nabii mkubwa sana hata katika Ukristo

Suala la uchoko kaanza kuleta nduguyo katika Imani, consider some comments above.

Kwahiyo wakija hivyo nawajibu hivyo hivyo mwaka mzima.
 
Ninajua sana na Musa ni Nabii mkubwa sana hata katika Ukristo

Suala la uchoko kaanza kuleta nduguyo katika Imani, consider some comments above.

Kwahiyo wakija hivyo nawajibu hivyo hivyo mwaka mzima.
Sasa ukijibu hivyo inakusaidia nini au hujui ukitukana Mungu wa mwenzako na wako atatukanwa pia kuwa mstaarabu na ndii maana nilivyoona komment zako nikaona nikuvae hivyohivyo ili ujue kwamba uchoko ulianza na machokolist kabla Muhammad hajaja toka "MWANZO" hadi "UFUNUO" watu wanabong'oa tu.
 
Wewe waonekana wataka kuelewa mengi, wenzio bongo zao zina majipu nahisi...

Mathalan: niliuliza swali zuri kwaajili ya kupata kufahamu, swali lilikuwa hivii:-

"Hivi Mtume Muhammad (S.A.W) alipoacha wake zake duniani je wale wanawake walikuwa aknowledged kwa lolote? Walikuwa manabii au waliolewa na wanaume wengine na hawakusikika tena? "

Baada ya kuuliza hilo nikajibiwa kwa matusi mengi bila kueleweshwa, hata mimi wangeniuliza hivyo ningewadirect kwenye maandiko ya Biblia.

Ila wao walinitusi na mimi nikiwatusi wao wanalialia tu.


Wabillah Tawfiq
 
Naona

Kila jamii ina taratibu zake.
Saudi Arabia nadhani wananchi wake wamekubali kufuata SHARIA.
Ambayo imo kwenye kitabu chao wanachokiamini ni muongozo wa maisha yao

Kama unataka kutembelea nchi hiyo basi ujiandae kukabiliana na taratibu zao kwamba ukibainika umetenda kosa la kustahili kuchinjwa hadharani hakika utachinjwa.

Tatizo
Ninalo liona ni kitendo cha kutekeleza sheria hiyo kali hadharani.
Nilipendelea kama hukumu ya kuchinja ifanyike sehemu ya siri ili wasiohusika wasione.
Kitendo cha kumwona binadamu mwenzako anachinjwa hadharani hata kama alikuwa mwovu kinasikitisha na kinahuzunisha sana, kinaweza pia kumuathiri mtazamaji, akawehuka, achanganyikiwa, akazimia na hata kufa kabisa.

Imani
Tukirudi Kiimani nadhani si suala la kulaumu imani fulani maana ni Kitabu chao ambacho ni muongozo wao walioamua kuufuata au kuurithi toka kwa wazazi wao kinavyowaongoza.

Swala hili labda ni kuendelea kuelimishana au kuulizana

Je imani hiyo inayotii SHARIA hairuhusu mkosaji kuomba msamaha ?
Je nani napaswa kuombwa msamaha na mkosaji ?
Kama mkosaji anadhibiwa na binadamu hapahapa duniani
Je kuna haja ya mkosaji kutubu hiyo dhambi kwa Mungu ?
Je imani hiyo ni ya watakatifu pekee ?
Wale wanafanya kosa hilohilo kwa kujificha na kutotambulika wanachukuliwa hatua gani ?

Maana ninavyojua kila mtu anamakosa, hakuna mkamilifu.

Poleni mlioathirika na mada hii
 
'' mimi ni alpha na omega (mwanzo na mwisho), mtu haendi kwa baba ila kwa njia ya mimi''

Jesus Christ
 
Hapa mnachanganya hulka za watu fulani au tabia za watu na dini. Hao wanafanya hivyo kwa kisingizio cha dini ila wanafanya kwa maslahi ya kisiasa zaidi na sio dini kitabu cha dini mtu anaweza kukitumia kwa itikadi zake tofauti na dini iwe Biblia au Qur-an.
 
Kwahyo unataka kusema sharia ya kuchinjwa ni hulka za watu au Quran inasema hivo?
Dini inasemaje kuhusu hilo?
 
Kwahyo unataka kusema sharia ya kuchinjwa ni hulka za watu au Quran inasema hivo?
Dini inasemaje kuhusu hilo?
Saudia hakuna uislam huo tunaodhani wanao nao ni washenzi tu kama washenzi wengine hakuna uislam wa hivyo.
 
Uwe unanitag na Mimi mkuu
 
Hii style ndio ambayo inahamasisha ushoga na kuwafanya Wanaume waumi'nin wa allah waikimbikie bikira ya mbele ya mwanamke...!

View attachment 499638

Kwanini kumbinulia makalio mwanaume mwenzio rijali kiasi hiki bwn sheikh?
Huyo myahudi uliyemfanya mungu aliposujudu alikubinulia wewe ??
 
Magaidi
Wanaoniudhi sana ni wanaharakati wa kigaidi
Kama Al Qaida,ISIS nk.
Moja ya Sera yao ni kuwakamata Wakristo na kuwachinja
Mbona kuna imani nyingi kama za ;
Kiislamu
Kibudha
Kihindu
Kifreemasoni
Kirastafari
Kilusiferi nk
Lakini wao anawawinda Wakriso tu na kuwaua.
Na wanapochinja utawasikia wanaita kwa sauti ya juu yenye munkari
"Allahuwakibaluuh"

Sasa tunajiuliza ivi kweli huyo Allah anaruhusu jambo hili?
Mbona wanawaua na watoto ambao hawana hatia ?

Jambo hili linawafanya baadhi ya Wakristo siyo tu kumwogopa Allah, bali kujiuliza,
Ivi huyu ni Mungu aliyemwumba binadamu kweli ?
Mbona anawaagiza watu wachinje watoto wake ?
(Kumbuka kuna Wakristo wengi sana ambao hawajawahi kuisoma Qurani na hawajui kilichoandikwa humo)

Ivi hao Boko haramu, ISIS, wakichukua utawala wa dunia kama wanavyotaka.
Wakristo watapona kweli?
Nani atawatetea ?
Mbona hawasemi Wakristo wamewakosea nini, ili wasikilizwe.

Kama wanalipa kisasi kwa Wamarekani,
Wamarekani siyo wakristo pekee, wapo pia Waislamu, wahindu Wabudha nk, ambao ni Wamarekani.

Haya makundi ya kigaidi yanaongeza uhasama na kutoaminiana kati ya jamii na imani zetu.

Cha ajabu utakuta baadhi ya Waislamu, (hao ni wachahe sana) eti wanawashabikia kabisa hao magaidi. Jambo hili ni kweli kabisa na sijawahi kuona Mkristo akishabikia vitendo vya makundi hayo.

Ndo maana inasemakana baadhi ya watu wenye kujihusisha na makundi haya wanajificha katika baadhi ya jamii za Kiislamu, nao wanawahifadhi.

Naomba binadamu tubadilike,
Wote tumeumbwa na Mungu mmoja na anatupenda sana, kwani ana uchungu na sisi.
Kila mtu amepewa ridhiki yake
Hivyo kama hujisikii kumpenda mtu flani we mwache afulahie maisha ilimradi hakuingilii mambo yako la sivyo vyombo vya sheria vipo.

Tumepewa nchi nzuri tupendane, kama inatokea imani ina sema mdhuru, muue, mchinje mtu fulani basi tuiepuke hiyo siyo imani ni ugaidi.

Amina.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…