Adhabu ya TFF/bodi ya ligi kwa Mbwana Makata, sio kila gari ni Ambulance.

Ambulance kuwepo uwanjani ni muhimu sana, hao waliogomea mchezo kwa kutokuwepo Ambulance wapo sahihi kabisa
 
Wangecheza, halafu baada ya mechi wakate rufaa, kosa haliwezi kuhalalishwa kwa kosa.
Haiko hivyo, Kuna wachezaji na watatamaji wanaofia uwanjani kwa sababu mbalimbali kabla, wakati na hata baada ya mechi. Kanuni ya kuwepo kwa ambulance (sio Prado) full time imezingatia ukweli huo. Kucheza bila ambulance ni kuhatarisha kwa kuweka rehani maisha ya wachezaji na watazamaji wa mechi. Kumbuka kuwa wakati wa mechi kunaweza kutokea ajali kwa wachezaji kugongana au kupigana ikitokea vurugu. Hata mashabiki pia wanaweza kupigana uwanjani au hata kupingwa na polisi kama ikitokea vurumai, hivyo uwepo wa ambulance masaa yote ni lazima (risks register and management)
 
wamemuonea,lakini nadhani wana shida nae nyingine
 
wamemuonea,lakini nadhani wana shida nae nyingine
Nimemsikia Leo kaomba msamaha TFF asamehewe. Ni vizuri lakiñi angekuwa mm nisogea siti za mbele ijulikane kama nimekosea au naonewa. Huko siti za mbele bodi ya ligi ingekwenda kunithibitishia kama ni kweli ambulance Ile ingekuwepo ingekuwepo full time wakati wa mchezo ule, bila shaka wangeonyesha barua (mou) kutoka hospital inayowapa ruhusa ya kukaa na ambulance Ile kwa dakika zote 90 za mchezo ule bila kuhitajika kwa kazi nyingine kwa muda wote w mchezo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…