Adhabu ya kifo kwa kuchinjwa mbele ya kadamnasi (Tahadhari: maelezo, picha na video za ukatili)

Adhabu ya kifo kwa kuchinjwa mbele ya kadamnasi (Tahadhari: maelezo, picha na video za ukatili)

Status
Not open for further replies.
Mwanzo umenihuzunisha ila mwishoni umenichekesha sana mkuu.

Mstari wako wa mwisho tulikuwa tunajadili hivi punde na Bold...ya kwamba watu kama hawa wanaiharibu image ya Uislam.
Inasikitisha sana kwakweli.

Nifah;
Fikiri kidogo tu, Mahali penyewe ndipo palipo mji uleee mtakatifu, Jiwe lilee ku la Al Kaaba, Nikitaka kuswali, naelekeza uso wangu pale. Halaf ukute saa hiyo hiyo, kuna mtu anakatwa kichwa kwa kosa la kitoto kabisa. Imeniharibia swaum yangu kwa kweli
 
Sidhani kama kweli waijua dini yako.

Mkuu;
Hujanitendea haki. Weye kama mwalim na msomi wa dini hii si ungelinifungua kidogo?? Umpate tena maamuma badala ya kumuilimisha wamtupa gizani?? Uislam gani weye waufuata?? Miye naamini, muislam swafii akimkuta kipofu njiani, hata kama hajui yu aenda wapi, lazima umshike mkono umuelekeze palipo msikiti. Hiyo ni rehema wajichumia tu. Niongoze mkuu, usininange tafadhali.
 
9090854b8f4de605c099c1a28957ac44.jpg


Watu wanachanganya uslam na uarabu hata mtume alisema waheshimunu waarabu kwa mambo mawili tu kwamba Quran imeteremka kwa lugha yao na pili mimi nimetoka kwenye asili yao basi....mengine hayana uhusinao na uislam sema.kuna juhudi za kubwa za wasio kuwa waislam kunasibisha hizo tabia na uislam na uonekane ndio uislam huwez kukuta waislam wana nasibisha ukristo na ushoga na usagaji hata freemason na illuminat chimbuko lake sababh tunajua nu tabia za wazungu ila wao wapo busy kuwalisha mambo haya jjj ya uislam ili muogope...na pili lazima wote mjue kwenye uislam hamna adhabh ya kuchinja adhabu iliyopo ni kupigwa mawe hadi kufa na muuaji auwawe ila haijatamkwa kuchinjwa kwasababu zimesemwa na uislam ni tatizo ila zipo hata kwenye bible ila hazionekan sema wanakimbilia kusema hilo ni agano la kale ila kwenye agano jipya yesu anasema yeyote ataevunja sheria hata moja ya agano la kale hata uona ufalme wa mbingu kasomen vitabu vyenu bible inasema mwanamke anaeacha kichwa chake waz anatakiwa kukatwa nywele zake ila aya hiyo ingekuwa kwente Quran mngekuwa mnaijua na mngesema mwanamke ananyanyswa lakin naamin wakristo wengi hawaijui somen kuliko kumezeshwa matango pori mi nimezaliwa kwenye ukristo na nilichimba sijakubali kurithi dini nilitaka kujua kama wazazi walikuwa sahihi...hiz ni propaganda zilikuwepo tangu Muhhamad...sasa hiv kuna maaskofu mashoga lakin hakuna muislam anasema ukristo unafundisha ushoga lakin kesho akitokea shekhe shoga basi watasema ndio uislam ulivyo..najua shida kubwa ni kwamba kuna sheria za makanisa na sheria za bible mkiristo ukiamua angalau kufata mafundisho ya bible sio muda mrefu utaiona kweli....kila jamii ina matatizo yake kila jamii inamapungufu yake tofauti inayojuja kwenye uislam matatizo na mapungufu yalipo kwenye jamii za waislam wengi watu wa propaganda wanawaambia watu huu ndio uislam...ukiisoma aina ya utawala wa korea kaskazin kama inavyoekezwa sipati picha ingekuwa ni nchi ya kiislam sijui kama kuna mtu angetaman kuingia uislam..!ushsuri wangu mkubwa somen wemyewe bila kuwa na bias mind mtaona ukwel wa mambo someni sana ukweli upo nyuma ya mlango tu hapo.!
Mkuu una hoja madhubuti LAKINI unavoiwasilisha hadi mate uanaturukia huku great thinkers, unashindwa kutuelezea vizuri kati ya uislam na uarabu, wao wanahukumu kulingana na maandiko ya kitabu chao na wanadhani wanamfanyia MUNGU wao ibada, hivi waarab wanatumia Bible au............? Kwahiyo waarab ni walokole au wasabato? Pengine upo sahihi lakin unajiloanisha mdomo na nguo zako kwa povu la aerial kama si Omo,
Kila jambo linalofanyika hapa dunian biblia imegusia yote hata hayo ya kuchinja, pamoja na biblia kutafsriwa kwa kila lugha lakini kama hujaongozwa utatoka mtupu kwa kichwa.
Juzi kat kuna maboya walitaka kuanzisha mahakama ya ujinga gani et..... Kwani wale walikuwa waarabu au?
Hamjiulizi kwanin Quran inawaelekeza kusoma BIBLIA.....
Fungueni macho enyi kizazi cha nyoka kizazi cha wasioamini
Kwenye family mtu mmoja au wawili wakiiba tunajua nyumba nzima wezi,
Je unadhani BIBLIA ingelikuwa inatafsriwa kijinga wewe ungelipona juu ya kuasi ukristo ambao ndio NJIA ya haki na kwenda kusiko julikana?
Samahan sana mkuu povu lako ndo limesababisha nikutag
 
Hapo upande mmoja umeulaumu ufalme wa saudia na upande mwingine unaulaumu uislamu. Nnchoweza kusema ni kuwa hukmu ya kifo ipo katika vitabu vitakatifu hata kabla ya uislamu. Na hukmu sio uonevu bali wanaipata wanaostahili. Hili hata kimaumbile tu binadamu wote wasio wanafiki wanalikubali. Mfano ni huyu aliyemuua mke wake juzi halafu akaweka maiti kwenye jaba. Au mtu alimchinja albino nk. Watu kama hao kidini na kidunia wamepoteza haki ya kuishi.hukmu hizi zimekuwa zikitekelezwa enzi na enzi. Lakini kwamba zinatumiwa vibaya na.mfalme hicho ni kitu kingine
Sasa unatetea nini??? Kaa kimya tu usilete ujuaji wako hapa nyambaf
 
HUU UZI UNAKAUCHOCHEZI CHA DINI HUUUUUU ngoja nisubiri MDAHALO MKALI WA KIDINI HAPA kwako mkuu bold bali umeweka na angalizo hapo juu uzi huu wa2 wengi hawatauelewa hasa hasa WAKRISTO Kwamba hata kama ni maelezo yanajieleza bado m2 ataanza kutukana dini ya mwengine mi naona UNATOA UZI MZURI ILA UWE UNAANGALIA NA UZI AMBAO HAUNA UCHOCHEZI WA KIDINI nawasilisha
Wajinga ndo wateleta ubishi wa kidini. Wenye IQ kubwa tumepata hali halisi ya maisha ya Saudi Arabia.
 
Wasio amini dini huona dini ndiyo chanzo cha kila aina ya uovu hapa duniani na wakristo huuchukia uislamu na kuona ndiyo ugaidi wenyewe. Lakini wakati huo mataifa ya kimaghalibi sioni yakichukiwa na kuonekana pia ni chanzo cha uovu,mfano huo ukatili unaofanywa na ufalme wa Saudi Arabia wao wamaghalibi wanaona ni kawaida tu ila ndiyo hao hao waliyomvamia Gaddafi na kuiharibu nchi watu wanakufa kila siku hakuna cha amani wala uhuru.

Na mifano ipo mingi ya nchi zilizo haribiwa na hawa watu,ila ajabu hatuoni kuwa ni waharibifu na makatili ila chuki zetu zote tumezielekeza kwenye dini hasa uislamu.
Acha blah blah na kutetea ujinga. Wewe soma makala ujifunze sio kila kitu ni kuleta udini tulia upate nondo. Unatetea hawa watu unafikiri ni ndugu zako? Saudi Arabia kwenyewe hujawahi kufika.
 
Nifah Divine... glory to yhwh BansenBurner Alisen Papushikashi Magazine Fire miss chagga SANCTUS ANACLETUS mngony Excel Mussolin5 Jimena Inferiority Complex gwijimimi wambura marwa Hoshea shareef conscious wambeke The Boss Deejay nasmile gkileo Juma chief Mangi flani hivi Ngongo makaveli10 KENZY kadada wa pili Root aretasludovick jonnie_vincy Clkey KAFA.cOm mbewe makedonia Afande Nyati peterchoka Leonard Robert Nchi Kavu STUNTER Chrizo jully Van persie Khalidoun Tetramelyz punje haradari Mazigazi @Alybaba babu na mjukuu platozoom jimmyfoxxgongo Nicodemas Tambo Mwikozi Ls man Heaven Sent sifongo Infantry Soldier haa mym 20acres MTS MarkHilary compos Tembo2 Erick the future nancy1983 Bulah binsaad Fazzaly the wolf everhurt Melvine Mgibeon kijana wa leo samsun Coolant Jagood pacesetter apologize payton George Betram kisengeli Kiranga Jiwe Linaloishi Madame B jay john Guasa Amboni Dinazarde Analyse Diva Beyonce snowhite Mmanu Expected Value onechromosome Missy rose Innocenthezron Immortal_MH Ficus sunola Robot la Matope mamaafacebook II JEKI likikima Compact scorpio me G'taxi YNWA adna yuzo ntamaholo Otorong'ong'o naan ngik-kundie kandukamo1 AFRICA101 mwalidebe Kobe Blaki Womani kalendi savius The Great Emanuel r2ga Ntaluke.N. Transcend Msemachochote Mchumiajuone mwampepec MTOTO WA KUKU Fukara proto cute kawombe zinginary MLALUKO JR Vupu barafu BlackPanther Ntuzu Matola impongo ntamaholo Mkoroshokigoli Deadbody KING easy mahoza Msolo kkenzki deborah1 KIDUDU buffalo44 winlicious riziki Allys MUHUNZI Moses2015 nacktary Liuumi dochivele Renzo @barbers hmjamii mbere TATIANA famicho LUCKDUBE mwanadome Straton memphis ghazar Graph Theory Honey Faith Shunie Slave ddcmanesto zinginary pacesetter Nkanaga KOMUGISHA mikatabafeki johnsonmgaya lee empire wigo MJINI CHAI Asprin mtzmweusi Erasto kalinga Chrizo kichakaa man LULU bike FORTALEZA poleni shibumi ZE DONE umande Edger Sr sir joshua sammoo Roram Password Bavaria hambiliki mwanangu Asili100 Evarist Massawe nice1 Jumong S Rogie 1babake nasreen uberito baest dustless Kilemachocho Tumosa mtembea kwa miguu Debbs Joe scorpnose musacha shibumi seeker of knowledge Simuchi Veni Vidi Vici TUJITEGEMEE abuu garcia Hon Nkundwe Festo Festo marion09 mike2k The dream bro kay vandelintz kirikou1 POINT LOAD lusaka city Dirham Rodcones bato MANCNOO multiphill90 GEORGE Dalali mwanamalundi90 MwaFreeca Roram Ta-kibombo troublemaker mambo KOMUGISHA calabocatz Papaa Azonto Msemachochote Mdomo bakuli tizo1 option dikembe iL Buono fakalava ABDUL KAREEM @Gobe Justine Marack Goodluck Mchika MR UNINFORMED darcity nkasoukumu nG'aMBu thatonegAl kabanga MPARE KIBOGOYO Edward Sambai Rassa mnonje srinavas last king of uscoch proto cute Kennedy krava Rais2020 kbosho Mzee wa BsN sam2000 fuma 999 Bableee dawa yenu The Certified DON SINYORI mij adden


bwii ONTARIO Kobe The Vein Mondray jaxonjaxon successor mzee wa liver sawariya Sitaki ukuda Domhome Mpatanishi MKANDAHARI mtugani wa wapi huyo wealthier cluecell Toyota escudo mgumu2 troublemaker Linamo shedede kamtu33 SteveMollel ngushi Donald stewart Mshuza2 Glycel mnonje Ochuanilove SingleFather Santi DEOD 360 ngushi anatory antony ukhuty chris van chicha auxillius Goma Son Hubeb pes KING DUBU VILLAIN mwayena donbeny Aleppo JipuKubwa shoo61
And. "The say"
 
Mkuu una hoja madhubuti LAKINI unavoiwasilisha hadi mate uanaturukia huku great thinkers, unashindwa kutuelezea vizuri kati ya uislam na uarabu, wao wanahukumu kulingana na maandiko ya kitabu chao na wanadhani wanamfanyia MUNGU wao ibada, hivi waarab wanatumia Bible au............? Kwahiyo waarab ni walokole au wasabato? Pengine upo sahihi lakin unajiloanisha mdomo na nguo zako kwa povu la aerial kama si Omo,
Kila jambo linalofanyika hapa dunian biblia imegusia yote hata hayo ya kuchinja, pamoja na biblia kutafsriwa kwa kila lugha lakini kama hujaongozwa utatoka mtupu kwa kichwa.
Juzi kat kuna maboya walitaka kuanzisha mahakama ya ujinga gani et..... Kwani wale walikuwa waarabu au?
Hamjiulizi kwanin Quran inawaelekeza kusoma BIBLIA.....
Fungueni macho enyi kizazi cha nyoka kizazi cha wasioamini
Kwenye family mtu mmoja au wawili wakiiba tunajua nyumba nzima wezi,
Je unadhani BIBLIA ingelikuwa inatafsriwa kijinga wewe ungelipona juu ya kuasi ukristo ambao ndio NJIA ya haki na kwenda kusiko julikana?
Samahan sana mkuu povu lako ndo limesababisha nikutag
Tatizo mnachanganya dini na imani,ukristo ni imani tu na si dini..fikiria hili kuna tofauti kubwa hapo,wakristo wanaamua wenyewe lipi baya na lipi zuri hali hiyo ni tofauti na kwenye dini ambapo Mungu ndiye mwenye kusema lipi baya na lipi zuri.
 
Tatizo mnachanganya dini na imani,ukristo ni imani tu na si dini..fikiria hili kuna tofauti kubwa hapo,wakristo wanaamua wenyewe lipi baya na lipi zuri hali hiyo ni tofauti na kwenye dini ambapo Mungu ndiye mwenye kusema lipi baya na lipi zuri.
Nani anachanganya sharia law na utawala kama siyo waislamu? Naona unajipinga mwenyewe labda hujapata juice ya mkojo wa ngamia!
 
Acha blah blah na kutetea ujinga. Wewe soma makala ujifunze sio kila kitu ni kuleta udini tulia upate nondo. Unatetea hawa watu unafikiri ni ndugu zako? Saudi Arabia kwenyewe hujawahi kufika.
Ninetetea nini unaweza kunitajia nilichotetea? ni kweli hao sio ndugu zangu mie ndugu zangu huku wanaua albino ili wapate utajiri,we ndugu akina nani na wanafanyaje?
 
Nani anachanganya sharia law na utawala kama siyo waislamu? Naona unajipinga mwenyewe labda hujapata juice ya mkojo wa ngamia!
Ukristo sio dini ni imani tu na ndiyo maana suala la lipi zuri na lipi baya hutokana na utashi wenu tu,hivyo ni tofauti na dini.

Nafikiri umenielewa.
 
Nchi za kiarabu ndiyo zinatumika kuupima uislamu kwa sababu ndiko kwenye waislamu wengi ila tukisema tupime ukristo kwa kuangalia nchi zenye wakristo wengi itakuwa balaa hapa.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom