Sudi alikuwa mkoma kinoma,bora DopraHahahahah shule yenyew O-level tulkuwa tunagonga Engineering Science badala ya Physics.....so ulikuwa ukichaguliwa Iyunga advance kama ulkotoka ulkuwa unabahatisha hakuna muujiza wa kutoboa.....ukigeuka kushoto unakutana na LE MUTUZ la Chemistry....Mr. SUDI.....***** mzee ana roho mbaya huyo.....kinyama.....
Umenkumbusha mbali sana kwa IYUNGA......
Hakuna somo rahisi dunia kama math ikifwatiwa na chemist1: Hivi kati ya pure mathematics na Advanced physics lipi somo gumu???
2: kwanini Hesabu ndo inaonekana ni somo gumu zaidi (ugonjwa wa taifa) na sio physics???
nyie watoto wa Sikh hizi, .com sisi enzi hizo in Nelkon na UP, hakuna swali lilikatiza bila kuchambuliwa kama karangaMkuuuu niseme test ya kwanza ya phy nilipata 28 ya 100.
Kusoma PCM PCB PGM ,alafu uliingia bila twiti ,Phy atabaki kua mchawi anaywhitaj dawa madhubuti
.Deadbody Hizi topic za Projectile Motion na Circular/Angular Motion na topic zingine mnazozitaja hapa mm nimesoma nikiwa form three (Technical Sec.School) Engineering Science.
Sijielewi bado. Sema nitaanza kwanza na CPA halafu nikamalizie kwingine.
Kuna mtu mmoja alinambia fanya CPA nkamjibu let me go for masters then later ntafanya CPA when am free.CPA napo kuna mziki wa Cost,MA..... etc afu kama mtu hauna background nzur ya account CPA ngumu !!!! mie nakomaa na masters finance mambo mengine yatajipa mbele kwa mbele
Speaking of MA kipind nafanya bachelor nakumbuka niliweza kujibu maswal matatu kwa ufasaha mengne yote nilibak nayashangaa tu nilisema nispokula sup hil somo sjuiCPA napo kuna mziki wa Cost,MA..... etc afu kama mtu hauna background nzur ya account CPA ngumu !!!! mie nakomaa na masters finance mambo mengine yatajipa mbele kwa mbele
Haiwezi kuwa ngumu kihivyo bwana kama wapo wanaofaulu.CPA napo kuna mziki wa Cost,MA..... etc afu kama mtu hauna background nzur ya account CPA ngumu !!!! mie nakomaa na masters finance mambo mengine yatajipa mbele kwa mbele
Kuna mtu mmoja alinambia fanya CPA nkamjibu let me go for masters then later ntafanya CPA when am free.
Sasa wewe umesoma hayo mavitu... utanijua kweli? Au haupendi tu mwandiko wangu humu.Kabisa unaweza jikuta 5yrs unatafuta CPA but masters 2yrs kugraduate uhakika....
Yah ile elimu ya vile nilikataa nkamuacha na CPA yake ambayo mpka leo hajagraduate nakumbuka nilimwambia ntakukuta hujamaliza cpa kipnd nmeshamaliza mastersKabisa unaweza jikuta 5yrs unatafuta CPA but masters 2yrs kugraduate uhakika....
Speaking of MA kipind nafanya bachelor nakumbuka niliweza kujibu maswal matatu kwa ufasaha mengne yote nilibak nayashangaa tu nilisema nispokula sup hil somo sjui
Kwenye engineering science ni intro na wala haisaidii kwenye matango ya advance. Ni sawa tu na practicals, kwenye engineering science hakuna practical kabisa ila tukikutana a level tunaisoma namba sawa tu. Mi nilizijua pendulum na metre bridge nikiwa a level lakini wote tulihenya sawa tu na waliofanya wakiwa o levelHizo mligusagusa sema mlikuwa mkija advance mnakuwa na idea ambayo haiwezi kutembeza maswali ya advance mpaka uanze upya maana tumekutana advance na watu wa technical schools, mwanzoni wanakutisha ila mambo yanavozidi kukolea wanapoa tu
Sasa wewe umesoma hayo mavitu... utanijua kweli? Au haupendi tu mwandiko wangu humu.
MA ni kitu kingine ikifuatiwa na CostHahahahaha mimi sitak kukumbuka kabisa hayo masomo nmekunywa sup kiroho safi tuu ..... cha ajabu mda wa sup ndo nikaanza kuyaelewa
Haiwezi kuwa ngumu kihivyo bwana kama wapo wanaofaulu.