Magaidi
Wanaoniudhi sana ni wanaharakati wa kigaidi
Kama Al Qaida,ISIS nk.
Moja ya Sera yao ni kuwakamata Wakristo na kuwachinja
Mbona kuna imani nyingi kama za ;
Kiislamu
Kibudha
Kihindu
Kifreemasoni
Kirastafari
Kilusiferi nk
Lakini wao anawawinda Wakriso tu na kuwaua.
Na wanapochinja utawasikia wanaita kwa sauti ya juu yenye munkari
"Allahuwakibaluuh"
Sasa tunajiuliza ivi kweli huyo Allah anaruhusu jambo hili?
Mbona wanawaua na watoto ambao hawana hatia ?
Jambo hili linawafanya baadhi ya Wakristo siyo tu kumwogopa Allah, bali kujiuliza,
Ivi huyu ni Mungu aliyemwumba binadamu kweli ?
Mbona anawaagiza watu wachinje watoto wake ?
(Kumbuka kuna Wakristo wengi sana ambao hawajawahi kuisoma Qurani na hawajui kilichoandikwa humo)
Ivi hao Boko haramu, ISIS, wakichukua utawala wa dunia kama wanavyotaka.
Wakristo watapona kweli?
Nani atawatetea ?
Mbona hawasemi Wakristo wamewakosea nini, ili wasikilizwe.
Kama wanalipa kisasi kwa Wamarekani,
Wamarekani siyo wakristo pekee, wapo pia Waislamu, wahindu Wabudha nk, ambao ni Wamarekani.
Haya makundi ya kigaidi yanaongeza uhasama na kutoaminiana kati ya jamii na imani zetu.
Cha ajabu utakuta baadhi ya Waislamu, (hao ni wachahe sana) eti wanawashabikia kabisa hao magaidi. Jambo hili ni kweli kabisa na sijawahi kuona Mkristo akishabikia vitendo vya makundi hayo.
Ndo maana inasemakana baadhi ya watu wenye kujihusisha na makundi haya wanajificha katika baadhi ya jamii za Kiislamu, nao wanawahifadhi.
Naomba binadamu tubadilike,
Wote tumeumbwa na Mungu mmoja na anatupenda sana, kwani ana uchungu na sisi.
Kila mtu amepewa ridhiki yake
Hivyo kama hujisikii kumpenda mtu flani we mwache afulahie maisha ilimradi hakuingilii mambo yako la sivyo vyombo vya sheria vipo.
Tumepewa nchi nzuri tupendane, kama inatokea imani ina sema mdhuru, muue, mchinje mtu fulani basi tuiepuke hiyo siyo imani ni ugaidi.
Amina.