Adhabu ya kifo kwa kuchinjwa mbele ya kadamnasi (Tahadhari: maelezo, picha na video za ukatili)

Adhabu ya kifo kwa kuchinjwa mbele ya kadamnasi (Tahadhari: maelezo, picha na video za ukatili)

Status
Not open for further replies.
Wewe mpaka leo shetani asili yake hujui ingawa tulishakuelewesha

Hii ni mara ya mwisho kukufundisha, wacha biblia iseme shetani alikuwa nani katika Ezekiel 28:13-15.
Soma uelewa shetani alikuwa nani
[emoji116]
13. Ulikuwa katika Edeni, bustani ya Mungu. Kila jiwe la thamani lilikuwa kifuniko chako, zabarijadi, topazi na yaspi; krisolito, shohamu na yashefi; yakuti, feruzi na zumaridi; nao ufundi wa viwekeo na wa vitundu vyako ulikuwa wa dhahabu ndani yako. Vilitayarishwa katika siku ya kuumbwa kwako. 14 Wewe ndiye kerubi aliyetiwa mafuta anayefunika, nami nimekuweka wewe. Ulikuwa katika mlima mtakatifu wa Mungu. Ulitembea katikati ya mawe yenye moto. 15 Hukuwa na kosa katika njia zako tangu siku ya kuumbwa kwako mpaka ukosefu wa uadilifu ulipoonekana ndani yako."
Haya nifafanulie hilo andiko maana nisije nikatafsiri mwenyewe kama nasoma gazeti.
 
Ni kwamba mashetani asili yao ni malaika au tuseme kwamba mashetani ni malaika maana hakuna kiumbe alichoumba Mungu chenye kuitwa shetani.

Kwahiyo ukisikia shetani ujue ni malaika.

Umekosea!. Shetani na mapepo ni mashetani kwa kuwa walimwasi Mungu, Mungu akawatupa kutoka Enzi, na hao ndio mashetani waudanganyao ulimwengu.
 
Umekosea!. Shetani na mapepo ni mashetani kwa kuwa walimwasi Mungu, Mungu akawatupa kutoka Enzi, na hao ndio mashetani waudanganyao ulimwengu.
Sasa mie nimekosea nini? nimesema Mungu hakuumba kiumbe kiitwacho shetani,hivyo malaika waliyomuasi Mungu ndiyo wameitwa mashetani ila asili yao ni malaika. Na ndiyo nikasema ukisikia shetani basi ujue ni malaika huyo maana ndiyo asili yao,kitendo chao cha uasi ndicho kilichofanya waitwe mashetani ni sawa na wewe ukiwa unapenda kulewa utaitwa mlevi ila ni binadamu.
 
Sasa mie nimekosea nini? nimesema Mungu hakuumba kiumbe kiitwacho shetani,hivyo malaika waliyomuasi Mungu ndiyo wameitwa mashetani ila asili yao ni malaika. Na ndiyo nikasema ukisikia shetani basi ujue ni malaika huyo maana ndiyo asili yao,kitendo chao cha uasi ndicho kilichofanya waitwe mashetani ni sawa na wewe ukiwa unapenda kulewa utaitwa mlevi ila ni binadamu.
Du leo nimara yangu ya kwanza kumsiki Muislamu akisema Shetani na majini yote yalikuwa malaika. Asante Yesu mtaelewa tu kwamba hakuna Majini masafi. Quran imedanganya hakuna majini masafi.
 
Du leo nimara yangu ya kwanza kumsiki Muislamu akisema Shetani na majini yote yalikuwa malaika. Asante Yesu mtaelewa tu kwamba hakuna Majini masafi. Quran imedanganya hakuna majini masafi.
Wapi huko mkuu uliposikia muislamu akisema majini na mashetani walikuwa malaika?
 
Duuuuuuuh hadi hamu ya kwenda kuhij imekata.

Kwetu sisi waislam tunaamini Saudi Arabia ndio ardhi takatifu,sasa kusikia unyama kama huu unafanyika ktk ardhi hiyohiyo takatifu inaleta ukakasi sana...tena kwa interest za watawala na sio Dini!
Makala hii imenihuzunisha na kuniogofya sana,nasubiri muendelezo anyway.
Shukraan
Dada yangu watu wanatumia Dini kama mwanvuri.
Ukisoma vizuri mwandishi kasema kabisa kuwa kinachofanyika ni mauaji Kwa ajiri ya kuwatisha watu.
Ila ipo siku tuiache Dini ibaki kuwa Dini. Utawala wa saudia siyo mzuri ndiyo maana hawana maelewano na nchi nyingi za kiarabu.
 
Weyeeeee Ally kijana wa Bwn. Mudy, unajua kwanini Wanaume wa kiarabu hawana haja ya kukimbilia bikira ya mbele ya wachumba zao?

Ni kwasababu ya style hii iliyowafanya waumi'nin wengi kuanza kufukua wenzao kunako Clowaqa.
5b27f0bbc25b3cb3615babfcf6442f45.jpg


Kuna tofauti sana kati ya haki na batili....sitoshangaa ukasema huyo ni muislamu mwenzetu na hapo ni msikitini.

Allah Akbar.
 
Umejitahid kwa upeo ulio nao ila kwa wale wavivu ndio utafanikiwa kwani bado sana kasome sio kwa hizi picha na utashi wa Maneno yasio na rejea zozote Faru John
 
THE BOLD...
Makala zako nyingi nilikua mfatiliaji na nilikua nadhikubali. Ila kuanzia Leo ikiwa km hujaicopy sehem itakuwa ndo Mara yangu ya kwanza kuona unaandika vitu ambavyo haviko sahihi na hii inanifanya nitilie shaka hata makala za EL'CHAPO na zinginezo kwa kuwa hapa umeingia kwenye nyanja ambayo Nina ufahamu nayo na hivi ulivyoandika nikagundua kuwa km tafiti basi ni km alochokuwa hesabu ya sensa ktk nyumba kwa kumuhoji kichaa...
NISEME TU
Naanza rasmi kutafuta ukweli na zile nyingnezo.
 
5b27f0bbc25b3cb3615babfcf6442f45.jpg


Kuna tofauti sana kati ya haki na batili....sitoshangaa ukasema huyo ni muislamu mwenzetu na hapo ni msikitini.

Allah Akbar.
Hapana sidhani kama hao ni waislam, kwasababu hawajabinuliana mat*ako, kwa namna ambavyo hata hewa chafu huwa inaenda straight puani kwa muumi'nin mwenzio.

Mkao huo wa kubinuliana unachochea kabisaa ulaji wa Clowaqa za waumi'nin.
 
Kwa Makala haya E MUNGU MUUMBA WA MBINGU NA NCHI NA YESU KRISTO ULIEYETUFIA MSALABANI naomba Vizazi vyangu hadi mwisho wa dahari wasiewe Waislamu. Hata ndugu zangu na ukoo wangu wote waepushe na hii dini. Mimi mwenyewe na uJamaa zangu wote. Nipe ufahamu siku zote niichukie hii dini. Amen. Maoni yangu kuhusu mada Waarabu waliwafanyia babu zetu utumwa na kuwatesa. Mimi Nachukia waarabu na dini yao ya kiislamu
 
Hapana sidhani kama hao ni waislam, kwasababu hawajabinuliana mat*ako, kwa namna ambavyo hata hewa chafu huwa inaenda straight puani kwa muumi'nin mwenzio.

Mkao huo wa kubinuliana unachochea kabisaa ulaji wa Clowaqa za waumi'nin.
Vuta picha hao walikanyagwa hapo watoto na wake zao kama wapo wanaona ni fedheha ya kiasi gani? Ukubwa wa imani kwa Yesu haifanyi kuwa mnavyoamini kuhusu Yesu ni kweli,matokeo yake ukubwa wa imani zenu unaishia kupandiwa mgongoni.
 
Hapana sidhani kama hao ni waislam, kwasababu hawajabinuliana mat*ako, kwa namna ambavyo hata hewa chafu huwa inaenda straight puani kwa muumi'nin mwenzio.

Mkao huo wa kubinuliana unachochea kabisaa ulaji wa Clowaqa za waumi'nin.
Kaa na ushetani wako huko una maana gani ku quote uzi ujibu upuuzi huo au unadhani wanaojibu kwa busara hawana uwezo wa kujibu majibu yasiyo ya busara kama hayo??

Inauma kuona wenzio walivyopandiwa juu huku ukiwa pembeni ukisubiri zamu yako ifike nawe upandiwe juu?

Nilijua najadili hoja ila kama ni kashfa sasa kaa pembeni na ushetani wako.

Usi qoute komenti yangu.
 
Kwa Makala haya E MUNGU MUUMBA WA MBINGU NA NCHI NA YESU KRISTO ULIEYETUFIA MSALABANI naomba Vizazi vyangu hadi mwisho wa dahari wasiewe Waislamu. Hata ndugu zangu na ukoo wangu wote waepushe na hii dini. Mimi mwenyewe na uJamaa zangu wote. Nipe ufahamu siku zote niichukie hii dini. Amen. Maoni yangu kuhusu mada Waarabu waliwafanyia babu zetu utumwa na kuwatesa. Mimi Nachukia waarabu na dini yao ya kiislamu
Hakuna hata sababu moja ya msingi ya kukukufanya uchukie uislamu,bali mkristo huchukia tu uislamu kisha ndiyo utafuta sababu.

Watu wamemuua hadi Yesu hujawachukia leo unakuja kuchukia waislamu kisa utumwa.
 
Halafu wakishatoka huko wanakuja JF kuita waislamu wajinga wanauwana wenyewe kwa wenyewe.

Halafu kama naona bendera ya nchi yao ile.
Sijui migongo yao ndiyo imegeuka ngazi upuuzi huo eti mtu akitoka hapo akija humu anajikwakamua akijua amefaulu kisa alivumilia kukanyagwa mgongo na mtu anayejiita mtume...wanajitoa fahamu kiasi hicho tena unakuta mtu ana familia ila anakubali kufanyiwa hayo akiamini pepo ipo kwa huyo aliye juu yake.
 
Mapovu yanawatoka kila siku na mimi nasokomeza mapovu yao kwenye midomo yao mpaka waache upinga Kristo, lakini jamaa wabishi kama Muhammad wao mzee wa mashetani!
Mapovu yapi mbona nimekuuliza maswali ukayakimbia unakuja bwabwaja eti unasokomeza mapovu mdomoni...kwani ungejibu maswali ungekosa kipi au umeshindwa kuyajibu muombe padri wako akusaidie...hamna maana kukimbia maswali unakuja kujitapa kwa mnayefanana nae akili.

Post [HASHTAG]#430[/HASHTAG]
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom