Tumeliwa Sana Ndugu ZanguLile jiwe lilikuwa fisad8 kubwa!
Hapo umenena, yawezekana ikawa kama mtego wa panya !! Nadhani Uzalendo wa kweli ni muhimu sana katika kudhibiti Mali na Rasilmali za Nchi,Kuna hekima kwenye utungaji sheria mkuu.Unapowaza sheria itungwe,fikiri na the negative side,hasa matumizi mabaya ya sheria hiyo.
Hii ni Africa,sio China.
Hapo umebugi huyo mama ni fukara wa kutupwa alikotokea alikuw ni house gerl standard 7 failure ,mara ya mwisho alikuwa house girl wa kikwete wakati kikwete alikuwa ajulikani katika nchi hiiHuyu Mama anataka kuwaonyesha wanaume walichokuwa wakikosea kwa miaka 60 mfululizo. Shida yetu wananchi ilikuwa kuwachagua watu maskini sana kwenye ukoo kuwa viongozi. Mtu maskini anafikiria na kutenda kimaskini hata ofisini. Anafikiria matumbo ya watu Badala ya tumbo kubwa la nchi.
Watawekaje Sheria Kali wakati watunga Sheria ndy wezi wenyewe?Mataifa ambayo uchumi wao uko juu sana duniani wana adhabu katili sana kwa watu wao wanaobainika kuhujumu uchumi kunakosababisha mtu afikirie mara mbili kabla ya kuiba Mali ya umma. Hapa kwetu adhabu ya kumtia mimba mtoto wa shule ni kubwa kuliko aliyeiba hela za umma kwa mabilioni. Nani katuroga?
Hapa kwetu eti Rais hata akituibia kiasi gani Cha fedha eti hashitakiwi Wala kuguswa, ni nani ameturoga?
Adhabu zetu hizo ndio maana mtumishi wa TRA au Bandari haoni ni kwanini asijizolee pesa kabla hajaondolewa kwenye nafasi na kabla ya uzee haujamkuta, maana adhabu zenyewe zinavumilika kabisa.
Mataifa ya Uchina, Marekani, Asia na Ulaya kuiba mali ya umma hakuna kinga kwa yeyoye yule. Sisi hapa hatuko serious, hata anaeonekana kufoka sana kuhusu ufisadi anaigiza tu.
Naona umeweka post za June 2015 na heading ya Magufuli, nlitaka kuuliza by June 2015 raisi alikua Magufuli au JK?Magufuli alipaswa anyongwe kwa ule ufisadi wa karne aliopiga wa TZS 1.5 trilioni.
View attachment 2034654View attachment 2034655View attachment 2034656
Kabisa tena wamepewa Kinga hata wasiostahili Kinga. Maajabu hayataisha nchi hiiUnahubiri kufungua makama nyingi za mafisi ili wahukumiwe haraka sana lakini wakati huohuo unajiongezea mwenyewe na rafiki zako kinga ya kutokushitakiwa kwenye mahakama hizo, na wanyonge wanageuka mazuzu wanashangilia mkombozi wa wanyonge kaletwa na Mungu. Kweli wajinga hawaishi hata siku ya kiyama watakuwepo tu!!
Sahihi kabisa uwezi kuona shetani akimshitaki shetani mwezieWatawekaje Sheria Kali wakati watunga Sheria ndy wezi wenyewe?
Sasa kama watawala wanavitia korokoroni vyama vingi, ni nani huyo unayemtarajia atunge sheria kali na kutekeleza hukumu ya kifo kwa mafisadi, wahujumu uchumi na wauza madawa ya kulevya (ambao kama ujuavyo wana connection na watawala)?Kaka Tanzania hakuna wanyonge wanaopaswa kuangaliwa kwa jicho la huruma kama viongozi wetu wanavyotaka ifahamike. Tanzania hatujafika hatua ya kuwa na watu wanyonge maana fursa bado hazijakwisha, nafasi bado ziko kwenye kilimo, ufugaji, uvuvi, uchimbaji, viwanda, usafirishaji na biashara. Shida yetu ni mipango mibovu na wizi wa rasilimali zetu na adhabu laini sana kwa wezi wakubwa kama Rais, Jaji Mkuu, na Spika. Rais hahojiwi kokote na yeyoye labda mbinguni tu hata kama atalitumbukiza taifa kwenye hasara kubwa namna gani.
Katiba ya hivi ndiyo aliyotuachia mzee wetu Nyerere kimakosa, baada ya kuona alikosea kuondoka madarakani na kuiacha katiba ya aina hiyo alitaka kurekebisha kwa kushinikiza kuanzishwa kwa vyama vingi vya kisiasa ambavyo vitawakawakosoa watawala walioko madarakani hata baada yeye kufa. Bahati mbaya Mzee hakujuwa kuwa watawala wangevitia korokoroni vyama hivyo visiwabwekee.
Maelezo uliyotoa hapa ndio katiba mpya yenyewe inayopigiwa debe na wapinzani. Usitarajie kabisa uzalendo mbele ya pesa. Hadi sasa ni Nyerere peke yake, katika hali ya kushangaza sana, ndiye kiongozi “aliyedharau sana” pesa na wanaozitafuta kifisadi.Sio katiba mkuu, ni uzalendo mtakuja kugundua mzizi wa yote ni ukosefu wa uzalendo unaochagizwa na katiba mbovu.
Uzalendo unapelekea usimamizi thabiti na usimamizi thabiti unapelekea kufuata katiba kwa ukamilifu!
Mihimili mitatu yote ifanye kazi bila kuwa na muingiliano na Head of State. Ili kuwe na uwezekano wa kumuwajibisha head of state bila kuogopa kwamba ndio mwenyekiti wa chama ama atawafutia uanachama.
Pia head of state asiwe mwenyekiti wa chama wala kuwa na influence yeyote kwa wanachama. Hii itasaidia sana chama kiwe stand alone entity.
Separate body ya kuwawajibisha wanachama iwepo kulingana na katiba na asie tekeleza jukumu lake la kumuwajibisha mkosefu kwa mujibu wa katiba aidha kwa upendeleo au kwa namna yeyote ile aachie ngazi straight away anakuwa amejifukuzisha kazi within stated days!
Uzalendo ni kuwajibika, pasi na kuwajibika katiba mpya inaweza ikawepo na watu wakaipuuza kwa baadhi ya vipengele kama ilivyo kwa Covid-19 na hamna kitu mtafanya.Maelezo uliyotoa hapa ndio katiba mpya yenyewe inayopigiwa debe na wapinzani. Usitarajie kabisa uzalendo mbele ya pesa. Hadi sasa ni Nyerere peke yake, katika hali ya kushangaza sana, ndiye kiongozi “aliyedharau sana” pesa na wanaozitafuta kifisadi.
Hata huko US na Ulaya wapo waroho wengi tu. Lakini waliamua mapema kuandika katiba makini na kutunga sheria za uhakika kudhibiti umungu, udikteta na ufisadi miongoni mwa viongozi na raia. Walipigana vita kufanikisha makubaliano sahihi ya kitaifa. Leo hii hawafanyi mchezo na mambo hayo ya msingi.
Sawa kabisa, tatizo ni viongozi. Linatatuliwaje?Mkuu 'Kalunya',
Kwa hiyo tufanyeje, tuikubali tu hali hiyo kuwa ndiyo kawaida?
Kwanza sikubaliani kabisa na mawazo yako haya. Wewe unasema "Wenzetu weupe wao utengeneza maisha ya Jamii nzima ifaidike..."
Unao uhakika kwamba huko nako hakuna majizi? Bila shaka hata hao wachina, mfano tunaoutumia hapa, nao unawaweka kwenye "wenzetu weupe", sasa huoni kwamba inawalazimu kuweka adhabu hizo za kifo katika taratibu zao kwa kujuwa kwamba wanalo tatizo kubwa upande huo?
Hao "wenzetu weupe" unaowasema, hata kama una maana ya wazungu, unaelewa sheria zao zinazobana mafisadi na wezi zilivyo nchini mwao; na zinatekelezwa?
Jibu lako ni aina ya majibu yale yale yanayotolewa humu jamvini na kwingineko, ni jibu la kivivu kabisa ambalo hukuchukuwa muda kufikiri juu yake.
Mimi ninaamini kwa dhati kabisa, kwamba inawezekana sana hata hapa kwetu kuondoa au hata kupunguza tatizo la ufisadi na wizi kama viongozi watakuwa na nia ya kuliondoa tatizo hilo.
Tatizo linalelewa na viongozi wenyewe waliomo serikalini. Hawa ndio tatizo.
Ni kama Nyerere alivyowaambia Wachina kuwa Ujamaa ni imani wakamshangaa sana. Mwishowe “roho ya ubinafsi” ilimshinda.Uzalendo ni kuwajibika, pasi na kuwajibika katiba mpya inaweza ikawepo na watu wakaipuuza kwa baadhi ya vipengele kama ilivyo kwa Covid-19 na hamna kitu mtafanya.
Nitajibu hilo la "viongozi"Sawa kabisa, tatizo ni viongozi. Linatatuliwaje?
Btw hili ni tatizo la enzi na enzi. Watu weusi walisombwa kwa malaki kwenda utumwani Ulaya, Amerika na Uarabuni SI kwa nguvu ya wageni pekee, BALI kwa kuwindwa na kuuzwa na viongozi wao ambao pia waliotoa nguvu kazi ya kusaidia kuwaswaga hadi pwani kwenye merikebu.
Ndio lazma kuweka mfumo wa kudhibiti ambao utaondoa michongo ya kulindanaNi kama Nyerere alivyowaambia Wachina kuwa Ujamaa ni imani wakamshangaa sana. Mwishowe “roho ya ubinafsi” ilimshinda.
Ukitegemea Watanzania wawe “wazalendo” bila mfumo makini wa udhibiti, sahau kuwa na nchi yenye maendeleo.
Mamlaka yote yanatoka kwa umma, umma usikubali jina LA wanyonge Na unyonge. Hakuna aliye mkubwa kuuzidi umma. Huwezi kuipata pepo bila kufa kwanza. Ni bahati mbaya tu kuwa viongozi wetu wa upinzani wengi wao ni wapenda mali, wanayo mali inayohitaji kulindwa. Yaani wanacho cha kupoteza. MTU mwenye mali nyingi ni nadra sana kufaa kuongoza upinzani.Sasa kama watawala wanavitia korokoroni vyama vingi, ni nani huyo unayemtarajia atunge sheria kali na kutekeleza hukumu ya kifo kwa mafisadi, wahujumu uchumi na wauza madawa ya kulevya (ambao kama ujuavyo wana connection na watawala)?
Hapo sasa !!! June 2015 !!! Maajabu ya Dunia !Naona umeweka post za June 2015 na heading ya Magufuli, nlitaka kuuliza by June 2015 raisi alikua Magufuli au JK?
Tarehe kukosewa hapo kwenye hilo gazeti la Mtanzania haifuti ufisadi wa TZS 1.5 trilioni aliofanya Magufuli na kumfanya kuwa fisadi Papa wa muda wote.Naona umeweka post za June 2015 na heading ya Magufuli, nlitaka kuuliza by June 2015 raisi alikua Magufuli au JK?
Nchi imegeuka ya kisultani, ukiwanusa wabunge, wakuu wa mikoa Na wilaya, wakurugenzi, Na watumishi wa umma utakutana Na harufu Kali za watoto, wake, wajukuu, ndugu Na marafiki wa viongozi wa kisiasa Na serikali.Nani amfunge PAKA,tunapiga kelele sababu ya njaa.
We umeoona waunga juhudi baada ya kukaribishwa mezani wameendelea kubweka? Bweka ufe njaa.
Wenzetu weupe wao utengeneza maisha ya Jamii nzima ifaidike ikiwemo na kizazi chao.Wakoloni weusi wao utengeneza maisha ya watoto wao at the wanaoishia kufaidi ni watoto wao na wajukuu zao wanarudi tena kwenye poverty circle ile ile ya Jamii nzima.