Adhabu ya kifo kwa kuchinjwa mbele ya kadamnasi (Tahadhari: maelezo, picha na video za ukatili)

Adhabu ya kifo kwa kuchinjwa mbele ya kadamnasi (Tahadhari: maelezo, picha na video za ukatili)

Status
Not open for further replies.
Mungu akishuka Leo, sijuw watajiteteaje wafalme wa dunia hii
Ila Kama Mungu alitoa sheria kwA mwanadam kumhukum mwenziwe hadi kufa basi ni haki kufuata maandko lakn kama haijaandikwa ni watu kujipendekeza kwA Mungu kana kwamba wao ni watakatifu Hahahaha jehanam ya Lucifer inawahusu
 
Nchi kama Saudi Arabia inaongozwa direct Na agents wa kuzimu hizo zinazoitwa Sharia laws Ni Sheria kutoka kuzimu Na ibilisi ndio anayezisaini Ni Sheria za kishenzi sioni mantiki yake. Wanawake Ni miongoni mwa wanaopata sana shida juu ya Sheria hizi
Sawa, lakini je hizo sheria zao zinakuhukumu wewe? Tusiwe wepesi wa kuhukumu kwa maneno juu ya sheria za wenzetu wakati sisi hapa kwetu sheria zetu hatuzifuati, mwizi akikamatwa anatakiwa apelekwe kituo cha polisi, mbona anauwawa.
 
Sawa, lakini je hizo sheria zao zinakuhukumu wewe? Tusiwe wepesi wa kuhukumu kwa maneno juu ya sheria za wenzetu wakati sisi hapa kwetu sheria zetu hatuzifuati, mwizi akikamatwa anatakiwa apelekwe kituo cha polisi, mbona anauwawa.
Sheria za mwanadam sio za Mungu timiza au usitimize utahukumiwa na Mwanadam mwenzio... Ila za Mungu utahukumiwa na Mungu Mwenyewe...
 
Hivi wa dini ile mnafata taurati kweli hebu hukumianeni tuone mtakavyofanya
Taurati ilikuwa wakati wa Musa na kuendelea, baada ya Yesu haifuatwi
Torati. Ndo maana Yesu alipoletewa mzinzi na kuambiwa Musa aliamuru apigwe mawe aliwaambia asiye na dhambi awe wa kwanza kumpiga huyo mzinzi. Kifupi wote waliondoka, inamaanisha kila mtu ana makosa kwa si sawa kumchinja mwingine.
 
Ina maaan watu hamuoni hata mbona kule gwantanamo bay wafungwa walikuwa wanachomwa moto wakiwa hai hadi umoja wa mataofa ukaingilia baada ya video yake moja kuvuja mtandaoni??????????
Ndo maana na hili inabid lipigwe vita.
 
Taurati ilikuwa wakati wa Musa na kuendelea, baada ya Yesu haifuatwi
Torati. Ndo maana Yesu alipoletewa mzinzi na kuambiwa Musa aliamuru apigwe mawe aliwaambia asiye na dhambi awe wa kwanza kumpiga huyo mzinzi. Kifupi wote waliondoka, inamaanisha kila mtu ana makosa kwa si sawa kumchinja mwingine.
Sheria za Mungu zinabadilika?
Haya Niambie musa alikua anawahukumu kifungo gani wazinzi na wauaji?
 
Hiyo safi sana - inaleta amani katika nchi. Watu wanaishi kwa amani kwani hao wahalifu wachache wanakua mfano. Mtu huogopi kutembea usiku kuwa utauwawa au utaibiwa. Kwa vile amani ilivyoshamiri Watu wanashighulikia kujenga jamii badala ya kukaa kuogopa majambazi, wauwaji na wauza madawa ya kulevya. Angalia duka la dhahabu kama hili unakuta mlango uko wazi na wateja wanaingia na kutoka na hakuna hata mlinzi - je hii sio neema ?
Na makosa ya kuuwawa ni ukiuwa mtu, au kuuza madawa ya kulevya - makosa mengine yote ni kufungwa.

Hiyo ndo mana ya neema kwako?Ama kweli neema ina maana tofauti kwa watu tofuti.
 
Jamaa akitazama kwa makini kazi ya mikono yake
b82314e07c5d59c42f35687cbff85239.jpg
 
Sawa, lakini je hizo sheria zao zinakuhukumu wewe? Tusiwe wepesi wa kuhukumu kwa maneno juu ya sheria za wenzetu wakati sisi hapa kwetu sheria zetu hatuzifuati, mwizi akikamatwa anatakiwa apelekwe kituo cha polisi, mbona anauwawa.

Wale binadamu hata kama waalifu huoni Ni unyama kukata kichwa cha mtu Ile inaonyesha Ni jinsi gani wasivostaarabika
 
Hata wakati wa Yesu alikuta Wayahudi wakiwa na desturi kama hizi. Walikuwa wakiwapiga kwa mawe watu wenye dhambi hadharani.
Lakini Yesu aliwaambia, asiye na dhambi na awe wa kwanza kumtupia jiwe yule mama, wote wakatahayari na kuondoka.
Leo kuna dini moja imeyachukua hayo na kuyaendeleza.
 
Sheria za Mungu zinabadilika?
Haya Niambie musa alikua anawahukumu kifungo gani wazinzi na wauaji?
Kuhusu sheria za Mungu kubadilika au kutokubadilika,hili ni somo gumu kwako na linahitaji darasa kabisa. Siwezi kukuelewesha humu ukaelewa. Ndo maana Yesu alipokuja alifundisha kusamehe saba mara sabini pia kuwapenda wengine hata adui zako.

Kuhusu Musa aliwafanyaje wazinzi nafikir nimeeleza mwanzoni.
Pia nimeeleza nyakati za Yesu ilikuwaje.
 
Taurati ilikuwa wakati wa Musa na kuendelea, baada ya Yesu haifuatwi
Torati. Ndo maana Yesu alipoletewa mzinzi na kuambiwa Musa aliamuru apigwe mawe aliwaambia asiye na dhambi awe wa kwanza kumpiga huyo mzinzi. Kifupi wote waliondoka, inamaanisha kila mtu ana makosa kwa si sawa kumchinja mwingine.
Na Sisi bila Yesu Nadhan tungekuwa kwenye mkenge wa mzee Lucifer
 
Hii yote ulafi wa madaraka. Kama huku kwetu sometimes mshauri anaweza akaitwa mchochezi, just imagine umepata kesi ya uchochezi kwenye hiyo ardhi!!!!

I will always love you my Tanzania.
 
Sheria za Mungu zinabadilika?
Haya Niambie musa alikua anawahukumu kifungo gani wazinzi na wauaji?
Musa alitimiza sheria, Yesu alikuja kutufafanulia... Basi kama ni hivyo Musa na Yesu nani wakumfuata? Aabudiwe alieleta upendo Katika dunia hii.
 
Watu wamekimbilia kujadili uislamu kwa kuwa eti huyo mchinjaji Al Baeshi kasema yeye anatekeleza amri ya Mungu. Poleni wasomi wa Tanzania kwa uelewa mfinyu. Mchinjaji anasema ameajiriwa na serikali ya Saudi Arabia kuchinja watu wanaovunja sheria. Alipobanwa na swali kwamba hajisikii vibaya kuchinja watu akajibu eti anatekeleza amri ya mwenyezi Mungu!!! Hivi ni kwa nini asiseme ameagizwa hivyo na serikali ya Saudi Arabia na kwamba hiyo ndio ajira yake? Kwanini kamtaja Mungu kwani ndiye aliyemwajiri? Kuweni makini hapo!!! Ametumia uchochoro kumtaja Mungu ili yeye aonekane anachokifanya kizuri!! Hamjamshitukia tu?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom