Advance Physics ilivyokuwa inatugeuka ndani ya chumba cha mtihani

Duh kwahyo PCM Uliachana nayo o level
Uliiacha mapema sana aisee ila sometimes ni bora kutafuta right way mapema kuliko kusubr worse stage
Mie after advance kusoma vile nkasema hapana aisee a can't take it anymore nikaingia kwenye finance maisha murua
 
halafu maswali ya physics huwaga yanaanza kama hadithi fulani hivi,yaani msenge mtungaji anakuvuta weeeeee anakuvuta weeeeee unakuujaaaa unakuja aaaaunaingia kwenye line zake then hapo hapo anakutupia jiwe paaaaaahhh la uso...yaani utakuta anaaza...

two stones thrown simutlaneously at a velocity of 20m/s at an angle of 60• to the horizontal,a man with a gun stand at 26m from the point of throwing,if the man has a mass of 80kg,calculate mass of the sun approximate to 6 decimal places..

ku**make hapa lazima ujambe,unaanza kujiuliza asa hapa ni topic gani,mtunzi kachanganga

projectile
calculating device
linear motion
planetary motion/gravity
error and dimension

unabaki tu kukumbuka maisha yako,marafiki zako,ndugu na jamaa,unakumbuka ulivokuwa unafaulu shule yako ya kata...unajikaza kiume mzee,unaandika data collection,unazugazuga pale na viformula basi unapoteza muda....unakusanya zako karatasi basi,unawaza hivi nimemkosea nini mungu mimi....kinyooonge unatoka class,sema ukikutana na wauni mnacheeeeeeeeekaaaaaaaaa basi unasahau na maisha ya shule yanaendelea.

nitarudi shule zote ila siyo advance ya tanzania *****....[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Pole mkuu! Mimi mpaka form two nilikuwa mbabe nikafukuzwa seminary nilipelekwa shule ya day afi polini nakaishi gheto no teacher, np materials, nilihamia taratibu nikajikuta nasoma hgl, ila agriculture, bios nilifanya vizuri mno shida nilidrop physics na chemistry form3.
 
Daah! niliwahi kulala siku moja nikaota tumeambiwa turudi shule tukarudie paper zimefutwa kufika shule nafungua physics nianze kujisomea sielewi kabisa chochote, asee nilikurukupa jasho linanitoka.hizi ndoto nyingine unaweza kuzima.Maana hiyo physics unaisoma 75% kuliko masomo mengine bado unaambulia E/D hapo umejitahidi
 
Daah! niliwahi kulala siku moja nikaota tumeambiwa turudi shule tukarudie paper zimefutwa kufika shule nafungua physics nianze kujisomea sielewi kabisa chochote, asee nilikurukupa jasho linanitoka.hizi ndoto nyingine unaweza kuzima.Maana hiyo physics unaisoma 75% kuliko masomo mengine bado unaambulia E/D hapo umejitahidi
 
Daah! niliwahi kulala siku moja nikaota tumeambiwa turudi shule tukarudie paper zimefutwa kufika shule nafungua physics nianze kujisomea sielewi kabisa chochote, asee nilikurukupa jasho linanitoka.hizi ndoto nyingine unaweza kuzima.Maana hiyo physics unaisoma 75% kuliko masomo mengine bado unaambulia E/D hapo umejitahidi
 

Ahahhhahahaha, sitosahau mda tokeo la olevel linatoka kitaa kizima mtoto wa kike ndo nimefaulu vzur div matata mzee kichwa kilimuota pembe ,mama ikawa kila sehemu anataka niende naye full kunitambulisha huyu ndo bint yangu nakumbuka hadi tuit ya kuingia adv sikusoma .....wamama wakawa wananitolea mifano kwa watoto wao eti waje kwangu niwape ushaur
 
Daah! niliwahi kulala siku moja nikaota tumeambiwa turudi shule tukarudie paper zimefutwa kufika shule nafungua physics nianze kujisomea sielewi kabisa chochote, asee nilikurukupa jasho linanitoka.hizi ndoto nyingine unaweza kuzima.Maana hiyo physics unaisoma 75% kuliko masomo mengine bado unaambulia E/D hapo umejitahidi
 
Daah! niliwahi kulala siku moja nikaota tumeambiwa turudi shule tukarudie paper zimefutwa kufika shule nafungua physics nianze kujisomea sielewi kabisa chochote, asee nilikurukupa jasho linanitoka.hizi ndoto nyingine unaweza kuzima.Maana hiyo physics unaisoma 75% kuliko masomo mengine bado unaambulia E/D hapo umejitahidi
 

Aaaaaah mimi niligundua maisha ni haya haya tu wala hayahitaji kutumia nguvu nyingi ila ni kuwa smart tu na mipango yako + live to the fullest .
 
Hahaha....nyiwe watu mratuua mbavu
 
alimaanisha wanaopata div 1 pt 3 ya pcm wametoka katika familia maskini, so wanasoma sana ili elimu iwakomboe Mwifwa
Hapana,
Sio sahihi japo wengi kutoka familia hizo huwa wanasoma kwa bidii sana na mazingira/shule wanazosoma nazo huchangia mtu kwa na bidii ili afaulu mitihani yake.

Wapo watoto wa matajiri wanasoma shule nzuri na wanapata hilo daraja la juu.

 

Hahahaha nakumbuka maths olevel nilikuwa siipend sababu tulikuwa tunafundishwa na babu, ila fom four nikaanza kuisomea necta sasa nilikomaa na review kuanzia miaka ya 90’s afu nikakrem maswali yale ya 10marks yote jiroge kurudia swali nmepiga banda ........ Mungu si simnyimi necta imooo kitu mule mule !!! Ila kiukweli maths nilikuwa najilazimisha tu hadi adv
 

Hahahahahhahahahhaha hii ilinikuta siku ya necta ***** .......sitak hata kukumbuka
 
Self Counseling
 
Mmh umisetta na shule wapi na wapi? Tena mara nyingi watu wa umisetta enzi zetu walikuwa ni chakula cha washkj flani walokuwa hawaendi Likizo: ILBORU 1999-2001
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…