Mimi prac za Phyz nilikuwa nafoji sana kuanzia O-level hadi Advance, chache nilikuwa nafanya realVile vifaa ni vya kichina vingine ni feki kabisa.
Nafikiri hii ni moja sababu ya watu kufeli physics.
Tena hata vile vinavyotumika o'level vya practical ya electricity ni vya kichina vinaleta data za uongo.
Kufaulu pale unahitaji akili ya ziada (uwe kichwa kwelikweli)
Hongera kwa moyo wa uvumilivuPhyz ilikuwa ngumu sana lakini nilikomaa naye na ikanitoa kimasomaso NECTA.
Miongoni mwa somo lililokuwa linanipanikisha kwenye pepa ilikuwa ni Phyz.
Sikuwahi kumaliza pepa hata moja la physics, siku moja nilienda kupiga mtihani(series) kwa mtiga ilikuwa pepa one.
Mechanics ilikuwa imesimama aisee, kila swali nikigusa haliendi na lina concepts mpya. Muda wa masaa 3 nauona kama lisaa limoja.
Baada ya Mechanics kugoma nikahamia swali la Environmental Physics nikajipoza kidogo kabla navuta pumz nasikia muda umeisha, nikapanic sana. Nilirudi shule nimenuna sana.
Sikukata tamaa nikakaza buti zaidi, wiki inayofuata nikarna tena kupiga series nyingine ambayo ilikuwa pepa two.
Kufika kituoni nikakuta matokeo ya wiki iliyopita yamebandikwa, nikajikuta nipo top ten japo niliambulia 40%, kuona hivyo nikajisemea kumbe mambo yanawezekana hapa. Nikaingia kupiga pepa na kwenye pepa hiyo nikawa na above 50% nikaingia top ten pia.
Kuanzia muda huo nikawa sikosi series kila wiki huku nikikomaa kusahihisha makosa yaliyojitokeza kwenye series zilizopita, ikafika muda nikaimprove na pepa moja nikawa wa kwanza. Hadi hapo nikacha kwenda kupiga series tena.
Physics ni somo nililotumia muda mwingi na pesa nyingi kulisoma kuliko masomo mengine.
Hahahahahaaaahahaha ei mwanafunzi kilaza lkama jeska swiss me hazitopita siku mbili wewe kuwa online
Katika elimu ngumu nilyowah kusoma ni ile physics ya advance nilianza kuvurugwa siku ya kwanza tu naingia darasanHahaha Daaah physics ni balaa Kuna T.O mmoja hivi alimaliza 2006 alikuja Kutufundisha sisi tukiwa form 6 tukajiona Vilaza Wote.. vitabu vya Chand...Roger. vyote tuliona Tumemaliza na Hakuna Swali Gumu.. Jamaa Halafu alikuwa ana dharau balaa na Chuo alifukuzwa Kisa Dharau kwa Maprofesa kwahiyo akabak anapiga Tuition mtaani tu na Sifa Kibao na Kuwaona Watanzania wote hawana Akili ila Yeye peke yake
Ila Nakumbuka Siku ya Mtihani wa Physics Nilipiga msuli Usiku halafu kesho yake Pepa Asubuhi Na Nikasolve Maswali Kama matatu hivi ya Chand kwenye Pepa Yamekuja Vile vile Nikasema Nashukuru Mungu Ndalichako kaniona
Ila Yote tisa nitarudi Shule Zote ila Siyo Advance
Mkuu siku ya kwanza ulikutana na madude gani hayo aiseee?? Au nyie shuleni kwenu mlianza na yale wanaitwa Newton Rings ???Katika elimu ngumu nilyowah kusoma ni ile physics ya advance nilianza kuvurugwa siku ya kwanza tu naingia darasan
[emoji120] [emoji120] [emoji120]Hongera kwa moyo wa uvumilivu
Phyz ilikuwa ngumu sana lakini nilikomaa naye na ikanitoa kimasomaso NECTA.
Miongoni mwa somo lililokuwa linanipanikisha kwenye pepa ilikuwa ni Phyz.
Sikuwahi kumaliza pepa hata moja la physics, siku moja nilienda kupiga mtihani(series) kwa mtiga ilikuwa pepa one.
Mechanics ilikuwa imesimama aisee, kila swali nikigusa haliendi na lina concepts mpya. Muda wa masaa 3 nauona kama lisaa limoja.
Baada ya Mechanics kugoma nikahamia swali la Environmental Physics nikajipoza kidogo kabla navuta pumz nasikia muda umeisha, nikapanic sana. Nilirudi shule nimenuna sana.
Sikukata tamaa nikakaza buti zaidi, wiki inayofuata nikarna tena kupiga series nyingine ambayo ilikuwa pepa two.
Kufika kituoni nikakuta matokeo ya wiki iliyopita yamebandikwa, nikajikuta nipo top ten japo niliambulia 40%, kuona hivyo nikajisemea kumbe mambo yanawezekana hapa. Nikaingia kupiga pepa na kwenye pepa hiyo nikawa na above 50% nikaingia top ten pia.
Kuanzia muda huo nikawa sikosi series kila wiki huku nikikomaa kusahihisha makosa yaliyojitokeza kwenye series zilizopita, ikafika muda nikaimprove na pepa moja nikawa wa kwanza. Hadi hapo nikacha kwenda kupiga series tena.
Physics ni somo nililotumia muda mwingi na pesa nyingi kulisoma kuliko masomo mengine.
Sie teacher wetu hakuanza na projectile atlist angenipa moyo aisee ndoto zangu za kuwa pilot niliona zinayeyuka pale paleMkuu siku ya kwanza ulikutana na madude gani hayo aiseee?? Au nyie shuleni kwenu mlianza na yale wanaitwa Newton Rings ???
Mkuu hongera naona uliamua kukomaa nayo ad university[emoji122] [emoji122]Mkuu siku ya kwanza ulikutana na madude gani hayo aiseee?? Au nyie shuleni kwenu mlianza na yale wanaitwa Newton Rings ???
Hahah....Physics habari nyingine weweSasa mbona uko opposite sana.
Unapenda masuala ya makombora, maowari, vifaru lakini concepts za Phyzs zilikukimbiza.
Hahahahahahahaaaa
[emoji119] [emoji119] [emoji119] [emoji119] [emoji119] [emoji119]Hahah....Physics habari nyingine wewe