Mayu
JF-Expert Member
- May 11, 2010
- 7,621
- 12,505
Ndiyo ikosekane ambulance??
Basi bora tusiwe na ligi. Usipende kutetea mambo ya kijinga.
Mkuu unaelewa umuhimu wa ambyulensi lakini??
Yaani ni Bora hata kamisaa wa mchezo asiwepo ila ambyulensi iwepo.
Acheni kutetea ujinga. MbK wameonewa
Wewe unatazama jinsi inavyo takiwa kuwa mimi naongelea UHALISIA
Zaidi ya asilimia 60 ya mechi ligi kuu zinacheza bila ambulance...... kama hutaki sikulazimishi mkuu
Na sio kama hawataki bali HAWANA wanategemea za KUOMBA kwenye hospitali
Michezo yote haijalishi ligi gani au aina gani ya mchezo ambulance ni LAZIMA kisera na kikanuni za michezo........ hata ligi za wilaya au ndondo cup lazima ziwepo na SIO LIGI KUU TU
Jiulize sasa hizo ambulance unaziona huko? Na sio kama hawataki ziwepo ni HAWANA
Huko championship ndio kabisaa wakiamua kama Mbwana makata game zote zitasusiwa
Sitetei ujinga naelezea uhalisia
Kutunga kanuni bila kuweka mazingira rafiki hii ndio shida yake
Huyo Makata hata yeye sio uwanja wao wala timu wala chama cha mpira mkoa chenye ambulance, anajua wanaomba na kuna wakati wanakosa wanaweka defender ya polisi kama emergency ambulance