Mkuu una hoja madhubuti LAKINI unavoiwasilisha hadi mate uanaturukia huku great thinkers, unashindwa kutuelezea vizuri kati ya uislam na uarabu, wao wanahukumu kulingana na maandiko ya kitabu chao na wanadhani wanamfanyia MUNGU wao ibada, hivi waarab wanatumia Bible au............? Kwahiyo waarab ni walokole au wasabato? Pengine upo sahihi lakin unajiloanisha mdomo na nguo zako kwa povu la aerial kama si Omo,
Kila jambo linalofanyika hapa dunian biblia imegusia yote hata hayo ya kuchinja, pamoja na biblia kutafsriwa kwa kila lugha lakini kama hujaongozwa utatoka mtupu kwa kichwa.
Juzi kat kuna maboya walitaka kuanzisha mahakama ya ujinga gani et..... Kwani wale walikuwa waarabu au?
Hamjiulizi kwanin Quran inawaelekeza kusoma BIBLIA.....
Fungueni macho enyi kizazi cha nyoka kizazi cha wasioamini
Kwenye family mtu mmoja au wawili wakiiba tunajua nyumba nzima wezi,
Je unadhani BIBLIA ingelikuwa inatafsriwa kijinga wewe ungelipona juu ya kuasi ukristo ambao ndio NJIA ya haki na kwenda kusiko julikana?
Samahan sana mkuu povu lako ndo limesababisha nikutag